Malori yakwama bandarini Dar, madereva walalamikia ukiritimba na rushwa kurudi kama zamani

makusanyo yameshuka toka trillion 2 hadi billion 300 kwa mwezi, TRA wanadai kwa sasa matajiri ndo wanapanga kiasi cha kutoa na si kile wanachostahili kutoa, tunakoelekea mungu pekee ndo anajua
Unafanya biashara mkuu?
 
Naona coment zako nyingi zina jina la Magu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] huku mada ni msongamano wa magari bandarini
Kaanze comment yangu ya kwanza labda utaelewa.
 
Huwezi kuwa na taasisi imara wakati una rasilimali watu yenye mapungufu makubwa kama yetu. Mnalilia taasisi imara kwa watanzania wapi mkuu, hawa wezi, wavivu, wasio wazalendo? Taasisi imara zinaletwa na raia waliokuzwa katika malezi bora.
Daa kweli mkuu malezi bora yanazaa jamii bora taifa bora
 
"SIRI YA MTUNGI AIJUAYE NI KATA" ITS WAS JUST LIKE A SECRET MOVIE,MIFUKO YOTE YA JAMII ILIFILISIWA ILI KUNUNUA NDEGE NA KUJENGA UYAONAYO.....
#SASA HIVI NI LAZIMA MIFUKO HII IJAZWE FEDHA ILI WASTAAFU WASISUMBUKE TENA...underground publics works must be given priority.....
#Thatcher go on....!
 

Malori yakwama bandarini Dar yakisubiri kupakia na kupakua mizigo || Madereva wafunguka.​

Mkurugenzi wa Bandari na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Rasi Mamama Samia Hasssan Suluhu uwawajibishe kwa uzembe wanaofanya hao viongozi wawili.

 
 
Very likely SSH anaweza akaingia kwenye rekodi kuwa RAIS MBAYA KULIKO WOTE hasa anapotegemea ushauri wa awamu wa 4. Dalili zilianzia pale anabadirisha mawaziri na watendaji "wewe nakuacha ukarekebishe". Hopeless kabisa no wonder thats why Kikwete is running the kantri.
 
Hatari sana. Kina kinapimwa.
Jenista ksema Majaliwa kishatia timu bandarini tayari, lazima kinuke. Kuna Watanzania bado wako usingizini pale bandarini, naona hajaamka na kuendana na mazingira mapya ya MAMA
 

LIVE: WAZIRI MKUU ASHTUKIZA BANDARINI Kujua CHANZO CHA MSONGAMANIO wa MALORI, TASAC WATAFUTWA!​

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, leo Mei 12, amefanya ziara ya kushtukiza bandari jijini Dar, kujionea kadhia iliyojitokeza na kusababisha malori kukwama.. Waziri Mkuu ameambatana na Mkuu wa mkoa wa Dar, Aboubakary Kunenge na mkuu wa wilaya ya Temeke, Godwin Gondwe.


 
Acha uongo we husikii dreva analalama??
 
Nachukia sana Kiongozi dhaifu dhaifu, tunarudi kama enzi za Mr.Dhaifu wa Msoga
 
Nawe una shida tu sisi tupo bandalin toka enzi za jk, magu na sasa suluu kipindi ambacho vifaa vimeongezeka kwa wingi bandarin ni kipindi cha Magufuli, upo tu unaongea ongea bila kujua unaongea nini
 
Nawe una shida tu sisi tupo bandalin toka enzi za jk, magu na sasa suluu kipindi ambacho vifaa vimeongezeka kwa wingi bandarin ni kipindi cha Magufuli, upo tu unaongea ongea bila kujua unaongea nini
Jamaa anaboa sana
 
JPM mlikuwa mnasema anatengeneza matatizo hili ayatatue, kamwambie SSH na yeye atatue haya matatizo anayotengeneza ili tuone kichwani yupo vizuri, sio kutuambia tu viongozi wake wanademka.
Tumpima na hizi data kama tulivomoima kikwete na JPM
 
We nawe mnafki mkubwa kupitiliza mimi wakati wote naingia bandalin. Ukweli ni kwamba enzi za Magufuli bandari ilikuwa safi sana kila mfanyakazi wa bandar unamkuta katika kituo cha kazi na unahudumiwa kama vile uko stendi ya basi na ni muda ule hakuna wasafiri yaani mchana, lkn mambo yale ya zamani ya kucheleweshewa huduma, kutokuwa ktk kituo cha kaz yameanza baanda ya Mwendazake kwenda.
 
kuna watu wanataka hii nchi irudi nyuma kabisaa, tena ikae chini. viongozi kuweni makini sana.

baadhi yao ni wananfiki na wa lagjai nia yao iliyo jificha ni kuona anguko la awamu 6.
 
kwakweli inasikitisha sana tena sana.

Huu uzembe sio wa kuvumiliwa hata kidogo, haiwezekani baadhi ya kikundi cha watu wachache wanadiriki kuchezea uchumi wa nchi yetu.

nashindwa kuamini kama kweli tatizo ni mfumo wa malipo unao sababishwa na ukosefu wa umeme.

kuna tatizo la msingi
 
Sijui huyo dreva alikuwa na nia gani ? Watanzania mda mwingne tunakuwa wachawi wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…