money bag
JF-Expert Member
- Jan 15, 2016
- 373
- 298
Sawa yeye alikuwa mkosaji lkn kitendo cha ww kulipiza kwa kumleta na kulala na mwanamke mwingine ni kosa kubwa sana oky fine mmecancel each other.
Cha kufanya nendeni kanisani mkatubu mpate baraka muanze upya maisha ya ndoa.
Assume nothing waz happened
Cha kufanya nendeni kanisani mkatubu mpate baraka muanze upya maisha ya ndoa.
Assume nothing waz happened