Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Sio kufauata mb.oo kafata familia yake.Wewe unaonaje mkuu? Unaona amefanya jambo la maana kuacha kazi kisa kufuata m.boo?
Hapo mi sioni kitu cha ajabu, labda kama amekukatia mrija wa kupata vibukubuku toka kwake.
Yeye kaangakia kilicho bora kwake na sio kwa walimwengu wengine ukiwemo wewe.