Chinchiler
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 1,513
- 2,019
Sio mwanae ni mtoto wake wa kambo mama yake alitofautiana na babaye kitambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanafiki sana. Na polisi hawana kazi.Duuuh labda kama kuna video nyingine. Ila hicho kipigo mbona cha kawaida saana hata police kutolea tamko.
Ndio maana watu wame react sana.Sio mwanae ni mtoto wake wa kambo mama yake alitofautiana na babaye kitambo
hivi huyu mchukua video alikuwa wapi muda huo. If I may ask!Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Sabrina Shabani, mwenye umri wa miaka 28, mkazi wa Mbezi Mwisho, baada ya video kusambaa mitandaoni ikimuonesha akimshambulia mtoto mdogo. Tukio hilo limeibua masikitiko na hasira kwa umma, na uchunguzi wa awali ulifanywa kwa kushirikiana na Idara ya Ustawi wa Jamii.
Mtuhumiwa atafikishwa mahakamani mara tu uchunguzi utakapokamilika. Jeshi la Polisi limewataka wananchi kujiepusha na vitendo vya ukatili, likionya kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya wahalifu.
Taarifa ya Jeshi la Polisi
Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam linapenda kutoa taarifa kuhusiana na tukio la picha mjongeo (video) zilizoonekana kwenye mitandao ya kijamii zikionesha mwanamke mmoja akimshambulia mtoto mdogo kwenye eneo la makazi. Vitendo hivyo havikubaliki na kwa hali hiyo upelelezi wa awali ulifanyika kwa kushirikiana na idara ya ustawi wa jamii na kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa Sabrina Shabani miaka 28 mkazi wa Mbezi mwisho Ubungo Dar es Salaam.
Pia, Soma:
+ Waziri Gwajima kukomesha ukatili baada ya video ya Mama akimshambulia mtoto kusambaa
+ House girl aliyemkata shingo mtoto wa mwajiri wake akamatwa na polisi
+ Kemeo la ukatili dhidi ya mtoto Malik Hashim Kitumbi
+ TLS Yalaani Vikali Udhalilishaji na Ukatili wa Kijinsia wa Binti kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam
Hcho ndo kipigo chote ama Kuna chengine hakijaoneshwa mana hcho naona Cha kawaida , hajampiga kichwani Wala kumtoa damuU
Hongera sana waziri Gwajima na jeshi la polisiWananchi walipaza sauti Heko kwao...viongozi waliochukua hatua...ndio kazi yao...mwezi huu wanakula mshahara kutoka kwaa wananchi walipa kodi kihalali.
Wewe uko na akili sawasawa mkuu??Hcho ndo kipigo chote ama Kuna chengine hakijaoneshwa mana hcho naona Cha kawaida , hajampiga kichwani Wala kumtoa damu
Utawafunga wangapi. Shida ni hatuna elimu ya kifamilia, ukoo, jando jinsi ya kukuza watoto.Yeye anafundsha practical halafu yeye akikosea wamfundshe kwa theory??
Huyu dada anatakiwa awe chini ya uangalizi wa ustawi wa jamii, anapokamatwa na kuwekwa mahabusu anayeathirikaJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Sabrina Shabani, mwenye umri wa miaka 28, mkazi wa Mbezi Mwisho, baada ya video kusambaa mitandaoni ikimuonesha akimshambulia mtoto mdogo. Tukio hilo limeibua masikitiko na hasira kwa umma, na uchunguzi wa awali ulifanywa kwa kushirikiana na Idara ya Ustawi wa Jamii.
Mtuhumiwa atafikishwa mahakamani mara tu uchunguzi utakapokamilika. Jeshi la Polisi limewataka wananchi kujiepusha na vitendo vya ukatili, likionya kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya wahalifu.
Taarifa ya Jeshi la Polisi
Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam linapenda kutoa taarifa kuhusiana na tukio la picha mjongeo (video) zilizoonekana kwenye mitandao ya kijamii zikionesha mwanamke mmoja akimshambulia mtoto mdogo kwenye eneo la makazi. Vitendo hivyo havikubaliki na kwa hali hiyo upelelezi wa awali ulifanyika kwa kushirikiana na idara ya ustawi wa jamii na kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa Sabrina Shabani miaka 28 mkazi wa Mbezi mwisho Ubungo Dar es Salaam.
Pia, Soma:
+ Waziri Gwajima kukomesha ukatili baada ya video ya Mama akimshambulia mtoto kusambaa
+ House girl aliyemkata shingo mtoto wa mwajiri wake akamatwa na polisi
+ Kemeo la ukatili dhidi ya mtoto Malik Hashim Kitumbi
+ TLS Yalaani Vikali Udhalilishaji na Ukatili wa Kijinsia wa Binti kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam
Kwa hiyo unaona ni sawa mtu mzima kumpiga mtoto mateke kwani hakuna njia nyingine ya kumpa punishment.Niliona original post sikufungua kwasababu sipendi kuangalia ukatili. Ila leo nimesema ngoja nione. Hii video ndio yote au kuna kipigo kimefichwa? Hebu tuache utani. Huyo dogo ni bingwa wa kupiga yowe tu hakuna kipigo hapo. Au sio mama yake? Kama ni mtoto wa mwingine labda ila mwanae hio adhabu ya kawaida sana.
Ameteswa kwa lipi hapo? upumbavu na ulimbukeni tu wa mitandao.Duh aiseee kuna watu wanaroho za kikatili kutesa watoto
Mie niko nashangaa eti...Niliona original post sikufungua kwasababu sipendi kuangalia ukatili. Ila leo nimesema ngoja nione. Hii video ndio yote au kuna kipigo kimefichwa? Hebu tuache utani. Huyo dogo ni bingwa wa kupiga yowe tu hakuna kipigo hapo. Au sio mama yake? Kama ni mtoto wa mwingine labda ila mwanae hio adhabu ya kawaida sana.
Ila watoto wa siku hizi tunawadekeza sana! Hicho hakiwezi kuitwa kipigo au kumshambulia mtoto. Ni cha kawaida sana kwa mtoto mtovu wa nidhamu. Kama huwa anampiga kila siku hiyo ni habari nyingine lakini kama ni pale anapokosea, ni kawaida sana!Hcho ndo kipigo chote ama Kuna chengine hakijaoneshwa mana hcho naona Cha kawaida , hajampiga kichwani Wala kumtoa damu
Kuna ngumi hapo kweli? Huu sasa ni uchochezi. Mbona naona kama alikuwa anatumia kiganja kumpiga matakoni? Kitu ambacho ni kawaida sana na mama huyo amekuwa mwangalifu hajampiga makofi kichwani! Jamani watu tumepigwa ati! Hicho cha kawaida mno ukilinganisha na enzi zile!Mtoto unampiga ngumi na mateke halafu unaona sawa tu! Tuchukulie ni mwanao yupo kwa mkeo mdogo ama kwa ndg yako yeyote uingie gafla ukute ananyukwa mangumi. Wewe unaangalia ngumi zinapanda na kushuka ushapiga hesabu ya force ya hizo ngumi?? Huna mtoto wewe hata kama unae basi humpendi na kumthamini kivile