Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Hii vita imenikumbusha mbali sana aiseeeee......🤣 wale wadada wa hapa walijua kunichakaza bana...😜Hii vita sijui itaisha lini Russia vs Ukraine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii vita imenikumbusha mbali sana aiseeeee......🤣 wale wadada wa hapa walijua kunichakaza bana...😜Hii vita sijui itaisha lini Russia vs Ukraine
Uache ulafi wa ile kazi sasa🤣🤣🤣Hii vita imenikumbusha mbali sana aiseeeee......🤣 wale wadada wa hapa walijua kunichakaza bana...😜
Nilisha acha mkuu, na nikasema sinto badili ID ili kusimamia nilicho jipangia na kuonyesha msisitizoUache ulafi wa ile kazi sasa🤣🤣🤣
Vipi kaka ulidandia Maokoto ?Sasa yule mwanamke alikuja kuanzisha tena uzuzu hapa kwamba wamesha elewana na baba mtoto wake...🤣🤣
Dahhhhh..... nimekumbuka nilivyo wahi kufunguliwa nyuzuzu hapa kama na wanawake 4, kisha wakawa kama wameungana....😜😜 yaani kipindikile nilisutwa na wanawake kama 15 hivi hapa ndani karibia mwezi mzima....😂😂😂
Boss nini kimekukuta hadi kusema shemeji yangu hivi lakini....sijapendaNilisha acha mkuu, na nikasema sinto badili ID ili kusimamia nilicho jipangia na kuonyesha msisitizo
Hapana mkuu, ilikua kinyume chake...🤣😜Vipi kaka ulidandia Maokoto ?
Kumbe ndio sababu ya kuweka Avatar namna Hiyo chief.Hapana mkuu, ilikua kinyume chake...🤣😜
Hivi kumbe nafanana na Chizi MaarifaBoss nini kimekukuta hadi kusema shemeji yangu hivi lakini....sijapenda
Hapana mkuu, hii avatar niya tangu 2012 nilipo jiunga Jf for second time sijawahi badilishaKumbe ndio sababu ya kuweka Avatar namna Hiyo chief.
Ulifanya vyema ndio maana corona ilikushindwa pia...humu usile thena🤣🤣🤣Nilisha acha mkuu, na nikasema sinto badili ID ili kusimamia nilicho jipangia na kuonyesha msisitizo
Wanawake wa humu Leo nimeona namna wanamshambulia yule Msu-ku+ma.... Sijui wewe ulishambuliwaje?Hapana mkuu, hii avatar niya tangu 2012 nilipo jiunga Jf for second time sijawahi badilisha
Imebidi nipige pegi ya kimaro kwanza Kwa Nini umerudi jf hahahahaHivi kumbe nafanana na Chizi Maarifa
Mimi sinto simulia mkuuu...😂 leo ni Chizi MaarifaWanawake wa humu Leo nimeona namna wanamshambulia yule Msu-ku+ma.... Sijui wewe ulishambuliwaje?
Nilijua umebugia kwa kasi kidogo, ukasahau muwani wa kusomea mkuu...🤣🤣Imebidi nipige pegi ya kimaro kwanza Kwa Nini umerudi jf hahahaha
Mmh.. wewe pia bado dishi limeyumba!Nlishawahi kuwa na demu mmoja kilaza sana. Unajua sometimes sisi wanaume kabla ya kuoa unakuwa na mchakato wa muda mrefu wa kutafuta mke.
Yule demu nlikutana naye mazingira flani nami akili yangu nayo ikiwa kama saa mbovu. Nikakamata sasa kwa kuwa alikuwa hana akili nikampenda. Si nami nlikuwa hivyo...ndege wa rangi moja huruka pamoja.
Yule demu nikakaa naye. Alinipenda sana hata nikiomba nini napewa. Mimi nikachukulia ndo mapenzi kumbe ni udhihirisho hana akili. Hopeless. Basi baada ya muda nikaenda mpeleka home... Mama akamchekiiiiiiii.....akamchekiiiiii. akaona bluetooth hai connect kabisa. Device not found. Baadaye tumeondoka.
Akaniuliza ulimpata wapi huyu mchumba. Nikaona nikisema nilipokutana naye itakuwa ajabu sana maana ni wale wanawake tunaita "MAOKOTO" nikamwambia chuo n.k akasema daaah ila vyuo vya siku hizi.
Yule demu kilaza sasa ikawa yaani mkigombana kidogo utaona tu kwenye status zake whatsapp
"Ukisema wa nini wenzio wanasema watanipata lini"
" Thamani yangu ni kama ya ndimu unaidharau lakini itakufaa wakati wa kutaka hamu"
Yaani alikuwa anachamba sana. Kumbe akina sister wanaona. Wakawa wanamwambia mazeri. Huyu ndo wifu wetu "pekupeku" walikuwa wanamwita "mama pekupeku" mwishowe mama akaniambia achana naye huyo mwanamke hakufai. Mswahili mkioana mkagombana dunia nzima itajua.
Kwani ilipita wiki basi? Yakatokea ya kutokea akaja aanzisha hadi uzi humu JF nikasema la moto ninalo. Ikaja tokea nami nikawa na ID nyingine hii sasa maana ilibidi niwe na ID mbili.
Yule Maokoto akajishikisha mimba. Hamadiiii.... Ana mimba. Nlimshauri atoe ikiwa ndogo akagoma maana aliniambia kwa kuwa ni yangu lazima aitunze nije mwoa.
Akajifungua. Sasa muda wa kulea alikuwa nao?kukimbizana tu na wanaume wa humu JF na mimi muda huo nilishaamua kusonga mbele. Nikajagundua kuna watu humu humu wanapasha kwake yaani wanafanya mazoezi...nikakaa mbali naye kabisa maana akawa kama kiwanja cha shule jioni kila mwenye team anaweza tumia kwa match au mazoezi.
Nikasema bora nilikimbia mapema. Si ndo siku moja nikasema hapa nimezaa na mwanamke hana akili ngoja nikamponeshe mwanangu asije kuwa hopeless kama mamaye. Nikaenda mkwapua mtoto huyo mpaka kwa wazazi mkoani.
Aaargh mama kukaa naye muda tu akasema huyu mtoto wako mama yake mtupu mrudishe tu akamlee yeye maana naye hana staha anaongea kama kameza CD. Wakati huo nishaanzishiwa nyuzi kibao na kutukanwa katika status zake.
Nikamrudishia mtoto. Sasa natoa tu pesa za matumizi. Msione wakati mwingine sisi wanaume kama ni wabaya wakatili . Wanawake wengine ni very hopeless. Unamsoma tu unasema daaaah... Hivi alivyoandika kama ndo angekuwa anaongea huo mdomo wake hata denda ningekubali kweli? Hamna kitu kichwan yaan empty kabisa. MAOKOTO. Watu wanajiokotea tu.
LEO NI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI TUWAPONGEZE WALE WANAWAKE WACHACHE WENYE AKILI. NA KUWATIA MOYO WASIJIONE WAPWEKE.
Ayaaaaaa......🙆♂️Story yako imenigusa sana
yani na mm mwanamke niliozaa nae ni maokoto kinoma
yeye sio mchambaji ila jeuri balaa
natamani kumpiga chini ila ndo ananiganda hatari
Na ndie huyu huyu aliekua anamsifia mchumba wake kwamba kapata bwana (MB) na sasa wanamchuna wote huyo mh....😂😂Inawezekana una mapingufu makubwa kuliko yeye.
We si ndo ulimloga mfanyakaz mwenzako wewe?
Nikutwangie au baadaeNa ndie huyu huyu aliekua anamsifia mchumba wake kwamba kabata bwana (MB) na sasa wanamchuna wote huyo mh....[emoji23][emoji23]