Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Ni mkeo au nduguyo huyo mwanamama ?Ndio. Ameolewa na anakaa mbali na mume wake na maisha yanasonga kama kawaida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mkeo au nduguyo huyo mwanamama ?Ndio. Ameolewa na anakaa mbali na mume wake na maisha yanasonga kama kawaida.
Namzungumzia huyo niliye muuliza hilo swali.Mm ni ndugu wa huyu mwanamama. Ukimuona maisha anayoishi leo utalia.
Usipende sana kuwa judgemental
Kuna watu kibao hawana kazi za kuajiriwa na wanaishi maisha mazuri tu kuliko hao waajiriwa! Mkuu usikariri maisha!!Kwako wewe kuacha permant and lucrative employment kwa sababu ya m boo ndicho kipaumbele chako?
Sikiliza serekali ya kichwa chako inavyokwambia kuhusu maisha yako nini ufanye, ukinisikiliza mimi unaweza potea alafu kesho ukaja nilaumu!!Kama akina Mo na Bakhressa? Kwa hiyo unashauri watu waache kazi wajiajiri mkuu?
Mama yuko sawa 100%. Uharibu ndoa yako kwa mishahara hii ya kibongo wiki moja hautoshi.Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mzzazi amemshauri binti yake kuacha kazi ili kumfuata nume wake ambaye amehamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine.
Kituko hiki kilitokea mnamo mwaka jana baada ya mume huyo kuhamishwa kutoka mkoa wa nyanda za juu kusini keenda mkoa wa kanda ya ziwa. Mume alipopata uhamisho, mke wake mwenye mtoto mmoja, ,aliyeolewa yapata miaka 3 iliyopita, alijaribu kuomba uhamisho ili kumfuata mumewe lakini waajiri wake walionekana kuchelewesha uhamisho wake wakati yeye aliomba kumfuata mumewe haraka iwezekanavyo.
Alipoona uhamisho unachelewa alimuendea mama yake mzazi kumuomba ushauri nini afanye. Bila kumumunya maneno, mama yake alimshauri kuacha kazi mara moja. 'Mume wako yupo kanda ya ziwa, wewe upo kanda ya nyanda za juu, hapo hakuna ndoa. Kama uhamisho wako unachelewa, acha kazi mara moja umfuate mumewe; shauri yako!' Alisikika mama akimshauri mwanaye.
Bila kusita, binti aliandika barua ya kuacha kazi yake ya uhasibu (senior accountant (CPA) na kumfuata mume. Sasa hivi ninapoandika uzi huu, huyo mwanamke ni mama wa nyumbani na hana namna ya kuajiriwa tena kwani umri wake umesogea.
MAONI YANGU
Hivi akina mama kuna wakati wanafikiri kwa kutumia kiungo cha chini tu au ni namna gani wenzangu? Inakuwaje mama amshairi senior accountant kuacha kazi na yeye kweli anamsikiliza mama na kuacha kazi? Akina mama wamerogwa na nani hasa?
Huu ushauri ungetolewa kwa mwanaume nina hakika angeupuuzilia mbali. Kwa kuwa akina mama alkili zao zinaishia kwenye urefu wa pua zao, ndio maana wanaweza kushawishika kuacha kazi kwa sababu tu ya kufuata m.b00 ambayo hata ichepuke kiasi gani haiishi.
Je, ingekuwa wewe mwanaJF ndiye umepewa ushauri wa aina hii, ungemsikiliza mama yako au ungetupilia mbali ushauri wake?
Kazi gani bwana mshahara hata wiki haumalizi umeisha watu hapa utasikia kaacha kazi utasema alikuwa analipwa dola alfu 10. Mama ana busara ndoa ni muhimu kuliko hiyo million mwisho wa mwezi.Kama familia yote inajiweza kwanini asiache kazi na kumfuata mumewe?.
Umasikini ndio chanzo wanawake kuwa watafutaji.
Kabisa mwanamme mzima unategemea mke afanye kazi alishe nyumba. Kazi ya kuhudumia family ni mwanammke mke kuangalia family na kupata mahitaji kutoka kwa mumewe ndio majukumu yetu. Mimi binafsi mke anayechagua kazi dhidi ya mume huyo aende tu hana nafasi kwangu.Hii ndio fwact yenyewe....mwanamke ni pambo inabidi atulie nyumbani kidume uchakarike.
Haya mambo ya kuoa mke yupo mwanza mume dodoma ni kudanganyana tuu hapo everybody will cheat its a matter of time tuu
Kwani mwenye mboo ni yeye peke yake? si angefuata hapo kazini kwake zimejaa. Watu wanajali family zao.Wewe unaonaje mkuu? Unaona amefanya jambo la maana kuacha kazi kisa kufuata m.boo?
UduviKatika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mzzazi amemshauri binti yake kuacha kazi ili kumfuata nume wake ambaye amehamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine.
Kituko hiki kilitokea mnamo mwaka jana baada ya mume huyo kuhamishwa kutoka mkoa wa nyanda za juu kusini keenda mkoa wa kanda ya ziwa. Mume alipopata uhamisho, mke wake mwenye mtoto mmoja, ,aliyeolewa yapata miaka 3 iliyopita, alijaribu kuomba uhamisho ili kumfuata mumewe lakini waajiri wake walionekana kuchelewesha uhamisho wake wakati yeye aliomba kumfuata mumewe haraka iwezekanavyo.
Alipoona uhamisho unachelewa alimuendea mama yake mzazi kumuomba ushauri nini afanye. Bila kumumunya maneno, mama yake alimshauri kuacha kazi mara moja. 'Mume wako yupo kanda ya ziwa, wewe upo kanda ya nyanda za juu, hapo hakuna ndoa. Kama uhamisho wako unachelewa, acha kazi mara moja umfuate mumewe; shauri yako!' Alisikika mama akimshauri mwanaye.
Bila kusita, binti aliandika barua ya kuacha kazi yake ya uhasibu (senior accountant (CPA) na kumfuata mume. Sasa hivi ninapoandika uzi huu, huyo mwanamke ni mama wa nyumbani na hana namna ya kuajiriwa tena kwani umri wake umesogea.
MAONI YANGU
Hivi akina mama kuna wakati wanafikiri kwa kutumia kiungo cha chini tu au ni namna gani wenzangu? Inakuwaje mama amshairi senior accountant kuacha kazi na yeye kweli anamsikiliza mama na kuacha kazi? Akina mama wamerogwa na nani hasa?
Huu ushauri ungetolewa kwa mwanaume nina hakika angeupuuzilia mbali. Kwa kuwa akina mama alkili zao zinaishia kwenye urefu wa pua zao, ndio maana wanaweza kushawishika kuacha kazi kwa sababu tu ya kufuata m.b00 ambayo hata ichepuke kiasi gani haiishi.
Je, ingekuwa wewe mwanaJF ndiye umepewa ushauri wa aina hii, ungemsikiliza mama yako au ungetupilia mbali ushauri wake?
Utaratibu wa kuomba uhamisho kwa mke ukoje mkuu?Wapi nimesema aonewe huruma?
Wewe itakuwa ni mlemavu wa fikira.
Kazi inafanywa kwa UFANISI pale tu UTULIVU wa AKILI na MAARIFA vinapokuwa na MUUNGANIKO MSAWAZO.
Kama huoni UHUSIKA WA SERIKALI kwenye mmomonyoko wa MAADILI na ONGEZEKO LA VITENDO VYA KIKATILI KWA WATOTO HAPA TANGANYIKA kwa kutokuzingatia KUUNGANISHA WANA NDOA basi unavyo vigezo vyote vya kutetea madai yako.
Kabisa mzeya. Mke kazi yake ni kugegedwa na kulea watoto.Kabisa mwanamme mzima unategemea mke afanye kazi alishe nyumba. Kazi ya kuhudumia family ni mwanammke mke kuangalia family na kupata mahitaji kutoka kwa mumewe ndio majukumu yetu. Mimi binafsi mke anayechagua kazi dhidi ya mume huyo aende tu hana nafasi kwangu.