Malori zaidi ya 100 Himo yenye shehena ya mahindi yaamuriwa kuuza mahindi yao nchini badala ya kuyasafirisha Kenya

Malori zaidi ya 100 Himo yenye shehena ya mahindi yaamuriwa kuuza mahindi yao nchini badala ya kuyasafirisha Kenya

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,997
Reaction score
5,385
Amri hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bw. Nurdin Babu kwa maelekezo ya Waziri wa Kilimo Bw. Bashe.

Bila shaka amri hii inatokana na zuio la Rais Samia kuzuia kuuza chakula nje ya nchi ili kukabiliana na upungufu wa chakula nchini na duniani kwa jumla.

Hoja hapa kwa nini serikali haikuwataarifu wafanyabiashara mapema ili kuwaepusha na hasara watakayopata kwa sababu ya gharama za usafiri? Kwa nini malori yaliyofika hapo Himo kabla ya zuio la Rais yasiruhusiwe kuendelea na safari?

Moja ya athari ya zuio hili ni kuwa bei ya mahindi itaporomoka sana kwa wakulima kutoka zaidi ya Shs. 800/= kwa kilo kwa sasa hadi kuwa chini ya Shs. 500/= kwa kilo!
 
Hii issue lazima italeta mgogoro kati ya Kenya na Tanzania, sababu wafanya biashara wa Kenya tayari walikua wamesha nunua mahindi kwaajili ya kupeleka kwao kabla ya kauli ya bi mkubwa.
Nafikiri hapa ilitakiwa busara ya kawaida itumike ili kutatua hili jambo na baada ya hapi basi amri ya mama ndipo iendelee kutekelezwa.
 
Nafikiri bashe alitakiwa atumie busara kwa kuruhusu wafanya biashara ambao tayari wamesha fikisha mahindi yao Himo waendelee na safari, kisha baada ya hapo ndipo wangeanza kuzuia wale wanao anza kunua mahindi kwaajili ya kupeleka Kenya baada ya tamko la mama. Na huku ndipo kumsaidia Rais
 
Amri hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bw. Nurdin Baba kwa maelekezo ya Waziri wa Kilimo Bw. Bashe.

Bila shaka amri hii inatokana na zuio la Rais Samia kuzuia kuuza chakula nje ya nchi ili kukabiliana na upungufu wa chakula nchini na duniani kwa jumla.

Hoja hapa kwa nini serikali haikuwataarifu wafanyabiashara mapema ili kuwaepusha na hasara watakayopata kwa sababu ya gharama za usafiri? Kwa nini malori yaliyofika hapo Himo kabla ya zuio la Rais yasiruhusiwe kuendelea na safari?

Moja ya athari ya zuio hili ni kuwa bei ya mahindi itaporomoka sana kwa kuwa wakulima kwa sasa kutoka zaidi ya Shs. 800/= kwa kilo hadi kuwa chini ya Shs. 500/= kwa kilo!
Bashe amegoma kujiuzuru?
 
Hii issue lazima italeta mgogoro kati ya Kenya na Tanzania, sababu wafanya biashara wa Kenya tayari walikua wamesha nunua mahindi kwaajili ya kupeleka kwao kabla ya kauli ya bi mkubwa.
Nafikiri hapa ilitakiwa busara ya kawaida itumike ili kutatua hili jambo na baada ya hapi basi amri ya mama ndipo iendelee kutekelezwa.
Wakenya watakula hicho kingereza chao
 
Hasara kubwa Sana hii Kwa wafanyabiashara.
Hii biashara naijua jinsi ilivyokuwa ngumu kwenye kukusanya mzigo alafu anatokea MTU wa ofisini anasema hakuna kuuza nje ya nchi... Tanzania ni nchi ngumu Sana Kwa mfanyabiashara
 
Amri hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bw. Nurdin Baba kwa maelekezo ya Waziri wa Kilimo Bw. Bashe.

Bila shaka amri hii inatokana na zuio la Rais Samia kuzuia kuuza chakula nje ya nchi ili kukabiliana na upungufu wa chakula nchini na duniani kwa jumla.

Hoja hapa kwa nini serikali haikuwataarifu wafanyabiashara mapema ili kuwaepusha na hasara watakayopata kwa sababu ya gharama za usafiri? Kwa nini malori yaliyofika hapo Himo kabla ya zuio la Rais yasiruhusiwe kuendelea na safari?

Moja ya athari ya zuio hili ni kuwa bei ya mahindi itaporomoka sana kwa kuwa wakulima kwa sasa kutoka zaidi ya Shs. 800/= kwa kilo hadi kuwa chini ya Shs. 500/= kwa kilo!
Siku watanganyika watakapoichukulia serious SIASA ndipo huu unyama utakoma.
 
Watu tunawasaidia kutokana na janga la njaa na bado mnafika hapo boda mnawaweka madereva wetu nyie mnaohusika hapo kwenye boda hampo sirias mtu anakaa wiki nzima sehemu Moja.
 
Amri hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bw. Nurdin Baba kwa maelekezo ya Waziri wa Kilimo Bw. Bashe.

Bila shaka amri hii inatokana na zuio la Rais Samia kuzuia kuuza chakula nje ya nchi ili kukabiliana na upungufu wa chakula nchini na duniani kwa jumla.

Hoja hapa kwa nini serikali haikuwataarifu wafanyabiashara mapema ili kuwaepusha na hasara watakayopata kwa sababu ya gharama za usafiri? Kwa nini malori yaliyofika hapo Himo kabla ya zuio la Rais yasiruhusiwe kuendelea na safari?

Moja ya athari ya zuio hili ni kuwa bei ya mahindi itaporomoka sana kwa kuwa wakulima kwa sasa kutoka zaidi ya Shs. 800/= kwa kilo hadi kuwa chini ya Shs. 500/= kwa kilo!
Bashe kapigwa ya chembe
 
Back
Top Bottom