The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,412
- 20,685
Wakenya nao wana figisu nyingi sana kwenye hii biashara ya mahindi pamoja na kwamba wananunua kutoka kwetu lakini wanataka watanzania wapate hasara, ndio maana unaona wanazuia mara mzigo usiingie mara mahindi yana sumu mara hiki mara kile ni bora kabisa tufanye nao biashara nyingine hii ya nafaka tuachane nayoHii issue lazima italeta mgogoro kati ya Kenya na Tanzania, sababu wafanya biashara wa Kenya tayari walikua wamesha nunua mahindi kwaajili ya kupeleka kwao kabla ya kauli ya bi mkubwa.
Nafikiri hapa ilitakiwa busara ya kawaida itumike ili kutatua hili jambo na baada ya hapi basi amri ya mama ndipo iendelee kutekelezwa.