Mama amshauri mwanaye kuacha kazi kisa ndoa

Mama amshauri mwanaye kuacha kazi kisa ndoa

Hebu nielimisha kuhusu ndoa mkuu. Kwa hiyo wanandoa wote hapa ullimwenguni wapo panoja wanaatamiana kama kuku anavyoatamia mayai? Hapa nchini hakuna wanandoa wanaoishi na kufanya kazi mikoa tofauti? Na hapa ulimwenguni hakuna wanandoa wanaishi na kufanya kazi nchi na mabara tofauti?
Mambo ya watu wenye magego yaliyokomaa achana nayo.Utaota kibyongo/hunchback.
 
Hivi akina mama kuna wakati wanafikiri kwa kutumia kiungo cha chini tu au ni namna gani wenzangu? Inakuwaje mama amshairi senior accountant kuacha kazi na yeye kweli anamsikiliza mama na kuacha kazi? Akina mama wamerogwa na nani hasa?
tukuulize mama ww unafikiria na kiungo cha chini??
au mama yako anafikiribna kiungo cha chini??
 
Kwanza, hakukuwa na ulazima wa yeye kuharakia kuacha kazi badala yake angesubiri uhamisho hata kama ungechukua mwaka.

Watu mpaka mnafikia hatua ya kufunga ndoa mnapaswa kuelewa utafika wakati kutakuwa na utengano iwe kikazi au kiafya (ugonjwa n.k)
Hivyo suala la kuhamishwa mume kikazi sio la ajabu wala haliwezi kuonekana kama tatizo.

Vipi kama mume huyohuyo akipangiwa kwenda masomoni nje ya nchi? Hatoenda sababu ya ndoa?

Nafikiri ndoa ni uvumilivu, uaminifu na maelewano. Kuhamishwa kikazi ni jambo dogo sana mke kuacha kazi harakaharaka kumfuata mume.
 
Itakua
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mzzazi amemshauri binti yake kuacha kazi ili kumfuata nume wake ambaye amehamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine.

Kituko hiki kilitokea mnamo mwaka jana baada ya mume huyo kuhamishwa kutoka mkoa wa nyanda za juu kusini keenda mkoa wa kanda ya ziwa. Mume alipopata uhamisho, mke wake mwenye mtoto mmoja, ,aliyeolewa yapata miaka 3 iliyopita, alijaribu kuomba uhamisho ili kumfuata mumewe lakini waajiri wake walionekana kuchelewesha uhamisho wake wakati yeye aliomba kumfuata mumewe haraka iwezekanavyo.

Alipoona uhamisho unachelewa alimuendea mama yake mzazi kumuomba ushauri nini afanye. Bila kumumunya maneno, mama yake alimshauri kuacha kazi mara moja. 'Mume wako yupo kanda ya ziwa, wewe upo kanda ya nyanda za juu, hapo hakuna ndoa. Kama uhamisho wako unachelewa, acha kazi mara moja umfuate mumewe; shauri yako!' Alisikika mama akimshauri mwanaye.

Bila kusita, binti aliandika barua ya kuacha kazi yake ya uhasibu (senior accountant (CPA) na kumfuata mume. Sasa hivi ninapoandika uzi huu, huyo mwanamke ni mama wa nyumbani na hana namna ya kuajiriwa tena kwani umri wake umesogea.

MAONI YANGU
Hivi akina mama kuna wakati wanafikiri kwa kutumia kiungo cha chini tu au ni namna gani wenzangu? Inakuwaje mama amshairi senior accountant kuacha kazi na yeye kweli anamsikiliza mama na kuacha kazi? Akina mama wamerogwa na nani hasa?

Huu ushauri ungetolewa kwa mwanaume nina hakika angeupuuzilia mbali. Kwa kuwa akina mama alkili zao zinaishia kwenye urefu wa pua zao, ndio maana wanaweza kushawishika kuacha kazi kwa sababu tu ya kufuata m.b00 ambayo hata ichepuke kiasi gani haiishi.

Je, ingekuwa wewe mwanaJF ndiye umepewa ushauri wa aina hii, ungemsikiliza mama yako au ungetupilia mbali ushauri wake?
Itakuwa hukulelewa hukelelewa nyumbani bali umejilea mtaani.
Hivi unafahamu madhara ya NDOA ZA BLUETOOTH KWA MALEZI YA WATOTO?
Kwa nini hukuelekeza LAWAMA ZAKO USITAWI WA JAMII AU SERIKSLINI KWA KUTOTOA UHAMISHO KWA WATUMISHI NDANI YA MUDA MUAFAKA ETI UNATAKA MUENDELEE KULAWITI WATOTO KUTOKANA NA KUKOSA UANGALIZI,PUMBUVA KABISA WEWE.
 
Itakua

Itakuwa hukulelewa hukelelewa nyumbani bali umejilea mtaani.
Hivi unafahamu madhara ya NDOA ZA BLUETOOTH KWA MALEZI YA WATOTO?
Kwa nini hukuelekeza LAWAMA ZAKO USITAWI WA JAMII AU SERIKSLINI KWA KUTOTOA UHAMISHO KWA WATUMISHI NDANI YA MUDA MUAFAKA ETI UNATAKA MUENDELEE KULAWITI WATOTO KUTOKANA NA KUKOSA UANGALIZI,PUMBUVA KABISA WEWE.
Ama kweli wewe ni Mnafiki Wa Kujitegemea . Mimi kutoa maoni yangu hapa kuna uhusiano gani na mipango ya serikali kuhusu uhamisho wa watumishi wake?

Kuna watu wanaomba uhamisho na kufanikiwa kuhama baada ya miaka 5. Yeye ameomba kuhama haujaisha hata mwaka mmoja anaaacha kazi halafu unataka serikali imuonee huruma? You cant be serious mkuu.

Mheshimiwa Dkt. Gwajima D tafadhali njoo huku usikilize kilio cha wananchi wako.
 
Pale kichwa cha chini kinapozidi akili kichwa cha juu!

Maamuzi ya kijuha kuwahi kutokea..

Cc Smart911
Imasikitisha sana mkuu. Halafu humu kuna watu wanapenda sana m.boo eti wanamuunga mkono mpenda m.boo mwenzao. Inahudhunisha sana aisee!
 
Back
Top Bottom