physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 859
- 1,036
Kila mtu anapata mgao wake,mama anapata 1/8.Yaani mali inagaiwa mafungu 8,fungu moja anapewa mama,iliyobakiya wanagaiwa watoto na wazazi wa marehemu kama wako hai,kila mmoja anakuwa na sehemu yake Hili somo la mirathi,ni somo kamili.Na kabla ya kugawana,kwanza kunalipwa madeni,anayodaiwa marehemu,kama alijenga kwa mkopo wa benki,mpaka anafariki mkopo haujalipwa.Au kuna wanaomdai,wakiwa na vithibitisho vya maandishi.Dini yenu ndo inasema mali alizotafuta baba na mama.. baba akifariki mali wanapewa watoto??? Bhasi hiyo dini ni takatakaaa.