Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Mzazi kama huyu atachingia mwanae kuporomoka mana hana busara, Anasahau mwanae ni brand hapaswi kukurupuka tu na kutoa taarifa mama anaharibu mambo sanaBusara mama angesema hajui kilichomtokea mwanae kimfanye asifike msibani
Pengine Mama ndio alishauri mwanae asiende...namimi naona kama ana hoja ya msingi maana ingetokea tafrani wengi hapa mngekuja kusema alikuwa ana tafuta kiki msibani.....Mama Diamond sasa amekuwa msemaji wa mwanae!!!! Diamond ajue yeye ni brand maneno kama haya yanasemwa na mzazi yanampunguzia sana mashabiki na yanaaminika moja kwa moja kwa vile yametoka kwa Mama Diamond ivo awe makini na pia atoe katazo kwa wana ndugu kutoa taarifa zozote ni hatari sana
Pili mama Diamond sijui Amewahi kumshuhudia mtu anaitwa Mr Nice;?? Akajifunze kitu kutoka kwa mama mr nice
Sidhani kama Diamond anaweza kuporomoka kwa sababu ya mama kukosa busara au yeye kuto kwenda misibani bali kitakacho mporomosha ni kuto toa nyimbo nzuri tuuuMzazi kama huyu atachingia mwanae kuporomoka mana hana busara, Anasahau mwanae ni brand hapaswi kukurupuka tu na kutoa taarifa mama anaharibu mambo sana
Btw huu uzi kama Babu ana nguo chafu zitoe mana Povu litakalotoka apa si la mchezo
Chumvi nimeongeza wapi? na wewe mbona mwisho umekubaliana na nilicho andika?mtoa posti ndio una matatizo, umeongezea chumvi sana kuonesha kuwa kauli yake ni mbaya kuliko ukweli, tangu mwanzo wa posti hadi mwisho, kwanza bora hajaenda maana ungekuwa sio msiba tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo hajajibu kwa ufasaha?Hahaha eti kajibu kwa umahiri.....kama nawe ni mwandishi wa habari basi serikali ina kila sababu ya kuminya uhuru wa habari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulingana na Mama Diamond anasema walizimia kutokana na uwepo wake kwenye msiba wa kanumba
Kuna hoja gani ww wakati kanumba anafariki 2011 huyo domo alikuwa na nguvu gani mpaka watu wazimieHaya mbona hayahusiani na yaliyo andikwa? yeye kwake hizo ni hoja
Ila hata wewe kwa uandishi huu wa lugha yetu pendwa ya kiswahili umeudhihirisha ukweli kuwa nawewe sio mwandishi makini.Waache kuzimia kwa kuondokewa na mpendwa wao waje wazimie kwa ajiki yake!!
Haomwaandishi baada ya kujibiwa hivyo nao wakaridhika kama wewe(unavyodai alijibu kwa ufasaha)?? Kweli waandishi makini wiku hizi wamekuwa adimu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
PENGINE HUKUWAONA WAKIZIMIAMwaka jana pale MLIMANI CITY kwenye SZFF ya Azam, nilikaaa km 15m Kutoka Diamond, na sikumbuki kuzimia hata mtu Mmoja!
Sent using Jamii Forums mobile app