Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Boma yeee yeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni maoni yako mkuu. Mfano uliotoa hausadifu hiki ninachokisema hapa. Kuacha kazi kisa mume ni uwendawazimu. Cha ajabu huyo mume unayekaa naye bega kwa bega akiamua kuchepuka, lazima atachepuka tu. Kukaa pamoja sio ulinzi sahihi kwa mume kwani mume hulindwa na Mungu, sio mke.Kwahiyo wewe unaamini maisha ni kuajiriwa tu ?
Huyo mama yupo logically kukuzidi wewe katazama mbali na kaangalia the future of her daughter in long run benefits
Mimi Dada yangu aliacha Kazi na kutoka ulaya kumfata mwanaume Tz na Leo she is well of
So kuna wanaume ni potential Sana usiwe na fikra za kimasikini kuwa Kazi ni kuajiriwa serikalini tu.
Mkuu kweli hujaridhishwa kabisa na alichokifanya, sadly ni kwamba huna chakumfanya. So let her live her life Mkuu.Kama sio kipaumbele chake kwanini aliomba kazi? What a flimsy excuse!
Wewe kwenye ndoa umeona hiyo tu. Lucrative is not everything, kuna watu wana physical things za kila aina lakini wako empty vibaya mno.Kwako wewe kuacha permant and lucrative employment kwa sababu ya mume ndicho kipaumbele chako?
DUh mwanaume kuwa mbeya hivi haipendezi aisee , ila una hoja usikilizweKatika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mzzazi amemshauri binti yake kuacha kazi ili kumfuata nume wake ambaye amehamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine.
Kituko hiki kilitokea mnamo mwaka jana baada ya mume huyo kuhamishwa kutoka mkoa wa nyanda za juu kusini na kupelekwa mkoa wa kanda ya ziwa. Mume alipopata uhamisho, mke wake mwenye mtoto mmoja, ,aliyeolewa yapata miaka 3 iliyopita, alijaribu kuomba uhamisho ili kumfuata mumewe lakini waajiri wake walionekana kuchelewesha uhamisho wake wakati yeye aliomba kumfuata mumewe haraka iwezekanavyo.
Alipoona uhamisho unachelewa alimuendea mama yake mzazi kumuomba ushauri nini afanye. Bila kumumunya maneno, mama yake alimshauri kuacha kazi mara moja. 'Mume wako yupo kanda ya ziwa, wewe upo kanda ya nyanda za juu, hapo hakuna ndoa. Kama uhamisho wako unachelewa, acha kazi mara moja umfuate mumewe; shauri yako!' Alisikika mama akimshauri mwanaye.
Bila kusita, binti aliandika barua ya kuacha kazi yake ya uhasibu (senior accountant CPA) na kumfuata mume. Sasa hivi ninapoandika uzi huu, huyo mwanamke ni mama wa nyumbani na hana namna ya kuajiriwa tena kwani umri wake umesogea.
MAONI YANGU
Hivi akina mama kuna wakati wanafikiri kwa kutumia kwa kiungo cha chini tu au ni namna gani wenzangu? Inakuwaje mama amshairi senior accountant kuacha kazi na yeye kweli anamsikiliza mama na kuacha kazi? Akina mama wamerogwa na nani hasa?
Huu ushauri ungetolewa kwa mwanaume nina hakika angeupuuzilia mbali. Kwa kuwa akina mama alkili zao zinaishia kwenye urefu wa pua zao, ndio maana wanaweza kushawishika kuacha kazi kwa sababu tu ya kufuata m.b00 ambayo hata ichepuke kiasi gani haiishi.
Je, ingekuwa wewe mwanaJF ndiye umepewa ushauri wa aina hii, ungemsikiliza mama yako au ungetupilia mbali ushauri wake?
Please compare the cost of losing the job and the benefit of staying together with wife/husband. These are two incomparable entities. Dont compare thresh (marriage) with treasure (employment).kila mtu ana vipaumbele vyake. Na kwa afya ya familia na ndoa ni vyema wanandoa waishi pamoja
Jamaa anatakiwa atafute mtaji wafanye biasharaMkuu usitetee jambo la ovyo kama hili. Hebu muonee huruma mwenzako. Sasa hivi anajuta kusikiliza maoni ya mama yake. Anatamani walau apate mtu amuajiri kama dada wa kazi, lakini wapi!
Watu wanatofautiana wakati wewe una judge based on your lens, wale wana lens yao, so mwisho wa siku let them B
Wewe ndiye uliyeleta makasiriko kuhusu maisha ya watu ambayo hayakuhusuWewe ndiye unayeleta makasiriko kwa jambo ambao you cannot undo. Nilikujibu kadri ulivyouliza mkuu.
Huyu ni ndugu yangu wa karibu. Niliposikia kuwa ameacha kazi kwa ushauri wa mamaye na nikitazama maisha anayoishi sasa namsikitikia sanaWewe umejuaje yote haya ndugu yangu? Ila Mkuu kuna watu ajira na fedha sio vipaumbele vyao wala tusiwashangae na kuwalaumu.
Hayo ni maoni yako mkuu. Mfano uliotoa hausadifu hiki ninachokisema hapa. Kuacha kazi kisa mb.oo ni uwendawazimu. Cha ajabu huyo mume unayekaa naye bega kwa bega akiamua kuchepuka, lazima atachepuka tu. Kukaa pamoja sio ulinzi sahihi kwa mume kwani mume hulindwa na Mungu, sio mke.
Hii ndio fwact yenyewe....mwanamke ni pambo inabidi atulie nyumbani kidume uchakarike.Kama familia yote inajiweza kwanini asiache kazi na kumfuata mumewe?.
Umasikini ndio chanzo wanawake kuwa watafutaji.