Mama akaniambia "Mwanangu huyu ni bure kabisa" Nlichukizwa sana

Hii vita sijui itaisha lini Russia vs Ukraine
Hii vita imenikumbusha mbali sana aiseeeee......🀣 wale wadada wa hapa walijua kunichakaza bana...😜
 
Hii vita imenikumbusha mbali sana aiseeeee......🀣 wale wadada wa hapa walijua kunichakaza bana...😜
Uache ulafi wa ile kazi sasa🀣🀣🀣
 
Uache ulafi wa ile kazi sasa🀣🀣🀣
Nilisha acha mkuu, na nikasema sinto badili ID ili kusimamia nilicho jipangia na kuonyesha msisitizo
 
Vipi kaka ulidandia Maokoto ?
 
Nilisha acha mkuu, na nikasema sinto badili ID ili kusimamia nilicho jipangia na kuonyesha msisitizo
Ulifanya vyema ndio maana corona ilikushindwa pia...humu usile thena🀣🀣🀣
 
Hapana mkuu, hii avatar niya tangu 2012 nilipo jiunga Jf for second time sijawahi badilisha
Wanawake wa humu Leo nimeona namna wanamshambulia yule Msu-ku+ma.... Sijui wewe ulishambuliwaje?
 
Mmh.. wewe pia bado dishi limeyumba!

Mambo ya familia unakuja kujaza seva za jf bure.

Duh wanawake mna kazi sanaπŸ˜„
 
Story yako imenigusa sana
yani na mm mwanamke niliozaa nae ni maokoto kinoma
yeye sio mchambaji ila jeuri balaa
natamani kumpiga chini ila ndo ananiganda hatari
 
Story yako imenigusa sana
yani na mm mwanamke niliozaa nae ni maokoto kinoma
yeye sio mchambaji ila jeuri balaa
natamani kumpiga chini ila ndo ananiganda hatari
Ayaaaaaa......πŸ™†β€β™‚οΈ
Wazee wa kataa ndoa wamesha chukua point hapa..πŸ˜’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…