Tetesi: Mama Diamond kumshtaki Ommy Dimpozi

Tetesi: Mama Diamond kumshtaki Ommy Dimpozi

Lazima ujisikie vibaya. Lkn ugomvi wenu wawili kwanini uingize wengine? Tena mzazi
Ukitaka kushinda vita tena mapema...piga pale panapouma zaidiii...inkoskazi mwana wa makumazani pigo moja takatifuu.
WAMEKAAA...

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 
lakini kuna kipande ktk wimbo wa Ney wa mitego kikijaribu kumhusisha na Ommy kuwa jogoo hapandi mtungi... ule wimbo tukumbushane

kama Ney alikuwa yupo sahihi basi yawezekana Domo nayeye alikuwa sahihi... ukichukulia pia na reaction aliyo ichukuwa Ommy baada ya boss wake kudhalilisha ni tofauti na reaction aliyochukuwa mdogo wake kiba japo kiba yeye alishatoa la moyoni au joke...kwa kifupi
Hata saa mbovu ipo sahihi mara 2 katika masaa 24.

Sawa hata kama jogoo hapandi mtungi ila SIKU ALIPOPANDA ALIANZA NA MTUNGI WA BI MKUBWAKE MTU....haiondoi ukweli kuwa tayari anakuwa babake na malkia wa nguvu.

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 
Diamond kaenda kuwachokoza watoto watundu wa kitaa, wakaja kurusha mawe juu ya bati kwa kina Diamond sasa wanakimbilia Polisi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi naona ni bora mama angemkanya mwanaye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Ommy sio mtu wa mchezo yaani kitaani kwetu wanamwita TOTO TUNDU

Domo kimya kafyata mkia
Hatujasikia verse nyingine hadi sasa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huyu Ommy Mungu anamuona. Yani kaamua kutumia Bomu la nyuklia kumaliza vita
 
DAB anahusika vipi katika mambo hayo.Tupe ushahidi na utuambie anahusika vipi.Maana nishachoka na habari za umbea wa vijana wa kitanzania.
Afu kwa nini kila jamaa akitaka kutoa wimbo wanatafuta kiki kupitia chibu?
Mkuu nahis umechangia lkn hujui the whole story , huyo chibu ndo kawachokoza wenzie sasa nan anatafuta kiki kati ya aliyechokoza na aliyechokozwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
safi sana, wamshikishe adabu
inaelekea hajafunzwa adabu na mama yake
wakitaka hata kutoana damu watoane tu, lakini sio kumuingiza mama wa mtu kwenye ugomvi wao
 
Hebu wana sheria wajitokeze watusaidie maana walio wengi hapa ni wa maneno maneno tyu yasiyo ya msingi. Lawyers please show up here & make it clear

 
Mbona alishafuta kwa kusikiliza ushauri kutoka kwa Le Mutuz. Ila kuna mengine mtu ukifuta haisaidiiiii... jiongeze uyafahamu.
Lemutuz si ndio rais wa wajinga tanzania.

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
DAB anahusika vipi katika mambo hayo.Tupe ushahidi na utuambie anahusika vipi.Maana nishachoka na habari za umbea wa vijana wa kitanzania.
Afu kwa nini kila jamaa akitaka kutoa wimbo wanatafuta kiki kupitia chibu?
Nahisi ulezi wake pale ndio unamhusisha
 
safi sana, wamshikishe adabu
inaelekea hajafunzwa adabu na mama yake
wakitaka hata kutoana damu watoane tu, lakini sio kumuingiza mama wa mtu kwenye ugomvi wao
Mama yake alifariki, SAD..!!
 
Back
Top Bottom