Mama aliyedaiwa kufanya ukatili na video yake kusambaa mitandaoni akimpiga mtoto akamatwa

Mama aliyedaiwa kufanya ukatili na video yake kusambaa mitandaoni akimpiga mtoto akamatwa

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Sabrina Shabani, mwenye umri wa miaka 28, mkazi wa Mbezi Mwisho, baada ya video kusambaa mitandaoni ikimuonesha akimshambulia mtoto mdogo. Tukio hilo limeibua masikitiko na hasira kwa umma, na uchunguzi wa awali ulifanywa kwa kushirikiana na Idara ya Ustawi wa Jamii.

Mtuhumiwa atafikishwa mahakamani mara tu uchunguzi utakapokamilika. Jeshi la Polisi limewataka wananchi kujiepusha na vitendo vya ukatili, likionya kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya wahalifu.
Taarifa ya Jeshi la Polisi

Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam linapenda kutoa taarifa kuhusiana na tukio la picha mjongeo (video) zilizoonekana kwenye mitandao ya kijamii zikionesha mwanamke mmoja akimshambulia mtoto mdogo kwenye eneo la makazi. Vitendo hivyo havikubaliki na kwa hali hiyo upelelezi wa awali ulifanyika kwa kushirikiana na idara ya ustawi wa jamii na kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa Sabrina Shabani miaka 28 mkazi wa Mbezi mwisho Ubungo Dar es Salaam.
TAARIFA.jpeg
Pia, Soma:
+
Waziri Gwajima kukomesha ukatili baada ya video ya Mama akimshambulia mtoto kusambaa
+ House girl aliyemkata shingo mtoto wa mwajiri wake akamatwa na polisi
+ Kemeo la ukatili dhidi ya mtoto Malik Hashim Kitumbi
+ TLS Yalaani Vikali Udhalilishaji na Ukatili wa Kijinsia wa Binti kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam
 
WENGI WA WATU HAPA, WALIPIGWA KAMA HIVYO NA WANAPIGWA KAMA HIVYO AU KULIKO HIVYO, NA WENGINE HAPA WANAPIGA WATOTO WAO KAMA HIVYO, KWELI KAMPIGA MTOTO WAKE LAKINI KIPIGO HICHO BADO HAKIJAITWA CHA KIKATILI, NILICHOKIONA HAPO HUYU MAMA NI MWENYE HASIRA NA KOSA ALILOFANYA BINTI YAKE.
LA MUHIMU NI KUMFAHAMISHA VIPI AWEZE KUZIMUDU HASIRA ZAKE WA WATU WOTE SIO KWA BINTI YAKE TUU.
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Sabrina Shabani, mwenye umri wa miaka 28, mkazi wa Mbezi Mwisho, baada ya video kusambaa mitandaoni ikimuonesha akimshambulia mtoto mdogo. Tukio hilo limeibua masikitiko na hasira kwa umma, na uchunguzi wa awali ulifanywa kwa kushirikiana na Idara ya Ustawi wa Jamii.

Mtuhumiwa atafikishwa mahakamani mara tu uchunguzi utakapokamilika. Jeshi la Polisi limewataka wananchi kujiepusha na vitendo vya ukatili, likionya kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya wahalifu.
Taarifa ya Jeshi la Polisi

Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam linapenda kutoa taarifa kuhusiana na tukio la picha mjongeo (video) zilizoonekana kwenye mitandao ya kijamii zikionesha mwanamke mmoja akimshambulia mtoto mdogo kwenye eneo la makazi. Vitendo hivyo havikubaliki na kwa hali hiyo upelelezi wa awali ulifanyika kwa kushirikiana na idara ya ustawi wa jamii na kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa Sabrina Shabani miaka 28 mkazi wa Mbezi mwisho Ubungo Dar es Salaam.
Pia, Soma:
+
Waziri Gwajima kukomesha ukatili baada ya video ya Mama akimshambulia mtoto kusambaa
+ House girl aliyemkata shingo mtoto wa mwajiri wake akamatwa na polisi
+ Kemeo la ukatili dhidi ya mtoto Malik Hashim Kitumbi
+ TLS Yalaani Vikali Udhalilishaji na Ukatili wa Kijinsia wa Binti kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam
Vipi kuhusu huyu aliyepiga picha husika kwanini asichukuliwe hatua za kisheria?
 
WENGI WA WATU HAPA, WALIPIGWA KAMA HIVYO NA WANAPIGWA KAMA HIVYO AU KULIKO HIVYO, NA WENGINE HAPA WANAPIGA WATOTO WAO KAMA HIVYO, KWELI KAMPIGA MTOTO WAKE LAKINI KIPIGO HICHO BADO HAKIJAITWA CHA KIKATILI, NILICHOKIONA HAPO HUYU MAMA NI MWENYE HASIRA NA KOSA ALILOFANYA BINTI YAKE.
LA MUHIMU NI KUMFAHAMISHA VIPI AWEZE KUZIMUDU HASIRA ZAKE WA WATU WOTE SIO KWA BINTI YAKE TUU.
Unafiki tu wa watu, labda kuwe na video nyingine au mkasa mwingine haujawekwa wazi.
 
Back
Top Bottom