Mama awashinda watoto wake Kesi ya Mirathi ya Nyumba Kariakoo

Mama awashinda watoto wake Kesi ya Mirathi ya Nyumba Kariakoo

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Fatma Awadh mkazi wa Kariakoo amemshukuru Rais Samia na aliyekuwa waziri wa Ardhi Mhe. Jerry Silaa (sasa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari) baada ya kushinda kesi ya Mirathi ya Nyumba dhidi ya watoto wake.

Kesi hiyo iliyoanza 2006 imepata majibu baada ya kudumu mahakamani kwa miaka 18 ambapo Mama amewashinda watoto wake kwenye Mirathi ya nyumba iliyopo Kariakoo Dar es salaam.
 
Wakija humu wanaita wenzao mashoga kumbe wanasubiri mali za urithi
20241106_210717.jpg
 
Hao hao unaowaita wavaa kobazi ndiyo wamiliki wa maghorofa mengi kuanzia Kariakoo, Upanga , Mnazi Mmoja na maeneo mengi ambayo ni potential.

Sasa hata ukiwaita majina yakupendazayo wala hawana muda na wewe wala hawakufahamu.
Na ni hao hao wanaombea wazazi wao wafe warithi mali ili wakatafune mirungi na kupakuliwa
 
Fatma Awadh mkazi wa Kariakoo amemshukuru Rais Samia na aliyekuwa waziri wa Ardhi Mhe. Jerry Silaa (sasa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari) baada ya kushinda kesi ya Mirathi ya Nyumba dhidi ya watoto wake.

Kesi hiyo iliyoanza 2006 imepata majibu baada ya kudumu mahakamani kwa miaka 18 ambapo Mama amewashinda watoto wake kwenye Mirathi ya nyumba iliyopo Kariakoo Dar es salaam.
View attachment 3170874
Raisi Samia kati ya makosa aliyofanya ni kumuondoa jerry silaa kwenye wizara ya ardhi hakuwatendea haki watanzania!
 
Ameshindaje kesi ya mirathi?
Wametumia sheria ya serikali au ya dini kama ni dini ya kiislamu sheria ya mirathi mama anatakiwa apewe thumni ya mali yote ya marehemu mumewe na sio kupewa nyumba nzima au mali zote!!!

Huruma zingine hazifai kufuata masheria ya kidunia na kutoa haki kwa asiyestahili kupata haki na kudhulumu wengine.
 
Fatma Awadh mkazi wa Kariakoo amemshukuru Rais Samia na aliyekuwa waziri wa Ardhi Mhe. Jerry Silaa (sasa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari) baada ya kushinda kesi ya Mirathi ya Nyumba dhidi ya watoto wake.

Kesi hiyo iliyoanza 2006 imepata majibu baada ya kudumu mahakamani kwa miaka 18 ambapo Mama amewashinda watoto wake kwenye Mirathi ya nyumba iliyopo Kariakoo Dar es salaam.
View attachment 3170874
Hii mitoto ndio design unakuta zee zima mvi kila mahali linaishi "kwao" kutwa kucha kujadili Simba Yanga na kucheza bao na pool na kugongea sigara.

Hizo ndio culture za Kariakoo, Magomeni, Buguruni, Ilala and the like. Likijana likishabalehe fukuza likatafute maisha otherwise litakugeuka. Mengine yanaombea mzazi afe ili yarithi!
 
Back
Top Bottom