atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Hio shanga mama yake alimrithisha mpaka leo na yy anayo na anaivaaQueen Elizabeth na Mama yakeView attachment 2350589
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio shanga mama yake alimrithisha mpaka leo na yy anayo na anaivaaQueen Elizabeth na Mama yakeView attachment 2350589
Maisha haya, tunamuona mkubwa wakina sisi, ila yule mdogo wake chaulevi waliokua wote anamchukuliaga poa tu sista yake.
Pengine hata kushika pesa mkononi hajawai, yeye hata driving licence hanaga.Hahaha ,hiv alishawah kuwaza,ada,kodi,kujenga,usafiri,nguo,kula hivi kwake.ni hadidhi
Bibi yako hana stress za utawala, Malkia ni mtawala wa nusu ya dunia (commonwealth).Kwel kifo ni mpango wa Mungu ,huyu malkia ana timu kubwa ya madactari na manesi wako maalumu kulinda afya yake kuanzia kuoga had kula,sasa bibi yangu kijijini ana 102 bado anapeta ,hata bima ya afya hajui ni kitu gan.
Nilijua ndio nyie walewale,unaacha kufuata mila na desturi zenu unafuata za waarabu halafu unajiona mjafanja kumbe ndezi tuuHakuna Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa "ALLAH"
Haswaa yaani wenzetu vitu vyao huwa wanathamini sanaHio shanga mama yake alimrithisha mpaka leo na yy nayo
Kupitia Yesu
Yesu ni njia![emoji120]
Hapana ile kazi ya kumpa mkono (sawa na ruhusa) Waziri Mkuu mpya hufanywa na Queen tu hakuna delegation.Alimsalimia Liz Truss na kumwambia akapange safu yake ya mawaziri ila kwa Ile sura alikuwa anaumwa sana na kachoka au aliwekwa wa kufanana nae maana alikuwa kakonda sana na mkono wake ulikuwa mweusi sana sehemu ya nyuma ya kiganja
Ntamkumbuka sana Queen
Alikuwa mpole ila mkali akivurugwa
Mkuu stress gan wakat hachaguliwi na wananchi,bibi yangu stress zake angemuazima malkia ,nafikir hats malkia asingefikisha miaka 50 ,huku kwetu jua linachoma had mifukoBibi yako hana stress za utawala, Malkia ni mtawala wa nusu ya dunia (commonwealth).
Imagine Prince Charles nimemsahau kabisa...Prince charles ndiyo anarithi sababu ndiyo alikuwa crown prince huyo william ni mjukuu atarithi baada ya charles
Knowledge gani ewe kijana was kijiwe samli.wapo walionielewa.
wewe hata nikikuelewesha hutoweza kunielewa.
acha nibaki na knowledge yangu inayohusu ulimwengu na watu wake.
Kisasi gan tena kwahiyo mtu asife?,toka Diana amefariki ni zaidi ya miaka 20,hata kama ni karma ila huyo bibi muda wake umefika bwana miaka 96
Nimekusubiria mno hapa Witty...
Acha dharau, uwe na adabu kwa mh Rais wetu, ulitaka uende wewe?Bibi Tozo atakusanya kijiji chake cha machavi chavi wa chama wote watajazanana kwenye Dreamliner/Airbus kwenda UK
My ribs nimecheka kwa nguvu sana dah🤣🤣🤣