Mama awashinda watoto wake Kesi ya Mirathi ya Nyumba Kariakoo

Mama awashinda watoto wake Kesi ya Mirathi ya Nyumba Kariakoo

Unaleta ujuaji na huruma za hivyo...huyo mama haki yake katika mirathi ni kupewa thumni ya mali zote za urithi(yaani kama sijakosea anatakiwa apewe theluthi ya mali yote) na sio kupewa mali yote yeye kama mke au mama wa hao watoto....daraja la mama ni kubwa lakini aliweka hilo daraja ndio huyo huyo aliyempa haki ya kupata thumni katika urithi,kama alitaka haki yake basi wangekusanya mali zote kama zinauzwa halafu yeye apewe theluthi tu ndio haki yake......usilete huruma za kibidamu Mwenyezi Mungu kisha fafanua kila kitu....tamaa za hiyo familia wameshindwa kugawana mirathi kwa sheria za Mwenyezi Mungu wamekimbilia mahakamani hatimae limegeuka hata huyo mama kapewa tu lakini ataadhibiwa kwa kudhulumu haki za watu.
Toa ujinga wako apa
 
Kama kesi imetolewa uamuzi na mahakama hapo shukurani kwa Samia na Silaa vinatokea wapi? au wao ndiyo wametoa hiyo hukumu kwa maelekezo yao?
Wanyonge wanapotafuta haki,wanapambana kila kona,kwa hiyo mama ana haki ya kushukuru kila sehemu alipopita wakati anaitafuta haki yake!!
 
Fatma Awadh mkazi wa Kariakoo amemshukuru Rais Samia na aliyekuwa waziri wa Ardhi Mhe. Jerry Silaa (sasa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari) baada ya kushinda kesi ya Mirathi ya Nyumba dhidi ya watoto wake.

Kesi hiyo iliyoanza 2006 imepata majibu baada ya kudumu mahakamani kwa miaka 18 ambapo Mama amewashinda watoto wake kwenye Mirathi ya nyumba iliyopo Kariakoo Dar es salaam.
View attachment 3170874
Mipuuzi sana hii mitoto. Yaani inang'ang'ania nyumba ya wazazi!
Wajenge yao.
Mitoto kama hii ukute ndiyo inashabikia ajali ya basi la wabunge
 
Ameshindaje kesi ya mirathi?
Wametumia sheria ya serikali au ya dini kama ni dini ya kiislamu sheria ya mirathi mama anatakiwa apewe thumni ya mali yote ya marehemu mumewe na sio kupewa nyumba nzima au mali zote!!!

Huruma zingine hazifai kufuata masheria ya kidunia na kutoa haki kwa asiyestahili kupata haki na kudhulumu wengine.
Kiongozi, huenda walishapata mgawo wao sasa wananyatia na wa mama. Wapo vijana wawili waliorithishwa nyumba kila mtu yake mikocheni. Dada zao wawili wakapewa moja ya kushea mbweni. Vijana wakauza nyumba zao pesa wakastarehe zikaisha, wakawa wanawashawishi dada zao nao wauze ya kwao wagawane nao wakakataa. Siku moja mmojawao alikwenda hapo nyumbani kwa dada zake akamkuta mmoja akamuua. Bahati nzuri marehemu alimtumia ujumbe dada yake kabla kuwa "Kaka X leo amekuja hapa nyumbani ninavyomuona kama amekuja kishari". Walidakwa kirahisi sana japo aliyeua alikana kufika hapo nyumbani. Haya mambo ni mazito.
 
Washashindwa mahakamani, maoni yao ya Nini? Mali ya mume inashuka kwa mke, watoto pumbavu kabisa shenzy
Sijengi nyumba kwa ajili ya mke wangu, na jenga nyumba kwa ajili ya watoto, watoto ni jukumu lao kumtunza mama yao, hilo liko wazi kwa upande wangu. Hii familia sheitwaani gani kawaingia?! Watoto wanaugumvi na Mama yao Mzazi?! KUNA KITU.
 
Mipuuzi sana hii mitoto. Yaani ing'ang'ania nyumba ya wazazi!
Wajenge yao.
Mitoto kama hii ukute ndiyo inashabikia ajali ya basi la wabunge
Au mateja?! Au hawana mbele wala nyuma walitaka waiuze?!? Ila umfanyie hivi Mama Mzazi?!
 
Ameshindaje kesi ya mirathi?
Wametumia sheria ya serikali au ya dini kama ni dini ya kiislamu sheria ya mirathi mama anatakiwa apewe thumni ya mali yote ya marehemu mumewe na sio kupewa nyumba nzima au mali zote!!!

Huruma zingine hazifai kufuata masheria ya kidunia na kutoa haki kwa asiyestahili kupata haki na kudhulumu wengine.
Mkuu, nimekuelewa sana.
 
Hiyo mitoto mipumbavu baada ya kukaa vizuri na mama yao yamejifanya mababe, hiyo nyumba yangeichukua kirahisi sana kwa kucheza na akili za mama yao.

Mnatafuta Tajiri mnaingia naye mkataba wakumuuzia Kwa sharti la kumjengea mama nyumba nzuri Goba huko au Bunju, gari za 15m mbili, Noah na Alphard, anapewa frame mbili awe anachukua Kodi aendeshe maisha.

Sasa hapo naona mama kabla hajafa anaitoa hiyo nyumba wakfu msikitini inakuwa imetoka hiyo, akifa nyumba inabaki mali ya waislamu.
 
Ni mama yao mzazi mkuu. Hata hapo kwenye video amesema wazi kuwa hao ni watoto wake wa kuwazaa waliokaa tumboni kwake miezi 9 kila mmoja.

Anasema walikuwa 8 wawili wakafariki na kubaki 6 ambao ndio hao waliotaka kumdhulumu nyumba yake.
watoto wana kosa hekima, kitu Cha aibu yaan hapo hajafa huyo mama.... vita vihamie kwao na radhi za mzazi wao pindi wanamsumbua itakuwa balaa

Tujitahidi kutafuta vyetu aseeh...
 
Hao hao unaowaita wavaa kobazi ndiyo wamiliki wa maghorofa mengi kuanzia Kariakoo, Upanga , Mnazi Mmoja na maeneo mengi ambayo ni potential.

Sasa hata ukiwaita majina yakupendazayo wala hawana muda na wewe wala hawakufahamu.
Siyo wamiliki halali, wazazi wao ndiyo wamiliki. Hao unaowataja wakatafute mali zao au wakajenge na wao kariakoo yao waache kuombea wazazi kifo ili wamiliki mali.
 
Siyo wamiliki halali, wazazi wao ndiyo wamiliki. Hao unaowataja wakatafute mali zao au wakajenge na wao kariakoo yao waache kuombea wazazi kifo ili wamiliki mali.
Kama wazazi walirithi basi nao hawana budi kuwarisisha watoto wao, na kama wazazi walijenga,basi na watoto nao hawana budi lazima nao wakajenge za kwao!!
 
Back
Top Bottom