Mama awashinda watoto wake Kesi ya Mirathi ya Nyumba Kariakoo

Mama awashinda watoto wake Kesi ya Mirathi ya Nyumba Kariakoo

Hao hao unaowaita wavaa kobazi ndiyo wamiliki wa maghorofa mengi kuanzia Kariakoo, Upanga , Mnazi Mmoja na maeneo mengi ambayo ni potential.

Sasa hata ukiwaita majina yakupendazayo wala hawana muda na wewe wala hawakufahamu.
Wote ni waarab na wahindi na tena wengi zaidi ni shia wala siyo suni kama wewe hata msikitini kwao hautakiwi
 
Unaleta ujuaji na huruma za hivyo...huyo mama haki yake katika mirathi ni kupewa thumni ya mali zote za urithi(yaani kama sijakosea anatakiwa apewe theluthi ya mali yote) na sio kupewa mali yote yeye kama mke au mama wa hao watoto....daraja la mama ni kubwa lakini aliweka hilo daraja ndio huyo huyo aliyempa haki ya kupata thumni katika urithi,kama alitaka haki yake basi wangekusanya mali zote kama zinauzwa halafu yeye apewe theluthi tu ndio haki yake......usilete huruma za kibidamu Mwenyezi Mungu kisha fafanua kila kitu....tamaa za hiyo familia wameshindwa kugawana mirathi kwa sheria za Mwenyezi Mungu wamekimbilia mahakamani hatimae limegeuka hata huyo mama kapewa tu lakini ataadhibiwa kwa kudhulumu haki za watu.
Nani huyo aliweka hiyo sheria ya thumni? Sijaelewa hapo.
 
Hii mitoto ndio design unakuta zee zima mvi kila mahali linaishi "kwao" kutwa kucha kujadili Simba Yanga na kucheza bao na pool na kugongea sigara.

Hizo ndio culture za Kariakoo, Magomeni, Buguruni, Ilala and the like. Likijana likishabalehe fukuza likatafute maisha otherwise litakugeuka. Mengine yanaombea mzazi afe ili yarithi!
Vijana wa hivi nimewashuhudia kinondoni sana na Mwananyamala aisee, Yan wao ubishoo mwingi ila ikifika jioni anarudi kwa mama kula na kulala jitu zima hd aibu aisee
 
Ameshindaje kesi ya mirathi?
Wametumia sheria ya serikali au ya dini kama ni dini ya kiislamu sheria ya mirathi mama anatakiwa apewe thumni ya mali yote ya marehemu mumewe na sio kupewa nyumba nzima au mali zote!!!

Huruma zingine hazifai kufuata masheria ya kidunia na kutoa haki kwa asiyestahili kupata haki na kudhulumu wengine.
Wewe niwale wale
 
N
Unaleta ujuaji na huruma za hivyo...huyo mama haki yake katika mirathi ni kupewa thumni ya mali zote za urithi(yaani kama sijakosea anatakiwa apewe theluthi ya mali yote) na sio kupewa mali yote yeye kama mke au mama wa hao watoto....daraja la mama ni kubwa lakini aliweka hilo daraja ndio huyo huyo aliyempa haki ya kupata thumni katika urithi,kama alitaka haki yake basi wangekusanya mali zote kama zinauzwa halafu yeye apewe theluthi tu ndio haki yake......usilete huruma za kibidamu Mwenyezi Mungu kisha fafanua kila kitu....tamaa za hiyo familia wameshindwa kugawana mirathi kwa sheria za Mwenyezi Mungu wamekimbilia mahakamani hatimae limegeuka hata huyo mama kapewa tu lakini ataadhibiwa kwa kudhulumu haki za watu.
Nani ameweka hiyo sheria, sheria ya waarabu unasema Mungu kafafanua?
 
Mitoto jinga hii yamezoea umwinyi tu ona yalivyoaibika mahakamani.Imagine ni watoto wake wa kuwazaa ndo wamemtenda haya.Pole sana bibi yetu iyo nyumba ukifa itoe Sadaka.Kuliko kuwaachia hao mashwetani.
 
1. Watoto walifungua mirathi. Hawakumjumuisha mama yao kwenye orodha ya warithi.

Hivyo, Mama akawa nje ya warithi. Akaondolewa kwenye mirathi.

2. Mama akapinga hilo. Akataka nayeye awe miongoni mwa warithi.

3. Mama ameshinda kesi. Mahakama imeona kuwa mama huyo nayeye ana haki kwenye mirathi hiyo. Mama amerejeshwa kwenye mirathi. Anakuwa miongoni mwa warithi.

N.B: Watoto wapo 6. Kati ya hao sita, ni mtoto mmoja tu ndiye alikuwa upande wa mama akimtetea ajumuishwe kwenye mirathi. Watoto wengine 5 walikuwa hawataki mama awe kwenye mirathi. 😎

-Kaveli-
 
Hongera sana Mahakamankwa kutenda haki. Watoto watafute mali yao.
Ndiyo tatizo la kulelea mitoto kinenani, unless kama walibaini kuna zoba 'kamkamata' mama yao na kuna dalili anajazwa mkenge kwa sababu ya mahaba ili waiuze na asepe na pesa.
Nyumba ni yao wote(mama na watoto wake) ila kama ni kweli walikuwa wakimfukuza asifike(labda kwa ushauri wa wake zao kama wametoa kwani it very strange watoto kumfukuza mama yao) basi ni vizuri uamuzi uliotolewa.
NB: There are always different sides of the story, labda tukisikia upande wa watoto pia tutashangaa zaidi japo si lazima uwe ukweli hundred percent. Ukweli unaweza ukabaki kuwa mystery licha ya mahakama kuamua in favor of the mother lakini watoto kumfukuza mama yao that's a very terrible thing to do.
 
Kuna familia zingine za ajabu sana
Familia za Kiswahili ndio zipo hivyo.
Kuna wahuni wanapambana na baba yao mkubwa mwaka wa 15 sasa wakitaka kuuza ardhi wanayodhani ni ya baba yao, kumbe baba yao alimuuzia baba yao mkubwa wakiwa watoto sana, muda mfupi baada ya kuuza akafariki kabla ya kuhamisha familia,ndugu wakaomba mama yao aendelee kuwalelea pale, mama yao anefariki wamekuwa wakubwa, wanataka kumvimbia baba yao mkubwa.
 
Ndiyo tatizo la kulelea mitoto kinenani, unless kama walibaini kuna zoba 'kamkamata' mama yao na kuna dalili anajazwa mkenge kwa sababu ya mahaba ili waiuze na asepe na pesa.
Nyumba ni yao wote(mama na watoto wake) ila kama ni kweli walikuwa wakimfukuza asifike(labda kwa ushauri wa wake zao kama wametoa kwani it very strange watoto kumfukuza mama yao) basi ni vizuri uamuzi uliotolewa.
NB: There are always different sides of the story, labda tukisikia upande wa watoto pia tutashangaa zaidi japo si lazima uwe ukweli hundred percent. Ukweli unaweza ukabaki kuwa mystery licha ya mahakama kuamua in favor of the mother lakini watoto kumfukuza mama yao that's a very terrible thing to do.
Mali ya mume na mke haiwezi kuwa ya watoto. Watoto wanapewa Kwa willing ya wazazi. Urithi siyo jambo la lazima, bali matakwa ya hiari ya wazazi
 
Back
Top Bottom