Ndiyo tatizo la kulelea mitoto kinenani, unless kama walibaini kuna zoba 'kamkamata' mama yao na kuna dalili anajazwa mkenge kwa sababu ya mahaba ili waiuze na asepe na pesa.
Nyumba ni yao wote(mama na watoto wake) ila kama ni kweli walikuwa wakimfukuza asifike(labda kwa ushauri wa wake zao kama wametoa kwani it very strange watoto kumfukuza mama yao) basi ni vizuri uamuzi uliotolewa.
NB: There are always different sides of the story, labda tukisikia upande wa watoto pia tutashangaa zaidi japo si lazima uwe ukweli hundred percent. Ukweli unaweza ukabaki kuwa mystery licha ya mahakama kuamua in favor of the mother lakini watoto kumfukuza mama yao that's a very terrible thing to do.