Mama amshauri mwanaye kuacha kazi kisa ndoa

Mama amshauri mwanaye kuacha kazi kisa ndoa

Kwanza unakuwaje na mke anafanya kazi. Mke kazi yake kulea mume na watoto wakati baba anatafuta. Mama yuko sawa kabisa.
Akili zako na za huyo mwanamke aliacha kazi na kufuata m boo zinafanana.
 
Kuna watu kibao hawana kazi za kuajiriwa na wanaishi maisha mazuri tu kuliko hao waajiriwa! Mkuu usikariri maisha!!
Kama akina Mo na Bakhressa? Kwa hiyo unashauri watu waache kazi wajiajiri mkuu?
 
Kuna watu wako na maamuzi magumu🙆🙆🙆
Tena maamuzi magumu na ya ovyo kuliko kawaida. Watu wanatembea wakitafuta kazi mpaka soli za viatu zinaisha halafu anakuja mjinga mmoja anaacha kazi nzuri kwa sababu ya m.boo. inauma sana.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mzzazi amemshauri binti yake kuacha kazi ili kumfuata nume wake ambaye amehamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine.

Kituko hiki kilitokea mnamo mwaka jana baada ya mume huyo kuhamishwa kutoka mkoa wa nyanda za juu kusini keenda mkoa wa kanda ya ziwa. Mume alipopata uhamisho, mke wake mwenye mtoto mmoja, ,aliyeolewa yapata miaka 3 iliyopita, alijaribu kuomba uhamisho ili kumfuata mumewe lakini waajiri wake walionekana kuchelewesha uhamisho wake wakati yeye aliomba kumfuata mumewe haraka iwezekanavyo.

Alipoona uhamisho unachelewa alimuendea mama yake mzazi kumuomba ushauri nini afanye. Bila kumumunya maneno, mama yake alimshauri kuacha kazi mara moja. 'Mume wako yupo kanda ya ziwa, wewe upo kanda ya nyanda za juu, hapo hakuna ndoa. Kama uhamisho wako unachelewa, acha kazi mara moja umfuate mumewe; shauri yako!' Alisikika mama akimshauri mwanaye.

Bila kusita, binti aliandika barua ya kuacha kazi yake ya uhasibu (senior accountant (CPA) na kumfuata mume. Sasa hivi ninapoandika uzi huu, huyo mwanamke ni mama wa nyumbani na hana namna ya kuajiriwa tena kwani umri wake umesogea.

MAONI YANGU
Hivi akina mama kuna wakati wanafikiri kwa kutumia kiungo cha chini tu au ni namna gani wenzangu? Inakuwaje mama amshairi senior accountant kuacha kazi na yeye kweli anamsikiliza mama na kuacha kazi? Akina mama wamerogwa na nani hasa?

Huu ushauri ungetolewa kwa mwanaume nina hakika angeupuuzilia mbali. Kwa kuwa akina mama alkili zao zinaishia kwenye urefu wa pua zao, ndio maana wanaweza kushawishika kuacha kazi kwa sababu tu ya kufuata m.b00 ambayo hata ichepuke kiasi gani haiishi.

Je, ingekuwa wewe mwanaJF ndiye umepewa ushauri wa aina hii, ungemsikiliza mama yako au ungetupilia mbali ushauri wake?
Mama yuko sawa 100%. Uharibu ndoa yako kwa mishahara hii ya kibongo wiki moja hautoshi.
 
Kama familia yote inajiweza kwanini asiache kazi na kumfuata mumewe?.

Umasikini ndio chanzo wanawake kuwa watafutaji.
Kazi gani bwana mshahara hata wiki haumalizi umeisha watu hapa utasikia kaacha kazi utasema alikuwa analipwa dola alfu 10. Mama ana busara ndoa ni muhimu kuliko hiyo million mwisho wa mwezi.
 
Hii ndio fwact yenyewe....mwanamke ni pambo inabidi atulie nyumbani kidume uchakarike.
Haya mambo ya kuoa mke yupo mwanza mume dodoma ni kudanganyana tuu hapo everybody will cheat its a matter of time tuu
Kabisa mwanamme mzima unategemea mke afanye kazi alishe nyumba. Kazi ya kuhudumia family ni mwanammke mke kuangalia family na kupata mahitaji kutoka kwa mumewe ndio majukumu yetu. Mimi binafsi mke anayechagua kazi dhidi ya mume huyo aende tu hana nafasi kwangu.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mzzazi amemshauri binti yake kuacha kazi ili kumfuata nume wake ambaye amehamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine.

Kituko hiki kilitokea mnamo mwaka jana baada ya mume huyo kuhamishwa kutoka mkoa wa nyanda za juu kusini keenda mkoa wa kanda ya ziwa. Mume alipopata uhamisho, mke wake mwenye mtoto mmoja, ,aliyeolewa yapata miaka 3 iliyopita, alijaribu kuomba uhamisho ili kumfuata mumewe lakini waajiri wake walionekana kuchelewesha uhamisho wake wakati yeye aliomba kumfuata mumewe haraka iwezekanavyo.

Alipoona uhamisho unachelewa alimuendea mama yake mzazi kumuomba ushauri nini afanye. Bila kumumunya maneno, mama yake alimshauri kuacha kazi mara moja. 'Mume wako yupo kanda ya ziwa, wewe upo kanda ya nyanda za juu, hapo hakuna ndoa. Kama uhamisho wako unachelewa, acha kazi mara moja umfuate mumewe; shauri yako!' Alisikika mama akimshauri mwanaye.

Bila kusita, binti aliandika barua ya kuacha kazi yake ya uhasibu (senior accountant (CPA) na kumfuata mume. Sasa hivi ninapoandika uzi huu, huyo mwanamke ni mama wa nyumbani na hana namna ya kuajiriwa tena kwani umri wake umesogea.

MAONI YANGU
Hivi akina mama kuna wakati wanafikiri kwa kutumia kiungo cha chini tu au ni namna gani wenzangu? Inakuwaje mama amshairi senior accountant kuacha kazi na yeye kweli anamsikiliza mama na kuacha kazi? Akina mama wamerogwa na nani hasa?

Huu ushauri ungetolewa kwa mwanaume nina hakika angeupuuzilia mbali. Kwa kuwa akina mama alkili zao zinaishia kwenye urefu wa pua zao, ndio maana wanaweza kushawishika kuacha kazi kwa sababu tu ya kufuata m.b00 ambayo hata ichepuke kiasi gani haiishi.

Je, ingekuwa wewe mwanaJF ndiye umepewa ushauri wa aina hii, ungemsikiliza mama yako au ungetupilia mbali ushauri wake?
Uduvi
 
Wapi nimesema aonewe huruma?
Wewe itakuwa ni mlemavu wa fikira.
Kazi inafanywa kwa UFANISI pale tu UTULIVU wa AKILI na MAARIFA vinapokuwa na MUUNGANIKO MSAWAZO.

Kama huoni UHUSIKA WA SERIKALI kwenye mmomonyoko wa MAADILI na ONGEZEKO LA VITENDO VYA KIKATILI KWA WATOTO HAPA TANGANYIKA kwa kutokuzingatia KUUNGANISHA WANA NDOA basi unavyo vigezo vyote vya kutetea madai yako.
Utaratibu wa kuomba uhamisho kwa mke ukoje mkuu?
 
Kabisa mwanamme mzima unategemea mke afanye kazi alishe nyumba. Kazi ya kuhudumia family ni mwanammke mke kuangalia family na kupata mahitaji kutoka kwa mumewe ndio majukumu yetu. Mimi binafsi mke anayechagua kazi dhidi ya mume huyo aende tu hana nafasi kwangu.
Kabisa mzeya. Mke kazi yake ni kugegedwa na kulea watoto.
Atavaa nini kula nini atasifirije hilo jukumu la mie kidume. Yeyye anipee mbususu tuu
 
Back
Top Bottom