Mama Diamond: Diamond hakuja kwenye msiba wa Godzilla kwa sababu angesababisha vurugu na watu wange zimia.

Mama Diamond: Diamond hakuja kwenye msiba wa Godzilla kwa sababu angesababisha vurugu na watu wange zimia.

Sidhani kama Diamond anaweza kuporomoka kwa sababu ya mama kukosa busara au yeye kuto kwenda misibani bali kitakacho mporomosha ni kuto toa nyimbo nzuri tuuu
Diamond anabebwa Na uteam..hata atoe ngoma ya ovyo wanaipaisha..sio afya kwa muziki wa kibongo..inatakiwa ngoma Kali inapata support hata kama msanii sio mkubwa..kama USA wanavyofanya
 
We pimbi kweli; kuna mahali niliposema watu walizimia?! NImesema kwenye msiba wa Kanumba watu walikuwa wengi sana lakini walikuwa wametulia! Alipotokea Diamond, ndipo ikaanza mshike mshike hadi polisi wakalazimika kuingilia kati na kumsindikiza Diamond alipokuwa amepangiwa kukaa lakini ilishindikana! Video hii hapa wakati Diamond anawasili msibani!!


Halafu unaonekana wala sio mtu wa burudani! Yaani 2012 Diamond alikuwa hafahamiki?! You can't be serious! Hivi tangu atoke Nenda Kamwambie mwaka 2009 hadi 2012 Diamond alikuwa ametoa hit ngapi ambazo zilishamtengenezea history?
Duh mzee mbn umekuwa mkali hivyo kwa britanicca

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama anaepakuliwa na marafiki zako ni laana tosha
Mkuu tunajua huu mziki una uteam flani hivi ila kuweka na ishu za wazazi naona umekosea sana.....Chugua jinsi ya kuandika next time.
 
Wasalaam wana jamvi.

Mama wa msanii maarufu na tajiri kuliko wote nchi Diamond Platimuz ameweka wazi sababu za mwanae kutoonekana kwenye msiba na mazishi ya msanii mwenzie Godzilla.

Mama Diamond akihojiwa na moja ya chombo cha habari nchini aliulizwa kwanini Diamond hajaonekana kwenye msiba wa msanii mwenzie au hata kwenda kutoa pole?
Mama Diamond akijibu swali hilo kwa ufasaha amesema kuwa sababu ya mwanae kutokuja ni kutokana na mwanae kuwa msanii mkubwa sana nchini na hivyo kama angelifika pale angelisababisha tafrani na watu wote wangeacha kuhani msiba wangebaki kumuangalia yeye tuu
Pia aliongezea kuwa kama mwanae angelifika pale basi kungelitokea baadhi ya watu kuzimia ....
Mama Diamond aliongezea kwa kusema hata kwenye msiba wa Kanumba mwanae alipotokea alisababisha vurugu na watu wengine kuzimia kwakuwa kila mtu alitaka kumuangalia Diamond.

Hata hivyo Mama Diamond alisema kuwa yeye kuja kwake ni kama amemuwakilisha mwanae...

Wasalaam
Mambo ni mengi muda mchache!!
 
Mbona kama ulikuwa unatafuta pa kutolea dukuduku lako na kujikuta unatoa kwenye wrong place?! Manake nashindwa kabisa kuona uhusiano wa suala la yeye kutokwenda kwenye msiba kwa upande mmoja na suala la pesa na kwenda casino kwa upande mwingine!! Kumbe kama unafahamu alienda kwenye msiba wa Masogange, how come tena unahusisha suala la kutokwenda kwenye msiba wa Zilla na suala la sifa na pesa?! Au unataka kuniambia hizo sifa na pesa kaanza au kapata sasa?!

Na kama unaamini hana cha ajabu, tazama balaa ambalo alilisababisha Kariakoo!

Umaarufu hauwezi kumfanya Mtu asiende msibani eti kisa watu watapagawa nae... Nyooooo....shwain kabisaa...asijikutee Mungu mtu...!! Amelewa sifaaa...vihela alivyopata vinampa jeuri mpaka mama ake anaona tz kama yaoo... Akafiee mbele hukoo na Kujidai kutoa misaada baba ake analia kila siku njaaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam wana jamvi.

Mama wa msanii maarufu na tajiri kuliko wote nchi Diamond Platimuz ameweka wazi sababu za mwanae kutoonekana kwenye msiba na mazishi ya msanii mwenzie Godzilla.

Mama Diamond akihojiwa na moja ya chombo cha habari nchini aliulizwa kwanini Diamond hajaonekana kwenye msiba wa msanii mwenzie au hata kwenda kutoa pole?
Mama Diamond akijibu swali hilo kwa ufasaha amesema kuwa sababu ya mwanae kutokuja ni kutokana na mwanae kuwa msanii mkubwa sana nchini na hivyo kama angelifika pale angelisababisha tafrani na watu wote wangeacha kuhani msiba wangebaki kumuangalia yeye tuu
Pia aliongezea kuwa kama mwanae angelifika pale basi kungelitokea baadhi ya watu kuzimia ....
Mama Diamond aliongezea kwa kusema hata kwenye msiba wa Kanumba mwanae alipotokea alisababisha vurugu na watu wengine kuzimia kwakuwa kila mtu alitaka kumuangalia Diamond.

Hata hivyo Mama Diamond alisema kuwa yeye kuja kwake ni kama amemuwakilisha mwanae...

Wasalaam

Tatizo single mother
 
Mwanamke uwe na Soni kidogo
Umezaa una ndugu halijakufika
Hizi ni dharau za kupitiliza
Kosa mali upate Elimu inakuhusu mwanamke!
Yaani, kanifedhehesha! Kosa hata hiyo Elimu ila angalau omba ubarikiwe busara.
 
Mama anaetembea na marafiki zako ni laana tosha
Hongera mwenzetu uliezaliwa na mama wenye tabia nzuri ,sisi ambao mama zetu kidogo mwenendo wao si mwema bado tunawapenda mama zetu na kumuomba mungu azidi kuwabadili kwa upole wake na huruma ,Mama ni mama,Hakuna mama anastahili hii kauli yako how do you speak about a queen that way ? Kama anatembea na rafiki zake Je diamond ndo anamuunganishia ? Anyway utakuwa uliandika ukiwa na jokeful mood.
 
Mama Diamond sasa amekuwa msemaji wa mwanae!!!! Diamond ajue yeye ni brand maneno kama haya yanasemwa na mzazi yanampunguzia sana mashabiki na yanaaminika moja kwa moja kwa vile yametoka kwa Mama Diamond ivo awe makini na pia atoe katazo kwa wana ndugu kutoa taarifa zozote ni hatari sana


Pili mama Diamond sijui Amewahi kumshuhudia mtu anaitwa Mr Nice;?? Akajifunze kitu kutoka kwa mama mr nice
Uko sahihi Mama ni vyema asijiingize kwenye mambo ya mwanae maana huyu sio ordinary son ,he is a super star ,anahitajika mjuzi hasa ,Japo maana ya mama ina mantiki ,tujikumbushe msiba wa kanumba ,watu waliacha msiba wakaenda kusukuma gari la diamond ,sasa leo hii jina lake liko mara tatu ya kipindi kile,na nikweli kwenye show zake watu wanazimia hata nairobi walizimia kibao na walikuwa wanatoa chupi wanarusha steji mbele ya boyfriend zao.
 
Kwani angekuja huyo mfu ange fufuka?
Focus


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kulingana na Mama Diamond anasema walizimia kutokana na uwepo wake kwenye msiba wa kanumba
Mwambie aache uongo! Kipindi kanumba anafariki diamond hakua msanii Mkubwa kiivo!
Nakumbuka alikua bado anapiga show za mchangani huko njombe wakiwa Na wema sepetu kwenye kaukumbi flani kadogoo!
 
Back
Top Bottom