The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Na ndio hao hao mifisadi papa, wakwepa kodi wakubwa na wauza unga waliokubuhu na misijdah yao mikubwa kama chapati pajini.Hao hao unaowaita wavaa kobazi ndiyo wamiliki wa maghorofa mengi kuanzia Kariakoo, Upanga , Mnazi Mmoja na maeneo mengi ambayo ni potential.
Sasa hata ukiwaita majina yakupendazayo wala hawana muda na wewe wala hawakufahamu.
Nyau de adriz