Mama awashinda watoto wake Kesi ya Mirathi ya Nyumba Kariakoo

Mama awashinda watoto wake Kesi ya Mirathi ya Nyumba Kariakoo

Ameshindaje kesi ya mirathi?
Wametumia sheria ya serikali au ya dini kama ni dini ya kiislamu sheria ya mirathi mama anatakiwa apewe thumni ya mali yote ya marehemu mumewe na sio kupewa nyumba nzima au mali zote!!!

Huruma zingine hazifai kufuata masheria ya kidunia na kutoa haki kwa asiyestahili kupata haki na kudhulumu wengine.
Acha ujinga wewe, hao ni watoto wake wa kuzaa, wamekaa tumboni kwake miezi 9, hivyo kama kudhulumu angewadhulumu wakati akiwa hajawazaa kwa kutoa mimba zao.

Hivi unaijua thamani ya mzazi uliekaa tumboni kwake miezi 9? Je akiwarudishia hiyo mirathi akawaomba na wao wamlipe kwa kukaa tumboni kwao miezi 9 halafu ndo wamzae kama alivyowazaa wao wataweza?

Bila yeye kuwazaa au kuwalea mpaka wakakuwa wakubwa hiyo mali wangeweza kuirithi? Yani mali au nyumba ndio isababishe ukasimame na mama yako mzazi mahakamani? Nyumba inaweza kuungua au ikaanguka kama lilivyoanguka lile jengo la juzi hapo kariakoo lkn mzazi atabaki kuwa mzazi miaka yote ya maisha yenu iwe kwa raha au kwa shida.
 
Acha ujinga wewe, hao ni watoto wake wa kuzaa, wamekaa tumboni kwake miezi 9, hivyo kama kudhulumu angewadhulumu wakati akiwa hajawazaa kwa kutoa mimba zao.

Hivi unaijua thamani ya mzazi uliekaa tumboni kwake miezi 9? Je akiwarudishia hiyo mirathi akawaomba na wao wamlipe kwa kukaa tumboni kwao miezi 9 halafu ndo wamzae kama alivyowazaa wao wataweza?
Mama mwenyewe ni mzee anahitaji kutunzwa nao badala yake yanajaribu kumdhulumu! Uswahilini kuna vituko sio haba.
 
Hao hao unaowaita wavaa kobazi ndiyo wamiliki wa maghorofa mengi kuanzia Kariakoo, Upanga , Mnazi Mmoja na maeneo mengi ambayo ni potential.

Sasa hata ukiwaita majina yakupendazayo wala hawana muda na wewe wala hawakufahamu.

Maeneo hayo wamepata urithi wa babu zao.. ila hawajai kuyanunua..

Kobaz walivyowajinga wanawauzia wagalatia ardhi za babu zao kariakoo na prime area zingine
 
Mama mwenyewe ni mzee anahitaji kutunzwa nao badala yake yanajaribu kumdhulumu! Uswahilini kuna vituko sio haba.
Uswahilini kuna mambo mengi ambayo mengine kama hayajaripotiwa kama hivi hauwezi kuyajua. Imagine mtu mwenye akili timamu unasimama mahamakani kutaka umdhulumu mama yako mzazi nyumba ambayo pengine unaweza kuhonga au kutumia hila kushinda kesi alaf baada ya siku mbili nyumba hiyo inaanguka na kuuwa watu kama ile iliyoua na kujeruhi watu juzikati hapo kariakoo.
 
Acha ujinga wewe, hao ni watoto wake wa kuzaa, wamekaa tumboni kwake miezi 9, hivyo kama kudhulumu angewadhulumu wakati akiwa hajawazaa kwa kutoa mimba zao.

Hivi unaijua thamani ya mzazi uliekaa tumboni kwake miezi 9? Je akiwarudishia hiyo mirathi akawaomba na wao wamlipe kwa kukaa tumboni kwao miezi 9 halafu ndo wamzae kama alivyowazaa wao wataweza?
Unaleta ujuaji na huruma za hivyo...huyo mama haki yake katika mirathi ni kupewa thumni ya mali zote za urithi(yaani kama sijakosea anatakiwa apewe theluthi ya mali yote) na sio kupewa mali yote yeye kama mke au mama wa hao watoto....daraja la mama ni kubwa lakini aliweka hilo daraja ndio huyo huyo aliyempa haki ya kupata thumni katika urithi,kama alitaka haki yake basi wangekusanya mali zote kama zinauzwa halafu yeye apewe theluthi tu ndio haki yake......usilete huruma za kibidamu Mwenyezi Mungu kisha fafanua kila kitu....tamaa za hiyo familia wameshindwa kugawana mirathi kwa sheria za Mwenyezi Mungu wamekimbilia mahakamani hatimae limegeuka hata huyo mama kapewa tu lakini ataadhibiwa kwa kudhulumu haki za watu.
 
Unaleta ujuaji na huruma za hivyo...huyo mama haki yake katika mirathi ni kupewa thumni ya mali zote za urithi(yaani kama sijakosea anatakiwa apewe theluthi ya mali yote) na sio kupewa mali yote yeye kama mke au mama wa hao watoto....daraja la mama ni kubwa lakini aliweka hilo daraja ndio huyo huyo aliyempa haki ya kupata thumni katika urithi,kama alitaka haki yake basi wangekusanya mali zote kama zinauzwa halafu yeye apewe theluthi tu ndio haki yake......usilete huruma za kibidamu Mwenyezi Mungu kisha fafanua kila kitu....tamaa za hiyo familia wameshindwa kugawana mirathi kwa sheria za Mwenyezi Mungu wamekimbilia mahakamani hatimae limegeuka hata huyo mama kapewa tu lakini ataadhibiwa kwa kudhulumu haki za watu.
Kaka mahamakani pia wanajua kwamba kuna sheria za mirathi hivyo mpaka ukiona huyo mama ameshinda kesi basi ujue ana haki ambayo pengine mimi na wewe hatuijui.
Wewe unakimbilia kupinga kupitia mirathi ya dini, je kama hiyo nyumba ilijengwa, ilinunuliwa au ilirithishwa huyo mwanamke na wazazi wake, kisha baba yao na hao vijana ambae ni mume wa bimkubwa akamuoa akiwa tayari ana nyumba yake wewe utajuaje?

Pengine vijana walipoona mzee kakata moto wakaona hiyo ni fursa ya kutafuta utajiri kwa kujua kwamba nyumba ni ya baba yao, kumbe pengine nyuma ya pazia mmiliki ni mwanamke lkn hakupenda kujiweka mbele kutokana na sheria ya dini kumtaka mke au mwanamke kuwa chini ya mumewe.

By the way hao vijana ni wapumbavu, wanashindwa kutafuta vyao wanakaa kuvizia mali za urithi ambazo hata mfano ni vya baba yao lkn pengine na mama yao alichangia pakubwa kuhakikisha hiyo nyumba unasimama.
 
Kaka mahamakani pia wanajua kwamba kuna sheria za mirathi hivyo mpaka ukiona huyo mama ameshinda kesi basi ujue ana haki ambayo pengine mimi na wewe hatuijui.
Wewe unakimbilia kupinga kupitia mirathi ya dini, je kama hiyo nyumba ilijengwa, ilinunuliwa au ilirithishwa huyo mwanamke na wazazi wake, kisha baba yao na hao vijana ambae ni mume wa bimkubwa akamuoa akiwa tayari ana nyumba yake wewe utajuaje?

Pengine vijana walipoona mzee kakata moto wakaona hiyo ni fursa ya kutafuta utajiri kwa kujua kwamba nyumba ni ya baba yao, kumbe pengine nyuma ya pazia mmiliki ni mwanamke lkn hakupenda kujiweka mbele kutokana na sheria ya dini kumtaka mke au mwanamke kuwa chini ya mumewe.

By the way hao vijana ni wapumbavu, wanashindwa kutafuta vyao wanakaa kuvizia mali za urithi ambazo hata mfano ni vya baba yao lkn pengine na mama yao alichangia pakubwa kuhakikisha hiyo nyumba unasimama.
Kama itakuwa hivyo basi huyo mama ana haki ya kupewa nyumba hiyo.
 
Kama itakuwa hivyo basi huyo mama ana haki ya kupewa nyumba hiyo.
Nasema hivyo kwa sababu hii ishatokea kwa bibi yangu yani mdogo wake na bibi mzaa mama hapo Ilala. Alirithi nyumba ya baba yake maana walikuwa wanachangia mama tu na bibi yetu.

Basi aliporithi akaolewa akazaa. Watoto walipokuwa wakubwa wakafikiri nyumba ni ya baba yao. Mzee alipokata moto wakaanza mzozo wa kutaka wauze nyumba eti yeye bibi yetu wakaahidi watamnunulia banda Chanika. Bibi akawa mkali na kuwambia kuwa nyumba ni yake. Vijana wakashupaza shingo na kujifanya kufungua kesi. Mwisho wa siku wakaja kuangukia pua na kujifanya kumuomba mama yao msamaha. Ila mama ni mama mwisho wa siku aliwasamehe, ila isingekuwa hivyo ilikuwa wauze nyumba na yeye wakamtelekeze huko Chanika japo pengine hata hilo banda wasingelinunua.
 
Ameshindaje kesi ya mirathi?
Wametumia sheria ya serikali au ya dini kama ni dini ya kiislamu sheria ya mirathi mama anatakiwa apewe thumni ya mali yote ya marehemu mumewe na sio kupewa nyumba nzima au mali zote!!!

Huruma zingine hazifai kufuata masheria ya kidunia na kutoa haki kwa asiyestahili kupata haki na kudhulumu wengine.
Uliambiwa nchi ya kidini hii? Nendeni Afghanistan mkaishi kidini
 
Kaka mahamakani pia wanajua kwamba kuna sheria za mirathi hivyo mpaka ukiona huyo mama ameshinda kesi basi ujue ana haki ambayo pengine mimi na wewe hatuijui.
Wewe unakimbilia kupinga kupitia mirathi ya dini, je kama hiyo nyumba ilijengwa, ilinunuliwa au ilirithishwa huyo mwanamke na wazazi wake, kisha baba yao na hao vijana ambae ni mume wa bimkubwa akamuoa akiwa tayari ana nyumba yake wewe utajuaje?

Pengine vijana walipoona mzee kakata moto wakaona hiyo ni fursa ya kutafuta utajiri kwa kujua kwamba nyumba ni ya baba yao, kumbe pengine nyuma ya pazia mmiliki ni mwanamke lkn hakupenda kujiweka mbele kutokana na sheria ya dini kumtaka mke au mwanamke kuwa chini ya mumewe.

By the way hao vijana ni wapumbavu, wanashindwa kutafuta vyao wanakaa kuvizia mali za urithi ambazo hata mfano ni vya baba yao lkn pengine na mama yao alichangia pakubwa kuhakikisha hiyo nyumba unasimama.
Ni mama yao wa kuwazaa ? ama ni Hawa mama wa kufikia ama wa kambo ?

Kama mama yao mzazi kabisa pengine nyumba hiyo inaweza kuwa Mali si ya mumewe bali ni ya wazazi wake

Mara nyingi nijuavyo Mali kama hiyo ingekuwa upande wa mume au baba wa hao watoto asilimia nyingi zingeenda kwa watoto lakini ki ujumla mambo ya urithi/mirathi ni magumu mno.
 
Ameshindaje kesi ya mirathi?
Wametumia sheria ya serikali au ya dini kama ni dini ya kiislamu sheria ya mirathi mama anatakiwa apewe thumni ya mali yote ya marehemu mumewe na sio kupewa nyumba nzima au mali zote!!!

Huruma zingine hazifai kufuata masheria ya kidunia na kutoa haki kwa asiyestahili kupata haki na kudhulumu wengine.
Ww umesikia wameenda kwenye mahakama ya kadhi?? Na thumni ndo kitu gani... unaongelea muktadha upi? Mali ya mume ni ya mke piah kwa sheria zetu. Huwez ukagawa mirathi kma mke bado yupo otherwise yeye binafsi aamue kugawa. Tchao
 
Unaleta ujuaji na huruma za hivyo...huyo mama haki yake katika mirathi ni kupewa thumni ya mali zote za urithi(yaani kama sijakosea anatakiwa apewe theluthi ya mali yote) na sio kupewa mali yote yeye kama mke au mama wa hao watoto....daraja la mama ni kubwa lakini aliweka hilo daraja ndio huyo huyo aliyempa haki ya kupata thumni katika urithi,kama alitaka haki yake basi wangekusanya mali zote kama zinauzwa halafu yeye apewe theluthi tu ndio haki yake......usilete huruma za kibidamu Mwenyezi Mungu kisha fafanua kila kitu....tamaa za hiyo familia wameshindwa kugawana mirathi kwa sheria za Mwenyezi Mungu wamekimbilia mahakamani hatimae limegeuka hata huyo mama kapewa tu lakini ataadhibiwa kwa kudhulumu haki za watu.
Hyo sheria yako au yenu baki nayo kwanza.. sheria za nchi ndo zimempa mams haki.. mali ya mume ni ya mke pia. Hapa hatupo kwenye nchi inayotumia sheria za dini ndgu.
 
Back
Top Bottom