Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

Ngoja tu nikusaidie from experience watoto watamsamehe mama na watasahau haraka kuliko vitendo vya baba, usicheze na bond Mungu aliyoumba kati ya mama na mtoto......
Alafu naona umepaniki mpaka unaniattack na mimi,kama upo so sensitive sana nashauri usiwe unaanzisha mjadala na mimi,hata mwenye thread hajafura kama ulivyofura wewe,pole....
Endelea kujidanganya lakini usimuingize mungu hapo
Eti watoto watamsamehe mama hiv hua hata mnafikiria kabla ya kucomment kweli?unaingiza mwanaume kwenye kitanda cha mumeo kwann hukwenda hata hotelini ukayamalizia huko?r u under 18 au mbn una mawazo ya kitoto sana?so selfish so stupidy
 
Nilichokifanya kimeniletea matatizo???
Yapi hayo mama yangu? Nitajie hata matatu tu

Mama, amini kuwa naishi kwa furaha na amani kuliko maelezo, nilipona siku nyingi mno, tatizo mnashauri as if uzinzi umefanyika jana, mnasahau usaliti ulishafanyika tangu 2012 na nilishapona na ku move on long time, kwangu mm huyu mke alikoma kuwa mke wangu since 2012, silali nae, sili chakula chake, nothing at all

Watoto wangu wanaishi kwa raha mustarehe kwa dada yangu, ni watoto wakubwa wanaelekea kumaliza primary school, kwa umri huo wangekua wanateswa kwa dada yangu wangenieleza, shangazi yao anawapenda kama wake vile , amewazuia na kuwakatalia na kudai atakaa nao hata miaka na miaka , na mm naenda kuwaona almost on daily basis

So, kuhusu watoto na mm hatuna pressure yoyote, kilichobaki ni kumtoa huyu kahaba nyumbani kwangu ambapo amekatalia,

Above all, sasa hivi sifanyi tena uzinzi wa kupeleka mwanamke nyumbani, nina mwanamke wangu nimempangisha sehemu, huwa naenda napumzika huko hata wiki, tunapendana na tunataka kuoana tuishi pamoja
Nimeamua kuondoka home na kumwachia nyumba naenda kuanza upya haraka

Sasa hayo matatizo na pressure ni yapi? Hayapo

Umeongea maneno mazuri sana, bahati mbaya haya mawazo yalifaa sana wakati huo tatizo limejitokeza back 2012 not now, it is too late
Sasa hivi naishi pieceful na mpenzi mmoja tu
Mkuu, Unajipa moyo tu. Hujui mioyo ya watoto. Watoto wako HAwana furaha kwa wewe kuonyesha chuki kwa mama yao mpendwa. Usijidanganye kwa ubinafsi wako, na kwakua hawawezi kukushauri umsamehe mama yao kwasababu wanakujua temper yako. Na utakuta Ndugu wameshawaonya wasijiingize kwenye ugomvi wenu. Wawe neutral. Ila fahamu kua Wangependa mrudiane kama zamani. Na kwa watoto wako ku-act normal mbele yako kunakupumbaza kabisa. Hutoki nje ya box kuona reality?!

Sijui kama dada yako ama mumewe ameridhia wewe kumpelekea watoto wako kwake awalee. Au sijui kama dada yako ana watoto, na kama hana itakuje akiwa nao. All in all Dada yako hana viwango vya upendo kuliko mama yao mzazi. Hata ukitaka wamchukie mama yao haitatokea.
Na utakuja kuvuna ulichopanda ambacho si kizuri kwako. Malipo ni hapahapa duniani....

Unaamini unayo furaha lakini si KWELI, kama ni kweli basi dhamira yako itakua imesha kufa tangu siku nyingi sana. Kimsingi Hakupatikani furaha kwenye Moyo unaotaka kumuumiza mwingine. If that is your pleasure basi unahitaji psychiatric kwa msaada zaidi. Siku zote moyo wa kisasi hauna furaha.
Unachukulia NgONo kama kitu kubwa sana DUNIANI. Wewe ni weak ile mbaya. Ni kwamba hujajua tu. I think weakness is not your worst quality.

Ngoja wakubandulie na huyo na mwingine tena na tena kisha tujue utafanya nini?
 
Endelea kujidanganya lakini usimuingize mungu hapo
Eti watoto watamsamehe mama hiv hua hata mnafikiria kabla ya kucomment kweli?unaingiza mwanaume kwenye kitanda cha mumeo kwann hukwenda hata hotelini ukayamalizia huko?r u under 18 au mbn una mawazo ya kitoto sana?so selfish so stupidy
Kaka weee hio 18 isikuchanganye ukajikuta unapaniki,excuse me hujui hii ni jf kila mtu ana uhuru wa kuchangia mawazo yake...ulitaka nichangie kama unavyotaka wewe tunatofautiana kimawazo wewe toa mchango wako pita mbele,tuheshimiane mie sio mwanao stupid moron...
Na hapo umedandia treni kwa mbele unaelewa hata ninetoka wapi na hio conversation, hebu pitia vizuri uangalie nilipo mtetea huyo mama,punguza wenge usiwe kama umekalia kisu cha moto,mxeeew...
 
Kaka weee hio 18 isikuchanganye ukajikuta unapaniki,excuse me hujui hii ni jf kila mtu ana uhuru wa kuchangia mawazo yake...ulitaka nichangie kama unavyotaka wewe tunatofautiana kimawazo wewe toa mchango wako pita mbele,tuheshimiane mie sio mwanao stupid moron...
Na hapo umedandia treni kwa mbele unaelewa hata ninetoka wapi na hio conversation, hebu pitia vizuri uangalie nilipo mtetea huyo mama,punguza wenge usiwe kama umekalia kisu cha moto,mxeeew...
Nimesoma comment zako zote so acha kumbwela mama
Nipanik kisa mawazo mfu kama hayo bi.tch plz nitue aisee
Uhuru ulionao kuexpress huo utumbo ndo the same uhuru tumetumia kukukosoa so dont get twisted we mavi n no body anataka uchangie kama anavyotaka
 
Nimesoma comment zako zote so acha kumbwela mama
Nipanik kisa mawazo mfu kama hayo bi.tch plz nitue aisee
Uhuru ulionao kuexpress huo utumbo ndo the same uhuru tumetumia kukukosoa so dont get twisted we mavi n no body anataka uchangie kama anavyotaka
"never argue with stupid people,they will drag you down to their level,and then beat you with experience"Mark Twain
Am off we endelea tu kuniquote,ila mimi ni mwanamke sina mboo ya kukusugua huko nyuma,pole...ukishamaliza kutumia kamusi yako ya maneno kama bitch,mavi etc utajiskia vizuri ngoja nikuachie uwanja utangaze biashara yako,wanaume wengi humu huwezi kumkosa top wako,teh
 
According to huyo mungu wako kwani ukimsamehe mtu lazima mrudiane?acheni kutafsiri maaandiko vibaya kumsamehe ni jambo moja kurudiana nae ni jambo jingine

Mkuu hivi macho yako ni vidonda? Kuna mahali nimeandika warudiane?
 
Mtoa mada ulichoamua ni sahihi kabisa. Kuhama nyumba umefanya ni sahihi kabisa.
Ingelikua mimi ningemsamehe tena huu mwaka usingefika, lakini siwezi kuilazimisha nafsi ya mtu nayo isamehe. Mbaya zaidi ni uzinzi.
Watanzania hasa wa hapa JF tuache kuwa wanafiki, wengi mnashauri amrudie mkewe eti kisa watoto. Kwani hao watoto wana miaka 2?

Haiwezekani kuumia moyoni kisa unaokoa wanao wakati kuna alternative. Ingelikua hakuna mahali watoto watapata malezi bora, ilikua bora kumrudia mkewe. Ila kwa situation ya watoto hakuna ulazima wa kumrudia.

Hawa wazinifu kwenye agano la kale la Biblia tumeambiwa tuwatenge kijamii. Siku hizi sheria zimekua rahisi sana.

Mwisho nakuambia "achana nae and move on" wazazi wako wataelewa tu. Kwani wewe ndio mtoto wao na siyo huyo mwanamke.

Naweka nukta.
 
Mtoa mada ulichoamua ni sahihi kabisa. Kuhama nyumba umefanya ni sahihi kabisa.
Ingelikua mimi ningemsamehe tena huu mwaka usingefika, lakini siwezi kuilazimisha nafsi ya mtu nayo isamehe. Mbaya zaidi ni uzinzi.
Watanzania hasa wa hapa JF tuache kuwa wanafiki, wengi mnashauri amrudie mkewe eti kisa watoto. Kwani hao watoto wana miaka 2?

Haiwezekani kuumia moyoni kisa unaokoa wanao wakati kuna alternative. Ingelikua hakuna mahali watoto watapata malezi bora, ilikua bora kumrudia mkewe. Ila kwa situation ya watoto hakuna ulazima wa kumrudia.

Hawa wazinifu kwenye agano la kale la Biblia tumeambiwa tuwatenge kijamii. Siku hizi sheria zimekua rahisi sana.

Mwisho nakuambia "achana nae and move on" wazazi wako wataelewa tu. Kwani wewe ndio mtoto wao na siyo huyo mwanamke.

Naweka nukta.

You have said it all my friend, thank you very much
 
"never argue with stupid people,they will drag you down to their level,and then beat you with experience"Mark Twain
Am off we endelea tu kuniquote,ila mimi ni mwanamke sina mboo ya kukusugua huko nyuma,pole...ukishamaliza kutumia kamusi yako ya maneno kama bitch,mavi etc utajiskia vizuri ngoja nikuachie uwanja utangaze biashara yako,wanaume wengi humu huwezi kumkosa top wako,teh
Msifike huko ndugu zangu, easy easy
 
Nachukiaga ushauri Wa namna hii, hasa kwa mambo kama haya
Yesu akamwambia, sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.
MATHAYO 18;22
endelea kuchukia wewe unayeongozwa na mihemko yako ya dunia.
 
Maelezo yko inaonyesha huyu mwanamke amejutia kosa na tena inaonyesha ni mnyenyekevu sn umemfanyia mengi na amevumilia, acha ujinga msamehe mkeo na pia muombe msamaha kwa ujinga uliomfanyia coz amekukosea lkn wewe umefanya upumbavu zaidi.. Utakuja ujute baadaye ukimacha huyo mwanamke..
 
Mkuu , after one year usisahau kuleta mrejesho.
Kama kushaurika humu i hope washauri wamekushauri vyema.
SASA FANYA ULIVYOKUSUDIA WEWE.
 
wewe ndio umeoa maaamuzi yako ni muhimu katika ndoa watu wengine wakiwemo wazazi ni washauri sikuona sababu ya wazazi wako kukulazimisha mpe talaka lakini hakikisha watoto wako umewaandalia mazingira mazuri
 
Ugomvi wako na mke usiwashirikishe watoto. Hawakupaswa kabisa kujua kama mna ugomvi. Umechangia kwa asilimia kubwa kuwaharibu watoto kisaikolojia. Kama wazazi ndio wamemrudisha nyumbani hshimu wazazi kwani ndio miungu wetu wa hapa duniani. Najua unaumia kwa kitendo hicho. Mheshimu bado ni mkeo kwani ndio mtu wako wa karibu kuliko hao ulio nao sasa. Hata kama unamchukia mkeo kwa aliyotenda na amesharudishwa nyumbani basi ishi nae kwa amani ili watoto wapate faraja ya wazazi lakini we endelea na mambo yako ugomvi wenu ubaki kuwa siri yenu. Hiyo ndio njia pekee ya kumchapa mwanamke kwani ataumia zaid ya unavyofikiria. Lakini kumleta wanawake nyumbani siyo dawa bali unazidi kumfanya aone kuwa alichokifanya alikuwa sahihi.
 
Mama umesomeka
Mm niliacha kutembea nae since 2012 kwa kua nilimfuta, nilimuacha mbele ya wazazi wake, so since that day najihesabu sina mke, kama ni mtu mwenye busara yy pia ange move on then tungefanya formalities za divorce, by now kila mtu angekua huru
Sasa kakatalia ndani hasemi shida yake ni nn, anawaambia watu shida yake yy sio nyumba wala mali, anapigania ndoa yake, kitu ambacho mm sipo huko tena

Hatuna ndoa tena hapo, the earlier she accepts this fact the better, watoto kwa sasa wanaishi kwa furaha, na kusoma vizuri, mm huenda huko kila siku ya mungu nikitoka kazini then ndio naendelea na mengine

Ni shemeji na Dada ndio walionishauri watoto wabaki hapo as long as necessary, hivyo watoto sasa hawana shida, ndio nikawauliza si bora waishi hapo hapo?

As for my ex wife, kama mlivyoshauri nitamuachia nyumba niondoke zangu
Usimuache huyo mwanamke tayari ameisha jutia kitendo chake alichokifanya unaweza kuoa mwanamke mwingine yakawa yale yale na dunia ukaiona chungu tena ukioa hivi vichenchede vya siku hizi ndio balaa zaidi
 
Mkuu, Unajipa moyo tu. Hujui mioyo ya watoto. Watoto wako HAwana furaha kwa wewe kuonyesha chuki kwa mama yao mpendwa. Usijidanganye kwa ubinafsi wako, na kwakua hawawezi kukushauri umsamehe mama yao kwasababu wanakujua temper yako. Na utakuta Ndugu wameshawaonya wasijiingize kwenye ugomvi wenu. Wawe neutral. Ila fahamu kua Wangependa mrudiane kama zamani. Na kwa watoto wako ku-act normal mbele yako kunakupumbaza kabisa. Hutoki nje ya box kuona reality?!

Sijui kama dada yako ama mumewe ameridhia wewe kumpelekea watoto wako kwake awalee. Au sijui kama dada yako ana watoto, na kama hana itakuje akiwa nao. All in all Dada yako hana viwango vya upendo kuliko mama yao mzazi. Hata ukitaka wamchukie mama yao haitatokea.
Na utakuja kuvuna ulichopanda ambacho si kizuri kwako. Malipo ni hapahapa duniani....

Unaamini unayo furaha lakini si KWELI, kama ni kweli basi dhamira yako itakua imesha kufa tangu siku nyingi sana. Kimsingi Hakupatikani furaha kwenye Moyo unaotaka kumuumiza mwingine. If that is your pleasure basi unahitaji psychiatric kwa msaada zaidi. Siku zote moyo wa kisasi hauna furaha.
Unachukulia NgONo kama kitu kubwa sana DUNIANI. Wewe ni weak ile mbaya. Ni kwamba hujajua tu. I think weakness is not your worst quality.

Ngoja wakubandulie na huyo na mwingine tena na tena kisha tujue utafanya nini?

Bro, am sure you are far away disconnected from reality of this very matter we are talking about

Naomba tu share jambo moja, unajua kwa nn ulaya kuna kiwango kikubwa sana cha talaka?

Jibu ni kwamba wazungu hawana unafiki, mzungu hana notion tuliyonayo ss waafrica ya kukimbilia kusema watoto wataathirika nikiachana na mama/baba yao
Hata wanawake wao wapo hivyo hivyo, ukimcheat mwanamke wa kizungu biashara inaishia hapo, why?

Kwa sababu katika vyote wavitazamavyo wazungu furaha yake ndio inakua top of the list, hawezi kuishi tena na mtu aliemuumiza kisa watoto, ndio maana ukitazama kila mzungu mzee ana ndoa kama tano alizoingia na kutoka, yote haya muhimu kwake ni furaha ya moyo wake

Back to my case
Katika mantiki hiyo hiyo ya wazungu mm pia nipo hivyo, furaha yangu ndio kila kitu, watoto kuja kuniona mbaya ndio iwe sababu ya mm kuishi bila furaha? Wacha wanione mbaya siogopi hilo
Nikae na mtu nisiempenda tena aliewahi kuniumiza vibaya kisa watoto? Watoto ni nani mbele ya future yangu na furaha yangu?
Sijipi moyo kama baadhi mnavyodai bali nazungumza ukweli na hali halisi ilivyo ktk familia yangu

Kauli yako ya mwisho ndio imeniacha hoi
Kwamba nimsamehe mzinzi eti hata nikioa mwingine atagongwa pia
Hivi mtu mwenye kifua chako na ukomavu wa maisha unaweza kutoa kauli ya namna hii?

Nimeanza maisha siku nyingi sana, na nina ukomavu, hata ikija kunichukua ndoa ishirini mpaka nafariki dunia au hadi uzee wangu ni sawa tu as long as ni usaliti utaofanya nibadilishe hizo ndoa
So my friend Siogopi idadi ya ndoa as long as ni usaliti, na mungu hawezi kuwa mbaya kwangu kiasi hicho
 
Boss...kosa kubwa kuliko yote ulilofanya ni kuleta mwanamke mwingine hapo ndani...
 
yani kweli ulishindwa mpa kipigo mpaka alale siku saba hospitali basi huyo bibie kashakuchora na hapo haondoki ng'oo
Mkuu we acha tu, mtoa mada ni mtu mwenye huruma sn, MUNGU ambariki. Mimi ningeshahukumiwa kwa kesi ya kuua.
 
Back
Top Bottom