Mama aliniambia baba aliyenilea kwa miaka 25 si wangu baada ya kifo chake, lakini daima nitakukumbuka baba uliyenilea kuzidi aliyerusha mbegu

Mama aliniambia baba aliyenilea kwa miaka 25 si wangu baada ya kifo chake, lakini daima nitakukumbuka baba uliyenilea kuzidi aliyerusha mbegu

Pengine huyo Baba aliyekulea yeye alikuwa akilijua wewe sio mwanae ila walifanya hisani yeye na mkewe(mama yako) kukuficha ili uwe comfortable na baba ako mlezi pia uwe comfortable kukaa nyumbani

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hii haiwezekeni... jamaa anasema mama mtu alikua anamitisha mara kwa mara kwa biological father wake na akipewa zawadi mama mtu alivicha ba mlezi asijue...
Mama alifanya uhuni iwe isiwe
 
Baba niliemjua ni baba yangu mzazi ambae nae alijua mimi ni mtoto wake alinilea kwa mapenzi yote, kunifundisha vingi katika maisha, kunisomesha shule mpaka chuo kikuu, kunivisha, kunilisha, n.k. Kwa miaka 25, hata nilipoanza kujitegemea bado nahesabia kuna majukumu yake kama baba yaliendelea kwenye malezi ikiwemo kunipa ushauri, kunijulia hali, n.k.


Baba wa kibailojia nilikuja kumjua baada ya msiba wa baba, ila kumjua namjua haikuwa sura ngeni maana kuna kipindi hasa utotoni mama alikuwa anaomba nimsindikize sehemu ila tunapitia kwa bwana huyo ni mbali kidogo kama kilometa 3 hivi alikuwa anapenda kuninunulia vyakula na kunipa vitoy lakini hivi vya kurudi navyo mama alikuwa anavipeleka sijui wapi maana nilikuwa sivioni, hata sekondari mara kadhaa ashawahi kunipa pesa ila nikimuuliza we nani anabaki tu kusema nimuite uncle, kiukweli ni kama alikuwa anatumia nguvu kubwa kujenga ukaribu ambao kwangu ulishindikana, si mnajua tena kuna watu hata ukilazimisha urafiki huwa haiwezakani, basi tu nilikuwa namvumilia maana ni mtu mzima.

Baada ya mzee kutoweka nae mama alianza kuumwa sana, alikuwa ni mtu wa mawazo sana, stress kibao, ndipo kuna siku aliniita na mda huo tayari nishaanza maisha ya kujitegemea, ndio bimkubwa akanipa hio siri kwamba yule mbaba ni baba yangu, alinisihi sana nisiwaambie wengine, kwa utu uzima niliokuwa nao wa kuyaona mengi wala haikuwa pigo zito sana maana nilishatambua baba ni yule alienilea na haitakuwa kivingine,

Kinachoniuma ni kwamba huwa naona mama alimfanyia unyama baba alienilea, lakini siwezi jua labda pengine nae mzee alikua anajua na huenda kuna siku angeniambia ila akawahi kuondoka ama aliamua kuifagilia ishu hii chini ya kapeti, ila yote kwa yote nilizaliwa kipindi ambacho tayari wamo kwenye ndoa, mzee alienilea alinitambulisha kwa ndugu zake wengi na nina ukaribu nao kina baba mkubwa, baba mdogo na mashangazi.

Napata mashaka zaidi kama walionitangulia na niliemtangulia kama ni watoto wa baba alienilea ama wa mwengine.
huo ndio ushenzi wa baadhi ya wanawake alishindwa nn kupotezea
 
Baba niliemjua ni baba yangu mzazi ambae nae alijua mimi ni mtoto wake alinilea kwa mapenzi yote, kunifundisha vingi katika maisha, kunisomesha shule mpaka chuo kikuu, kunivisha, kunilisha, n.k. Kwa miaka 25, hata nilipoanza kujitegemea bado nahesabia kuna majukumu yake kama baba yaliendelea kwenye malezi ikiwemo kunipa ushauri, kunijulia hali, n.k.


Baba wa kibailojia nilikuja kumjua baada ya msiba wa baba, ila kumjua namjua haikuwa sura ngeni maana kuna kipindi hasa utotoni mama alikuwa anaomba nimsindikize sehemu ila tunapitia kwa bwana huyo ni mbali kidogo kama kilometa 3 hivi alikuwa anapenda kuninunulia vyakula na kunipa vitoy lakini hivi vya kurudi navyo mama alikuwa anavipeleka sijui wapi maana nilikuwa sivioni, hata sekondari mara kadhaa ashawahi kunipa pesa ila nikimuuliza we nani anabaki tu kusema nimuite uncle, kiukweli ni kama alikuwa anatumia nguvu kubwa kujenga ukaribu ambao kwangu ulishindikana, si mnajua tena kuna watu hata ukilazimisha urafiki huwa haiwezakani, basi tu nilikuwa namvumilia maana ni mtu mzima.

Baada ya mzee kutoweka nae mama alianza kuumwa sana, alikuwa ni mtu wa mawazo sana, stress kibao, ndipo kuna siku aliniita na mda huo tayari nishaanza maisha ya kujitegemea, ndio bimkubwa akanipa hio siri kwamba yule mbaba ni baba yangu, alinisihi sana nisiwaambie wengine, kwa utu uzima niliokuwa nao wa kuyaona mengi wala haikuwa pigo zito sana maana nilishatambua baba ni yule alienilea na haitakuwa kivingine,

Kinachoniuma ni kwamba huwa naona mama alimfanyia unyama baba alienilea, lakini siwezi jua labda pengine nae mzee alikua anajua na huenda kuna siku angeniambia ila akawahi kuondoka ama aliamua kuifagilia ishu hii chini ya kapeti, ila yote kwa yote nilizaliwa kipindi ambacho tayari wamo kwenye ndoa, mzee alienilea alinitambulisha kwa ndugu zake wengi na nina ukaribu nao kina baba mkubwa, baba mdogo na mashangazi.

Napata mashaka zaidi kama walionitangulia na niliemtangulia kama ni watoto wa baba alienilea ama wa mwengine.
Wewe ni mchagga?
 
Isipokuwa kuna exceptions kuna baadhi ya wanawake wanafanya hivyo for good.

Na Kuna wanaume wengine anamruhusu mkewe kutoka kufanya maarifa ilimradi iwe siri.

Dunia ina mengi!
Uchagga huo - Mtoto wa Mama
 
Baba niliemjua ni baba yangu mzazi ambae nae alijua mimi ni mtoto wake alinilea kwa mapenzi yote, kunifundisha vingi katika maisha, kunisomesha shule mpaka chuo kikuu, kunivisha, kunilisha, n.k. Kwa miaka 25, hata nilipoanza kujitegemea bado nahesabia kuna majukumu yake kama baba yaliendelea kwenye malezi ikiwemo kunipa ushauri, kunijulia hali, n.k.


Baba wa kibailojia nilikuja kumjua baada ya msiba wa baba, ila kumjua namjua haikuwa sura ngeni maana kuna kipindi hasa utotoni mama alikuwa anaomba nimsindikize sehemu ila tunapitia kwa bwana huyo ni mbali kidogo kama kilometa 3 hivi alikuwa anapenda kuninunulia vyakula na kunipa vitoy lakini hivi vya kurudi navyo mama alikuwa anavipeleka sijui wapi maana nilikuwa sivioni, hata sekondari mara kadhaa ashawahi kunipa pesa ila nikimuuliza we nani anabaki tu kusema nimuite uncle, kiukweli ni kama alikuwa anatumia nguvu kubwa kujenga ukaribu ambao kwangu ulishindikana, si mnajua tena kuna watu hata ukilazimisha urafiki huwa haiwezakani, basi tu nilikuwa namvumilia maana ni mtu mzima.

Baada ya mzee kutoweka nae mama alianza kuumwa sana, alikuwa ni mtu wa mawazo sana, stress kibao, ndipo kuna siku aliniita na mda huo tayari nishaanza maisha ya kujitegemea, ndio bimkubwa akanipa hio siri kwamba yule mbaba ni baba yangu, alinisihi sana nisiwaambie wengine, kwa utu uzima niliokuwa nao wa kuyaona mengi wala haikuwa pigo zito sana maana nilishatambua baba ni yule alienilea na haitakuwa kivingine,

Kinachoniuma ni kwamba huwa naona mama alimfanyia unyama baba alienilea, lakini siwezi jua labda pengine nae mzee alikua anajua na huenda kuna siku angeniambia ila akawahi kuondoka ama aliamua kuifagilia ishu hii chini ya kapeti, ila yote kwa yote nilizaliwa kipindi ambacho tayari wamo kwenye ndoa, mzee alienilea alinitambulisha kwa ndugu zake wengi na nina ukaribu nao kina baba mkubwa, baba mdogo na mashangazi.

Napata mashaka zaidi kama walionitangulia na niliemtangulia kama ni watoto wa baba alienilea ama wa mwengine.
Kitendo cha mama kukuambia aliyekulea siyo baba yako ni wazi mama yako hana maslahi na well being yako zaidi ya kujali hisia zake.

Anadhihirisha kwako kuwa amekuwa na ugomvi wa muda mrefu na marehemu bababyako. Seems anaona ametua mzigo kukuambia lakini amesahau kuutua mzigo mahala sahihi na badala yake ameunga mnyororo wa maumivu kwako.

Hatua inagofuata ni kuambiwa huyu au fulani ndo baba yako.

Usiamini, simama na marehemu baba yako no matter what maana ndipo baraka yako ilipo.

Mama yako hataki baba yako aenziwe
 
Vijana mafarakano na kutengana kwa wazaz wenu waiwahusu... Hata ikiwa umekuja kuonyeshwa baba yako baada ya miaka 20 mheshim mpende mthamini... Wanawake wengi wanawajaza sumu watoto wao ili wachukie baba zao...
 
Mheshimu tu lakini huyo aliyerusha mbegu ndio babaako halisi.

Kwa kifupi wewe ni Jiwe la kwenye manati, na manati yenyewe ni babaako aliyekurusha kwenye tumbo la mamaako.
Waheshimu wote tafadhali... Huyo mlezi alikulea kwa sababu ya utamu wa mbususu ya mama
Usimsemee mlezi huenda alikuwa hajui kama wewe siyo mwanae
 
Isipokuwa kuna exceptions kuna baadhi ya wanawake wanafanya hivyo for good.

Na Kuna wanaume wengine anamruhusu mkewe kutoka kufanya maarifa ilimradi iwe siri.

Dunia ina mengi!
Nimechukua hii ndoa siri nying,na unaweza kuta ktk family yupo peke yake na alizaliwa ndani ya ndoa
 
Bongo humu naona watoto wa kubambikiwa ni wengi sana, kesi za hivi mtaani zimejaa.
 
Baba niliemjua ni baba yangu mzazi ambae nae alijua mimi ni mtoto wake alinilea kwa mapenzi yote, kunifundisha vingi katika maisha, kunisomesha shule mpaka chuo kikuu, kunivisha, kunilisha, n.k. Kwa miaka 25, hata nilipoanza kujitegemea bado nahesabia kuna majukumu yake kama baba yaliendelea kwenye malezi ikiwemo kunipa ushauri, kunijulia hali, n.k.


Baba wa kibailojia nilikuja kumjua baada ya msiba wa baba, ila kumjua namjua haikuwa sura ngeni maana kuna kipindi hasa utotoni mama alikuwa anaomba nimsindikize sehemu ila tunapitia kwa bwana huyo ni mbali kidogo kama kilometa 3 hivi alikuwa anapenda kuninunulia vyakula na kunipa vitoy lakini hivi vya kurudi navyo mama alikuwa anavipeleka sijui wapi maana nilikuwa sivioni, hata sekondari mara kadhaa ashawahi kunipa pesa ila nikimuuliza we nani anabaki tu kusema nimuite uncle, kiukweli ni kama alikuwa anatumia nguvu kubwa kujenga ukaribu ambao kwangu ulishindikana, si mnajua tena kuna watu hata ukilazimisha urafiki huwa haiwezakani, basi tu nilikuwa namvumilia maana ni mtu mzima.

Baada ya mzee kutoweka nae mama alianza kuumwa sana, alikuwa ni mtu wa mawazo sana, stress kibao, ndipo kuna siku aliniita na mda huo tayari nishaanza maisha ya kujitegemea, ndio bimkubwa akanipa hio siri kwamba yule mbaba ni baba yangu, alinisihi sana nisiwaambie wengine, kwa utu uzima niliokuwa nao wa kuyaona mengi wala haikuwa pigo zito sana maana nilishatambua baba ni yule alienilea na haitakuwa kivingine,

Kinachoniuma ni kwamba huwa naona mama alimfanyia unyama baba alienilea, lakini siwezi jua labda pengine nae mzee alikua anajua na huenda kuna siku angeniambia ila akawahi kuondoka ama aliamua kuifagilia ishu hii chini ya kapeti, ila yote kwa yote nilizaliwa kipindi ambacho tayari wamo kwenye ndoa, mzee alienilea alinitambulisha kwa ndugu zake wengi na nina ukaribu nao kina baba mkubwa, baba mdogo na mashangazi.

Napata mashaka zaidi kama walionitangulia na niliemtangulia kama ni watoto wa baba alienilea ama wa mwengine.
Kuna lecture chuo kikuu Cha serikali hapa nchini story yako Kama wewe, Ila ye anadili na baba yake aliyemlea toka utoto kumsomesha na n.k, na kashawajengea nyumba na Sasa wamezeeka kawachukua kwa muda kupumzika kwake.
 
Back
Top Bottom