Malori zaidi ya 100 Himo yenye shehena ya mahindi yaamuriwa kuuza mahindi yao nchini badala ya kuyasafirisha Kenya

Malori zaidi ya 100 Himo yenye shehena ya mahindi yaamuriwa kuuza mahindi yao nchini badala ya kuyasafirisha Kenya

Serikali hajazuia mahindi kwa sababu ya upungufu bali imeyazuia ili yashuke bei ili iyanunue yenyewe.
Wanataka wadiscourage wafanyabiashara, wakulima wakose kwa kupeleka then wao waingie waseme tutanunua kwa bei hii coz wafanyabiashara wanawaibia. Ikifika 45000 au 50000 serikali itakuja kama mkombozi na kusema tutawasaidia wakulima kwa 55000.Saizi wako busy kutengeneza tatizo la bei ili iwe rahisi kueleweka kwa wananchi wakija na bei zao za chini.
 
Wanataka wadiscourage wafanyabiashara, wakulima wakose kwa kupeleka then wao waingie waseme tutanunua kwa bei hii coz wafanyabiashara wanawaibia. Ikifika 45000 au 50000 serikali itakuja kama mkombozi na kusema tutawasaidia wakulima kwa 55000.Saizi wako busy kutengeneza tatizo la bei ili iwe rahisi kueleweka kwa wananchi wakija na bei zao za chini.
Hii nchi ni ngumu saana,mazao yakiruhusiwa yatoke nje..bei inapaa kias kwamba watu wanalalamika kununua maharage kilo 4000.

Serikali ikifunga mipaka pia mnalalamika..huwa mnataka nini hasa?
 
nishanunua kiuagugu nishaandaa hela ya kulimia na mashamba bado sijavuna kitu kitakachomtenganisha mkulima na kulima ni kifo tu sio bei
"kama mnazitaka mali mtazipata shambani"
Wakulima hawatalima tena

Ila kuna uwezekano mwaka huu mambo yakawa mabaya
 
Peleka umalaya wako huko,watu wanahenyeka mashambani huko kulima kwa gharama kubwa wewe unakuja kuleta uchoko wako hapa
Serikali yenu Haina sera zinazotabirika kwenye Kilimo,Bashe alisema Serikali ikiwazuia Wananchi kuuza Nje atawajibika Kisiasa Hadi Sasa Yuko kimya..

Kumbukeni mwaka Jana wakati chakula kina bei mlikuwa mnamtukana Rais ndio kaamua acheze ngoma yenu.
 
Hii nchi ni ngumu saana,mazao yakiruhusiwa yatoke nje..bei inapaa kias kwamba watu wanalalamika kununua maharage kilo 4000.

Serikali ikifunga mipaka pia mnalalamika..huwa mnataka nini hasa?
Kila mtu analalamika kwa sehemu yake.Ukifunga mipaka mahindi yanashuka bei wanaolalamika ni wakulima na wafanyabiashara,huku walaji wanafurahi. Ukifungua mipaka wakulima na wafanyabiashara wanafurahi coz bei zinakua nzuri lkn wakati huohuo walaji wanalia bei ziko juu.So malalamiko hayatakuja kuishi coz hakuna siku haya makundi yanaweza kuwa na interest sawa.
 
Nafikiri bashe alitakiwa atumie busara kwa kuruhusu wafanya biashara ambao tayari wamesha fikisha mahindi yao Himo waendelee na safari, kisha baada ya hapo ndipo wangeanza kuzuia wale wanao anza kunua mahindi kwaajili ya kupeleka Kenya baada ya tamko la mama. Na huku ndipo kumsaidia Rais
Yaani tuache kufanya mambo yetu bila utaratibu na busara...Sasa Maagizo kutolewa bila kutoa muda wezeshi kuclear, kwa ambao tayari walikuwa na mizigo wa mahindi kuelekea mpakani.. hio sio fair jamani... yaani angalau wangetoa deadline ya siku kadhaa kabla ya kuwafungia mpaka.....
 
Nachoshindwa kuelewa ni Waziri ana akili gani,Juzi alikua Zambia kusolve malori zaidi ya 30 kushikiliwa kwa sababu hizihizi wanazotumia huku Tanzania. Waliokwama Kule ni watanzania, serikali ikalimaliza hili. Waliokwama hapo ni watanzania ingawa wanapeleka Nje ya nchi.Busara alizoenda kuomba kule zitumike Watanzania waachiwe kwanini asitumie nchini kwake?Kwani asiweke clear kwamba tarehe flani mwisho wa kuuza mahindi nje ili walio kwenye mchakato na njiani wakamilishe biashara zao?
 
Back
Top Bottom