Mama aliniambia baba aliyenilea kwa miaka 25 si wangu baada ya kifo chake, lakini daima nitakukumbuka baba uliyenilea kuzidi aliyerusha mbegu

Mama aliniambia baba aliyenilea kwa miaka 25 si wangu baada ya kifo chake, lakini daima nitakukumbuka baba uliyenilea kuzidi aliyerusha mbegu

Aliekupa ugali ndio baba yako mzee achana na huyo aliekupa vitoi.
Unajua Mleta Mada Naona Kama Huwa Hasomi Vizuri Nondo Za JF
Miaka Nadhani 5 Imepita Member Alilelewa Na Baba Yake Tangu Hajijui Mpaka Anajijua
Akiwa Chuo UDOM, Mama Yake Akamfuata Eti Akamuonyeshe Baba Mzazi


Kijana Alimwambia Mama Yake, Baba Anayemjua Na Kumfahamu Ni Huyu Aliyemlea Tangu Hajijui Mpaka Chuo Huyo Mwingine Hamtambui Kwa Lolote

Mleta Mada Hujiulizi Watoto Wote Wanaolelewa Vituo Vya Watoto YATIMA Huanzishaje Family Zao? Iwapo Amelelewa Kituo Cha Kikristo Moja Kwa Moja Atakuwa Mkristo Haijarishi Hata Waliomtupa Kama Wanatoka Imani. Nyingine


Wenyewe Hujichagulia Kabila, Baadaye Wanaanza Maisha WaKuoa Haya WaKuolewa Haya
 
Baba nilemjua ni baba yangu mzazi ambae nae alijua mimi ni mtoto wake alinilea kwa mapenzi yote, kunifundisha vingi katika maisha, kunisomesha shule mpaka chuo kikuu, kunivisha, kunilisha, n.k. Kwa miaka 25, hata nilipoanza kujitegemea bado nahesabia kuna majukumu yake kama baba yaliendelea ikiwemo ushauri.

Ni baada ya kifo chake ndipo mama akaniambia ukweli.

Baba wa kibailojia nilikuja kumjua baada ya msiba wa baba, ila kumjua namjua maana kuna kipindi hasa utotoni mama alikuwa anaomba nimsindikize sehemu ila tunapitia kwa bwana huyo ni mbali kidogo kama kilometa 3 hivi alikuwa anapenda kuninunulia vyakula na kunipa vitoy lakini hivi vya kurudi navyo mama alikuwa anaviweka chumbani hanipi, Namkumbuka ila kusema kweli hata hatujazoeana hata kidogo ila namjua tu, kiufupi hata hatuna cha kujadiliana,

Napata mashaka zaidi kama walionitangulia na niliemtangulia kama ni watoto wa baba alienilea ama wa mwengine.

Lakini huwa nawaza sana huwa nahisi mama alimfanyia unyama baba alienilea.
Mantiki ya kukwambia hayo yote ni nini na kwa nini iwe baada ya kifo cha baba aliye kulea?? Kwa haraka mama yako kafeli kama toka mwanzo aliamua kula buyu angeendelea kula tu buyu mpaka mwisho wa uhai wake na it's really shame kwa huyo uliyetambulisha kuwa ni baba yako mzazi. Kwa kifupi kikundi cha wahuni kimeamua kudhihirisha uhuni wao baada ya miaka 25 kupita
 
Mantiki ya kukwambia hayo yote ni nini na kwa nini iwe baada ya kifo cha baba aliye kulea?? Kwa haraka mama yako kafeli kama toka mwanzo aliamua kula buyu angeendelea kula tu buyu mpaka mwisho wa uhai wake na it's really shame kwa huyo uliyetambulisha kuwa ni baba yako mzazi. Kwa kifupi kikundi cha wahuni kimeamua kudhihirisha uhuni wao baada ya miaka 25 kupita
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣😂😂Wahuni Siyo Watu Wazuri
Hivi Mtu Mzima Ananyoa Juu Na Chini Eti Anapelekwa Kama Gogo Huyu Ndiyo Sijui....
Halafu Anakubali Ujue Amesoma Lakini Hajaelimika
 
Baba nilemjua ni baba yangu mzazi ambae nae alijua mimi ni mtoto wake alinilea kwa mapenzi yote, kunifundisha vingi katika maisha, kunisomesha shule mpaka chuo kikuu, kunivisha, kunilisha, n.k. Kwa miaka 25, hata nilipoanza kujitegemea bado nahesabia kuna majukumu yake kama baba yaliendelea ikiwemo ushauri.

Ni baada ya kifo chake ndipo mama akaniambia ukweli.

Baba wa kibailojia nilikuja kumjua baada ya msiba wa baba, ila kumjua namjua maana kuna kipindi hasa utotoni mama alikuwa anaomba nimsindikize sehemu ila tunapitia kwa bwana huyo ni mbali kidogo kama kilometa 3 hivi alikuwa anapenda kuninunulia vyakula na kunipa vitoy lakini hivi vya kurudi navyo mama alikuwa anaviweka chumbani hanipi, Namkumbuka ila kusema kweli hata hatujazoeana hata kidogo ila namjua tu, kiufupi hata hatuna cha kujadiliana,

Napata mashaka zaidi kama walionitangulia na niliemtangulia kama ni watoto wa baba alienilea ama wa mwengine.

Lakini huwa nawaza sana huwa nahisi mama alimfanyia unyama baba alienilea.
Mama yako alikuwa malaya sana
 
Mheshimu tu lakini huyo aliyerusha mbegu ndio babaako halisi.

Kwa kifupi wewe ni Jiwe la kwenye manati, na manati yenyewe ni babaako aliyekurusha kwenye tumbo la mamaako.
Waheshimu wote tafadhali... Huyo mlezi alikulea kwa sababu ya utamu wa mbususu ya mama
Mna dharau nyie
 
Baba nilemjua ni baba yangu mzazi ambae nae alijua mimi ni mtoto wake alinilea kwa mapenzi yote, kunifundisha vingi katika maisha, kunisomesha shule mpaka chuo kikuu, kunivisha, kunilisha, n.k. Kwa miaka 25, hata nilipoanza kujitegemea bado nahesabia kuna majukumu yake kama baba yaliendelea ikiwemo ushauri.

Ni baada ya kifo chake ndipo mama akaniambia ukweli.

Baba wa kibailojia nilikuja kumjua baada ya msiba wa baba, ila kumjua namjua maana kuna kipindi hasa utotoni mama alikuwa anaomba nimsindikize sehemu ila tunapitia kwa bwana huyo ni mbali kidogo kama kilometa 3 hivi alikuwa anapenda kuninunulia vyakula na kunipa vitoy lakini hivi vya kurudi navyo mama alikuwa anaviweka chumbani hanipi, Namkumbuka ila kusema kweli hata hatujazoeana hata kidogo ila namjua tu, kiufupi hata hatuna cha kujadiliana,

Napata mashaka zaidi kama walionitangulia na niliemtangulia kama ni watoto wa baba alienilea ama wa mwengine.

Lakini huwa nawaza sana huwa nahisi mama alimfanyia unyama baba alienilea.
Hao ndo wanawake!
Sasa kama wamama wa miaka hiyo waliweza kubambikia watu watoto je hawa wa leo ambao wamekengeuka?
#Kijana kataa ndoa
 
Baba nilemjua ni baba yangu mzazi ambae nae alijua mimi ni mtoto wake alinilea kwa mapenzi yote, kunifundisha vingi katika maisha, kunisomesha shule mpaka chuo kikuu, kunivisha, kunilisha, n.k. Kwa miaka 25, hata nilipoanza kujitegemea bado nahesabia kuna majukumu yake kama baba yaliendelea ikiwemo ushauri.

Ni baada ya kifo chake ndipo mama akaniambia ukweli.

Baba wa kibailojia nilikuja kumjua baada ya msiba wa baba, ila kumjua namjua maana kuna kipindi hasa utotoni mama alikuwa anaomba nimsindikize sehemu ila tunapitia kwa bwana huyo ni mbali kidogo kama kilometa 3 hivi alikuwa anapenda kuninunulia vyakula na kunipa vitoy lakini hivi vya kurudi navyo mama alikuwa anaviweka chumbani hanipi, Namkumbuka ila kusema kweli hata hatujazoeana hata kidogo ila namjua tu, kiufupi hata hatuna cha kujadiliana,

Napata mashaka zaidi kama walionitangulia na niliemtangulia kama ni watoto wa baba alienilea ama wa mwengine.

Lakini huwa nawaza sana huwa nahisi mama alimfanyia unyama baba alienilea.
Stori za kutunga za wakataa ndoa
 
Hatari Sana Hapa Duniani
Na huyo biological father ndo inaonekana mama yake ndo ana hisia nae alafu huyo baba yake mlezi inaonekana ni kama alilazimisha penzi na ndoa kwa mama yake

Kitu cha kujifunza kwenye maisha usilazimishe penzi kwa mwanamke utakuja kupata majuto makuu
 
Baba nilemjua ni baba yangu mzazi ambae nae alijua mimi ni mtoto wake alinilea kwa mapenzi yote, kunifundisha vingi katika maisha, kunisomesha shule mpaka chuo kikuu, kunivisha, kunilisha, n.k. Kwa miaka 25, hata nilipoanza kujitegemea bado nahesabia kuna majukumu yake kama baba yaliendelea ikiwemo ushauri.

Ni baada ya kifo chake ndipo mama akaniambia ukweli.

Baba wa kibailojia nilikuja kumjua baada ya msiba wa baba, ila kumjua namjua maana kuna kipindi hasa utotoni mama alikuwa anaomba nimsindikize sehemu ila tunapitia kwa bwana huyo ni mbali kidogo kama kilometa 3 hivi alikuwa anapenda kuninunulia vyakula na kunipa vitoy lakini hivi vya kurudi navyo mama alikuwa anaviweka chumbani hanipi, Namkumbuka ila kusema kweli hata hatujazoeana hata kidogo ila namjua tu, kiufupi hata hatuna cha kujadiliana,

Napata mashaka zaidi kama walionitangulia na niliemtangulia kama ni watoto wa baba alienilea ama wa mwengine.

Lakini huwa nawaza sana huwa nahisi mama alimfanyia unyama baba alienilea.
Achani kuanika umalaya wa wazazi wenu mnawadhalilishs
 
Mheshimu tu lakini huyo aliyerusha mbegu ndio babaako halisi.

Kwa kifupi wewe ni Jiwe la kwenye manati, na manati yenyewe ni babaako aliyekurusha kwenye tumbo la mamaako.
Waheshimu wote tafadhali... Huyo mlezi alikulea kwa sababu ya utamu wa mbususu ya mama
Duh.! Hapo mwishoni [emoji848]
 
Back
Top Bottom