Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
KabisaWanaume hawanaga shida,uwezo ukiwepo ana sapoti tu anajua mwamba huyu mbeleni atakuwa mtu,Mama zetu hawa ni wa kutazama tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaWanaume hawanaga shida,uwezo ukiwepo ana sapoti tu anajua mwamba huyu mbeleni atakuwa mtu,Mama zetu hawa ni wa kutazama tu.
Nafikiri kadiri ya mtoa mada, baba mrusha mbegu alitengeneza mazingira ya kuwa karibu na mtoto wake kwa kushirikiana na mama ndio mana alikuwa anamnunulia vitu mtoto wake.Unawasiliana na babaako wanini kama
Hakuona umuhim wako achana nae
Baba nilemjua ni baba yangu mzazi ambae nae alijua mimi ni mtoto wake alinilea kwa mapenzi yote, kunifundisha vingi katika maisha , kunisomesha shule mpaka chuo kikuu, kunivisha, kunilisha, n.k. Kwa miaka 25, hata nilipoanza kujitegemea bado nahesabia kuna majukumu yake kama baba yaliendelea ikiwemo ushauri.
Ni baada ya kifo chake ndipo mama akaniambia ukweli.
Baba wa kibailojia nilikuja kumjua baada ya msiba wa baba, ila kumjua namjua maana kuna kipindi hasa utotoni mama alikuwa anaomba nimsindikize sehemu ila tunapitia kwa bwana huyo ni mbali kidogo kama kilometa 3 hivi alikuwa anapenda kuninunulia vyakula na kunipa vitoy lakini hivi vya kurudi navyo mama alikuwa anaviweka chumbani hanipi, Namkumbuka ila kusema kweli hata hatujazoeana hata kidogo ila namjua tu, kiufupi hata hatuna cha kujadiliana,
Napata mashaka zaidi kama walionitangulia na niliemtangulia kama ni watoto wa baba alienilea ama wa mwengine.
Lakini huwa nawaza sana huwa nahisi mama alimfanyia unyama baba alienilea.
Khaaa aseee jf asante kwa hizi nyuziBaba nilemjua ni baba yangu mzazi ambae nae alijua mimi ni mtoto wake alinilea kwa mapenzi yote, kunifundisha vingi katika maisha , kunisomesha shule mpaka chuo kikuu, kunivisha, kunilisha, n.k. Kwa miaka 25, hata nilipoanza kujitegemea bado nahesabia kuna majukumu yake kama baba yaliendelea ikiwemo ushauri.
Ni baada ya kifo chake ndipo mama akaniambia ukweli.
Baba wa kibailojia nilikuja kumjua baada ya msiba wa baba, ila kumjua namjua maana kuna kipindi hasa utotoni mama alikuwa anaomba nimsindikize sehemu ila tunapitia kwa bwana huyo ni mbali kidogo kama kilometa 3 hivi alikuwa anapenda kuninunulia vyakula na kunipa vitoy lakini hivi vya kurudi navyo mama alikuwa anaviweka chumbani hanipi, Namkumbuka ila kusema kweli hata hatujazoeana hata kidogo ila namjua tu, kiufupi hata hatuna cha kujadiliana,
Napata mashaka zaidi kama walionitangulia na niliemtangulia kama ni watoto wa baba alienilea ama wa mwengine.
Lakini huwa nawaza sana huwa nahisi mama alimfanyia unyama baba alienilea.
Acha uongo bhana.Nafikiri kadiri ya mtoa mada, baba mrusha mbegu alitengeneza mazingira ya kuwa karibu na mtoto wake kwa kushirikiana na mama ndio mana alikuwa anamnunulia vitu mtoto wake.
Hoja hapa ni kwamba wanaaake ni wairi na makatili sana
Wewe ndio mtoa mada?Acha uongo bhana.
....ni nyoka...Mwanamke.
Hii ni kweli tupu wanawake hawawezi hawa ni kuishi nao kwa akili kubwa.Wanaume hawanaga shida,uwezo ukiwepo ana sapoti tu anajua mwamba huyu mbeleni atakuwa mtu,Mama zetu hawa ni wa kutazama tu.
Huyo baba yako mlezi kauwawa, chunguza utajua ukweli, baba yajo mzazi lazima amemrubuni mama yako ili wachukue mali na kuenjoy maisha.., chunguza. kataa ndoa!Baba nilemjua ni baba yangu mzazi ambae nae alijua mimi ni mtoto wake alinilea kwa mapenzi yote, kunifundisha vingi katika maisha, kunisomesha shule mpaka chuo kikuu, kunivisha, kunilisha, n.k. Kwa miaka 25, hata nilipoanza kujitegemea bado nahesabia kuna majukumu yake kama baba yaliendelea ikiwemo ushauri.
Ni baada ya kifo chake ndipo mama akaniambia ukweli.
Baba wa kibailojia nilikuja kumjua baada ya msiba wa baba, ila kumjua namjua maana kuna kipindi hasa utotoni mama alikuwa anaomba nimsindikize sehemu ila tunapitia kwa bwana huyo ni mbali kidogo kama kilometa 3 hivi alikuwa anapenda kuninunulia vyakula na kunipa vitoy lakini hivi vya kurudi navyo mama alikuwa anaviweka chumbani hanipi, Namkumbuka ila kusema kweli hata hatujazoeana hata kidogo ila namjua tu, kiufupi hata hatuna cha kujadiliana,
Napata mashaka zaidi kama walionitangulia na niliemtangulia kama ni watoto wa baba alienilea ama wa mwengine.
Lakini huwa nawaza sana huwa nahisi mama alimfanyia unyama baba alienilea.
Hatari Sana Hapa DunianiHuyo baba yako mlezi kauwawa, chunguza utajua ukweli, baba yajo mzazi lazima amemrubuni mama yako ili wachukue mali na kuenjoy maisha.., chunguza. kataa ndoa!
KabisaNakazia