BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,568
- 1,923
Ganja mbona mnaisingizia mambo mengi bob!Shida ya hii kitu uki ipiga, Kama huna kifua lazima uropoke ma detail
View attachment 3259852
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ganja mbona mnaisingizia mambo mengi bob!Shida ya hii kitu uki ipiga, Kama huna kifua lazima uropoke ma detail
View attachment 3259852
Niko hapa mkuuCassnzoba njoo na wewe udondoshe jina la Shemeji yetu
Ha ha ha ha dadekiShida ya hii kitu uki ipiga, Kama huna kifua lazima uropoke ma detail
View attachment 3259852
Nimemuonea gere active.Mzee wa muongozo Smart911
Mpenda papuchi na hataki kumeza mbegu mzabzab
Binti ambaye ukipita njia yake lazima apite na yako mazima Lamomy
Mdada mwenye moyo mweupe Bantu Lady
Mdada na Simba yake Kalpana
Mbaba mwenye roho yake pendwa Mshana Jr
Kijana shupavu katika kazi yake na ninaemlia timing Active 🤒
Kijana wa kububujikwa na machozi juu ya mama yake mpendwa Lucas Mwashambwa
Mtaje basi🤣🤣🤣shindikanaa njoo uone humu
Shindikanaa tunywe mbege kwa wingi.Mtaje basi🤣🤣🤣
Mbona jina langu la kwanza...Mzee wa muongozo Smart911
Mpenda papuchi na hataki kumeza mbegu mzabzab
Binti ambaye ukipita njia yake lazima apite na yako mazima Lamomy
Mdada mwenye moyo mweupe Bantu Lady
Mdada na Simba yake Kalpana
Mbaba mwenye roho yake pendwa Mshana Jr
Kijana shupavu katika kazi yake na ninaemlia timing Active 🤒
Kijana wa kububujikwa na machozi juu ya mama yake mpendwa Lucas Mwashambwa
🤭Mbona jina langu la kwanza...
Nimekukosea...
Leo hauli hapa nyumbani kwangu..🤨naku snitch kwa bimkubwa
Uzi unasema watu unaowapenda mkuuNimekukosea...
Uzi unasema fulani anapendwa bure...Uzi unasema watu unaowapenda mkuu
Hivi hili ni swali kweli?Uzi unasema fulani anapendwa bure...
Wewe unanipenda Bure kwani?
Jibu swali...Hivi hili ni swali kweli?
Uwe na muda mwema mkuuJibu swali...
Ukijibu hilo swali nakuhamisha mkoa...Uwe na muda mwema mkuu
🤣🤣Haya bhanaUkija hilo swali nakuhamisha mkoa...