Malori yakwama bandarini Dar, madereva walalamikia ukiritimba na rushwa kurudi kama zamani

Malori yakwama bandarini Dar, madereva walalamikia ukiritimba na rushwa kurudi kama zamani

Ungeleta na sababu za kukwama ili watu watie neno kwa usahii.
 
Na afe tu tena huko alipo
Ona sasa zuzu??

Unafaidika nini au unapata hasara ipi Kwa kutokuwepo yeye? Na Kwa nini babu na Bibi yako nao hawapo duniani au pengine hata wazazi wako na mmjoa wa watato wako?
 
Naona sasa magazeti yameanza kujimwambafy baada ya Kayafa kufa.Enzi za Kayafa ilikuwa ni kosa kubwa sana kuripoti madhaifu ya serikali kama haya.Ilikuwa ni mwendo wa propaganda na kusifu pekee.
 
Mwananchi online linaripoti kukwama kwa malori bandarini.

Je wapo wanaopima kina cha maji?

========

Mwananchi Digital imeripoti kuwa katika bandari ya Dar es Salaam kuna maroli (magari makubwa ya mizigo) yamekwama kwa siku kadhaa hivyo kusababisha madereva wa maroli kulala na kuamka hapo hadi kufikia siku nne, madereva hao wamedai kulala na kula kwenye magari yao na kuomba kujisadia katika vyoo vya ofisi za jirani kwa kuwa hapo bandarini hakuna vyoo.

Madereva hao wamedai chanzo cha uchelewashaji huo wa mizigo unatokana na ucheleweshwaji wa kupakua na kupakia mizigo na na ucheleweshwaji wa vibali vinavyoruhusu mizigo kusafirishwa.

Hata hivyo juhudi za kumpata mkurugenzi wa mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Eriki Hamisi ziligonga mwamba baada ya kujibiwa kuwa yuko kikaoni na baadae simu yake ilipiwa bila kupokelewa. Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano, Leonard Chamriho aliahidi kumuunganisha mwandishi na watu wanaohusika jambo ambalo pia halikufanyika.

Dereva aeleza, "mimi toka nipo hapa siku ya nne ushushaji wa kopa bandarini ni mbovu ukimuuliza ajenti anakwambia gari zimejaa, mwenye mzigo anasema nimekodisha godauni natumia foko za bandari ukimwambia nilete foko zangu anasema hakuna sheria ya kuleta foko zako. Kwa hiyo bandarini ukiritimba umerudi kama zamani na rushwa imerudi. Tunaomba serikali iingilie kati swala hili madereva tunateseka bandarini kumeoza tunaomba msaada".
Dawa ni kuwapa wachina hizo bandari tangu tumepewa hizo bandari na mkoloni hazijawahi kufanya kazi zinavyotakiwa, Watz sijui hii laana ya rushwa na wizi waliitoa wapi na ni lini itaisha
 
Mama mambo kama haya hana habari nayo.. naona yeye ni mtu wa kukata utepe na kuhudhuria misiba na birthday part.

Nchi hii inahitaji mtu mwingine 2025.
Mwananchi online linaripoti kukwama kwa malori bandarini.

Je, wapo wanaopima kina cha maji?

========

Mwananchi Digital imeripoti kuwa katika bandari ya Dar es Salaam kuna maroli (magari makubwa ya mizigo) yamekwama kwa siku kadhaa hivyo kusababisha madereva wa maroli kulala na kuamka hapo hadi kufikia siku nne, madereva hao wamedai kulala na kula kwenye magari yao na kuomba kujisadia katika vyoo vya ofisi za jirani kwa kuwa hapo bandarini hakuna vyoo.

Madereva hao wamedai chanzo cha uchelewashaji huo wa mizigo unatokana na ucheleweshwaji wa kupakua na kupakia mizigo na na ucheleweshwaji wa vibali vinavyoruhusu mizigo kusafirishwa.

Hata hivyo juhudi za kumpata mkurugenzi wa mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Eriki Hamisi ziligonga mwamba baada ya kujibiwa kuwa yuko kikaoni na baadae simu yake ilipiwa bila kupokelewa. Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano, Leonard Chamriho aliahidi kumuunganisha mwandishi na watu wanaohusika jambo ambalo pia halikufanyika.

Dereva aeleza, "mimi toka nipo hapa siku ya nne ushushaji wa kopa bandarini ni mbovu ukimuuliza ajenti anakwambia gari zimejaa, mwenye mzigo anasema nimekodisha godauni natumia foko za bandari ukimwambia nilete foko zangu anasema hakuna sheria ya kuleta foko zako. Kwa hiyo bandarini ukiritimba umerudi kama zamani na rushwa imerudi. Tunaomba serikali iingilie kati swala hili madereva tunateseka bandarini kumeoza tunaomba msaada".
 
Hao anao waweka ndio wa watu wa hovyo kabisa....
Hii habari nimeisikia tangu jana na inadaiwa kuna urasimu unafanyika.

Mama Samia huenda anahujumiwa na tatizo lake ni kutoweka watu wake kuanzia serikali kuu bali kaamua kurithi aliowakuta.

Hata huyo boss mpya wa bandari aliyemuweka hawezi timiza majukumu yake vizuri kama amezungukwa na watu wenye lengo la kuharibu/kuhujumu kuanzia huko juu.

Mawaziri wa Magu sidhani kama wanajitoa kiasi cha kutosha kumsaidia huyu mama.

Habari yenyewe ni hii:

 
JPM mlikuwa mnasema anatengeneza matatizo hili ayatatue, kamwambie SSH na yeye atatue haya matatizo anayotengeneza ili tuone kichwani yupo vizuri, sio kutuambia tu viongozi wake wanademka.
Mkuu wew ni me au ke?
 
mpaka wazembe na wakiritimba wana imani na mama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
Iko hivi hii foleni sio ya leo Wala Jana, Ila kipindi kilichopita watu walikua wanaogopa kuhoji kwa kuwa Sasa Kuna Uhuru wa kuhoji ndio mana tunayasikia haya kukaa bandarini siku nne ni kawaida na sababu wanakuambia system haifanyi kazi. Wafanyakazi wanafanya Kama wanavojisikia ma operator mpaka uwape chochote mlinzi getini nae hela folio nao pesa ni upupu mtupu
 
Mwananchi online linaripoti kukwama kwa malori bandarini.

Je wapo wanaopima kina cha maji?

========

Mwananchi Digital imeripoti kuwa katika bandari ya Dar es Salaam kuna maroli (magari makubwa ya mizigo) yamekwama kwa siku kadhaa hivyo kusababisha madereva wa maroli kulala na kuamka hapo hadi kufikia siku nne, madereva hao wamedai kulala na kula kwenye magari yao na kuomba kujisadia katika vyoo vya ofisi za jirani kwa kuwa hapo bandarini hakuna vyoo.

Madereva hao wamedai chanzo cha uchelewashaji huo wa mizigo unatokana na ucheleweshwaji wa kupakua na kupakia mizigo na na ucheleweshwaji wa vibali vinavyoruhusu mizigo kusafirishwa.

Hata hivyo juhudi za kumpata mkurugenzi wa mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Eriki Hamisi ziligonga mwamba baada ya kujibiwa kuwa yuko kikaoni na baadae simu yake ilipiwa bila kupokelewa. Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano, Leonard Chamriho aliahidi kumuunganisha mwandishi na watu wanaohusika jambo ambalo pia halikufanyika.

Dereva aeleza, "mimi toka nipo hapa siku ya nne ushushaji wa kopa bandarini ni mbovu ukimuuliza ajenti anakwambia gari zimejaa, mwenye mzigo anasema nimekodisha godauni natumia foko za bandari ukimwambia nilete foko zangu anasema hakuna sheria ya kuleta foko zako. Kwa hiyo bandarini ukiritimba umerudi kama zamani na rushwa imerudi. Tunaomba serikali iingilie kati swala hili madereva tunateseka bandarini kumeoza tunaomba msaada".
View attachment 1780670

Kulikoni malori yakwame? Nini kinaendelea kusababisha hayo?
 
Hii habari nimeisikia tangu jana na inadaiwa kuna urasimu unafanyika.

Mama Samia huenda anahujumiwa na tatizo lake ni kutoweka watu wake kuanzia serikali kuu bali kaamua kurithi aliowakuta.

Hata huyo boss mpya wa bandari aliyemuweka hawezi timiza majukumu yake vizuri kama amezungukwa na watu wenye lengo la kuharibu/kuhujumu kuanzia huko juu.

Mawaziri wa Magu sidhani kama wanajitoa kiasi cha kutosha kumsaidia huyu mama.

Habari yenyewe ni hii:



E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Back
Top Bottom