Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

tena wanamuona boya.
Kwani what difference does it make? Muwe waelewa huyo sio mke wangu since 2012, so sina tatizo akitembea na yoyote yule, angekua mke wangu ningekaa tangu 2012 bila kutembea nae? Sasa hivi anaweza kumchukua yoyote yule hata ww, sasa hivi ni house mate sio mke tena
Mm nna mke wangu mwingine sasa hivi tunarajia ku move in pamoja soon

Tena kwa mujibu wa ushauri wa wadau mbali mbali sasa nimeona nifanye taratibu za kumuachia nyumba akae humo hadi siku tukiamua kuiuza kwa makubaliano nae maana anastahili kupata sehemu yake, naondoka na hati, yy nimemuacha pale ili apate pa kujisitiri, wakati huo divorce formalities zitaanza soon, ili kutimiza matakwa ya kisheria ya kuvunja ndoa

Traditionally ndio hii haipo tena, maana kijamii ndoa ni ule ushirikiano wa kulala kitanda kimoja, chumba kimoja, tendo la ndoa, huduma za ndani za pamoja, I.e kupikiwa, kufuliwa, sasa haya niliyoyataja hayapo kwangu, kilichobaki ni kwenda court kutengua yale makaratasi kama formality tu

So at this juncture anyone can go and have her
 
Wewe mwenyewe umefanya lile lile ulilokuwa unalikataa kwa mkeo hata kama yeye ndiye aliyeanza, hivyo umelipiza kisasi, kwa maana huyo huna ujasiri tena wa kumnyooshea kidole mkirudiana au hata msiporudiana. Kitu kingine nakushauri utafute muafaka hata kama si wa kurudiana kikubwa kila mtu aishi kwa uhuru wake, kuishi na mtu unayemuonesha chuki waziwazi ni hatari sana maana anaweza kukuwekea kitu kibaya ndani ya nyumba yako ukaishia kujutia maamuzi yako.
 
Umesema maneno mazuri, nipo njiani kuondoka hapo kwenda kuanza maisha mapya kwingine, in less than a week, hivyo usihofu hakuna madhara tena
 
Huyo jamaa aliyemrubuni mkeo umemchukulia hatua gani!?? Labda tuanzie hapo..
 
The thing about stupid pipo is that they think they are the one who r smartest in the room so i can see
Dont worry about mi being bottom ts all okay so thanks
U wouldn't waste time to argue with stupid people if you ain't one of them smh..siku nyingine sio lazima uniquote pita pembeni,sishoboki na mashoga
 
U wouldn't waste time to argue with stupid people if you ain't one of them smh..siku nyingine sio lazima uniquote pita pembeni,sishoboki na mashoga
U wudnt? u still doing t
Well as wrong as utaendelea na huu usengerema as wrong as utapost au kucomment shit that quote my attention i will n the funny thing ia i dont need yo permission
I dont need to remind u this is jf n not yo inbox
 
Kwa sasa wewe ndo unanakosa kaka
Amesha kuomba msamaha kwako kwao na kwa wazazi wako, bado hausamehi? We mtu wa aina gani?
Umezini mara ngapi?
Kwani wewe ulivyoenda kwenye hiyo kozi yako umezini mara ngapi? Tofauti yako na yeye ni kwamba kina watu wamekupa taarifa kuwa amezini na hakuna wa kuthibitisha kua imezini na nani?

Acho ubinafsi broo samehe kunusuru familia yako na hasa watoto.
Mungu anasamehe hata muuaji wewe unashindwa kusamehe mtu aliekwisha jutia kosa!!!!!
Its not fare broo
 
Mbona sasa hapo wote wameshakuwa wazinifu? Hakuna mwenye haki hapo.
 
Umesema maneno mazuri, nipo njiani kuondoka hapo kwenda kuanza maisha mapya kwingine, in less than a week, hivyo usihofu hakuna madhara tena
Lakini ikiwa umemuacha huku ukiwa na kinyongo moyoni hutaishi kwa furaha. Mimi nakushauri mpatane kwanza kwa sababu ya watoto wenu hata kama umeamua kukaa mbali naye. Maisha ya watoto yanastawi na kuwa yenye furaha kunapokuwa na maelewano ya wazazi. Ungejitahidi ufiche huo mgogoro watoto wasiujue, vinginevyo wataathirika kisaikolojia.
 
 
Kitendo cha kufa ganzi kwa kisasi choote ulichomuonyesha kwa kipindi kirefu ni Ishara tosha kuwa anakupenda, anakuitaji na anajutia makosa yake. Pia huna budi kukumbuka kuwa ndoa nyingi zinachangamoto nyingi kuliko hata izo unazo au ulizopitia bt wengi uwa wanavumilia for the sake of better future of their children. Ushauri : kama unawapenda watoto wako na unaheshimu furaha yao na kama unataka furaha iyo idumu huna budi kumsamehe mkeo na kuanza upya....................jipe moyo na mtangulize Mungu mana hata yy anatuambia tunapswa kumsamehe 7 x 70.
 
Reactions: nao
kama ametubu na kujutia kosa lake, huna budi kumsamehe for the sake of your children. Akija mama mwingine anaweza akakuvuruga kuliko huyo.
kwa kosa hili dada yangu ni vigumu mno kumsamehe hasa ukizingatia aliyefanya hayo ni friend,sijui lakini uamuzi wa mwisho anao mwenyewe kwani ndiye anayeathirika......
 
katika hali ya kawaida anatakiwa amsamehe kwani inaonyesha wazi kuwa amejutia kosa lake,tatizo moyo utakubali?kwa kosa hilo moyo huwa mzito na una maumivu ya kutisha hasa kwa mwanaume na ukizingatia aliyefanya hivyo ni mtu wa karibu na mara nyingine unakutana naye njiani
 
mi nafikiri inatosha toka 2012 umemlipiza vya kutosha kampime ukimwi endelea kumgonga mi wife nilimpangia one year ya kumtesa na kweli aliisoma no lakin ule mwaka ulivoisha nikamsamehe yeye alinsumbua sana kipindi namtongoza nilikata tamaa baadae akaangukia mikonon mwangu tena
 
It is too late my friend
 
lengo halikua kumlipizia kisasi, lengo ni kuachana nae, na hilo lilifanyika, there have been any window for forgiveness, it is not there, it will never be there
 
Kwa upande mwingne wafikirie sana wanao mising wanayokulia ikoje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…