Sasa mbona hapo ni kama imani za giza,yaani wanamtapika ili wasiende msibani? Au Kuna masharti kwamba mzee lazima afe kwa kuteseka na kutengwaHii ishu imekuwa created now coz huyo mzee ni mgonjwa balaa, so wametapika sasa hivi ili siku ikitokea ametangulia wasiende msibani.. ( this is the main reason
This is JFina maana maza ake DAi alikuwa anakit**** mpaka anashindwa jua baba wa mwanae?
Alikua muuza mitumba yeye na kaka yake. Enzi za mzee Ruksa mitumba ilikua ndiyo kila kitu.Mzee Abdul alikua anatelezaaa, ila aligoma kutoa huduma
Halafu kuna dogo alisoma na Queen Darleen walikua marafiki sana, baada ya Diamond kuja kuwa maarufu na kumjua kama kaka wa Queen akawa anasema ilikua huyu mzee akatae kumsomesha Nasib wakati alikua anampa Queen pesa na good time kiasi kwamba Queen alikua DonMtoto pale kariakoo?!!
Kumbe mzee alikua na mapesa tuu lakini aligoma kabisa kumsaidia Nasib na sasa Nasib ana pesa yeye analalama kila siku hapati huduma
Mama Diamond kachoka kaamua kutema nyongo💣💣
Unachoshangalia Ni kabila la Daimond...Tujuane sasa ; kwahiyo Daimond ni Mchaga wa wapi ? Tuanze kumfanyia matambiko ya kichaga. Nillan na Tifa Wote waje Uchagani wapatambue kwao na asili yako.
Hii move ni tamu kutumia Jina la baba mlezi mbona ni kawaida sana. Mtoto ni Mali ya Serikali, Mtoto ni wa Mama na Serikal tu Mwanaume ni mlezi na muangalizi tu.
Hata Yesu hana Baba, Joseph alikuwa ni mlezi na muangalizi tu .
Diamond arudi kwao Uchagani apajue na ajue ndugu zake.
Mdomo ukizidi ni shida ; Mzee Abdul alipewa heshima sana lakini hakuweza kukituliza.
Daimond ukisikiliza nyimbo yake na Flavor ya Nana utasikia akipataja kwao na kilevya chao cha Asili. Tatizo wabongo hamjui kusoma Alama. The guy was trying to expose his Masonic truth. Diamond haimbi kitu isipokuwa anatoa ujumbe.
Ukisikiliza Kwangaru, anapataja kwao upande wa Mama yake. Diamond knew this since day one [emoji3516], kuwa yeye ni wa KILIMANJARO!
Mzee Abdul imeisha hiyo ; Muha ni Muha tu . Shaka yangu huyu mzee asije kufa kwa stress. Na siku nyingine atambue waandishi wa Habari ni mashetani, hawakuachi mpaka wakuingize shimo.
Basi sawa tunaanzisha mchakato wa kuzungusha bakuli kumchangia baba feki wa Diamond pesa ya kumlipia bima ya afya atibiwe miguu imeanza kuoza.
Basi inaonekana bi sandra "kakitembeza" sana enzi za ujana wake....hii familia bana mama malaya, baba malaya, watoto malaya
[emoji1][emoji1]Tujuane sasa ; kwahiyo Daimond ni Mchaga wa wapi ? Tuanze kumfanyia matambiko ya kichaga. Nillan na Tifa Wote waje Uchagani wapatambue kwao na asili yako.
Hii move ni tamu kutumia Jina la baba mlezi mbona ni kawaida sana. Mtoto ni Mali ya Serikali, Mtoto ni wa Mama na Serikal tu Mwanaume ni mlezi na muangalizi tu.
Hata Yesu hana Baba, Joseph alikuwa ni mlezi na muangalizi tu .
Diamond arudi kwao Uchagani apajue na ajue ndugu zake.
Mdomo ukizidi ni shida ; Mzee Abdul alipewa heshima sana lakini hakuweza kukituliza.
Daimond ukisikiliza nyimbo yake na Flavor ya Nana utasikia akipataja kwao na kilevya chao cha Asili. Tatizo wabongo hamjui kusoma Alama. The guy was trying to expose his Masonic truth. Diamond haimbi kitu isipokuwa anatoa ujumbe.
Ukisikiliza Kwangaru, anapataja kwao upande wa Mama yake. Diamond knew this since day one [emoji3516], kuwa yeye ni wa KILIMANJARO!
Mzee Abdul imeisha hiyo ; Muha ni Muha tu . Shaka yangu huyu mzee asije kufa kwa stress. Na siku nyingine atambue waandishi wa Habari ni mashetani, hawakuachi mpaka wakuingize shimo.
Leo mama diamond almaarufu kama Mma dangote, amekiri kua Mzee Abdul anaejulikana kua ni baba mzazi wa Diamond, sio baba mzazi wa diamond na kukazia kua baba wa diamond alishakufa mda tokea akiwa na mimba ya diamond.
Akiendele na mazungumzo yake alidai kua Mzee abdul aliikataa mimba ya na kukataa kumlea diamond alipozaliwa.
NAYAONA HAYA:
*MZEE HUYU ABDUL ATAKATA TAMAA YA MAISHA KWANI TEGEMEO LAKE ILIKUA NI SIKU MOJA DIAMOND ARUDISHE MOYO NYUMA AMSAIDIE
*NAONA KABISA MZEE HUYU KUJIINGIZA KWENYE VILEVI KUPINDUKIA KWA SABABU YA STRESS
*YOYO KWA YOTE NAONA KABISA TUNAMPOTEZA HUYU MZEE, HIZI HABARI SIO NJEMA KWAKE.
TUSUBIRI TUONE
View attachment 1678070
Huyu mzee alivyokuwa anafanyiwa intvw mara kwa mara alidai hasaidiwi,leo amehojiwa na Simulizi na Sauti anadai huwa akiwa na shida Diamond anamtumia hela laki 2,laki tatu siku nyingine mpaka milioni ,sasa najiuliza kwa nini alikuwa anaongea uongo kwenye vyombo vya habari?
Pili mama Dangote kamwita mzee Abdul baba mlezi,hapo hapo anasema Diamond si mtoto wa mzee Abdul ...............full contradictions yaani kama pipa na mfuniko still kuna kipande hapa hakija kamilika.
Huyu sasa hivi yeye atulie ajue atailea vipi familia yake na watoto wake wa uzeeni basi,aachane na hizi vyombo vya habari kwani vina mchoresha sana.
Hawatumii busara ,huyo mzee akijengewa hata banda halafu akapewa kama mil 10 atulie sehemu moja afanye biashara sidhani kama atarudi kuwasumbuaHakuna familia inayoteseka Kama hii.
Pesa zao haziwasaidii kutatua matatizo yao [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hata kama ni Kiki ni upuuzi sasa Nasib Abdul mbona amechukua jina la MZee Abdul?
Kombora la Konde Boy WAPO ndio limewapa kizazaa.Hahahaha hii ingekuwa ni kweli hii familia ingelisema toka mwanzo.
Ukimuangalia Mzee Nasibu alivyo fanana na Diamond na Tifa........ kuamini kuwa huyu mzee sio mzazi wa Diamond ni ngumu sana....
Mimi naona hapa shida ni matunzo ya huyu baba ndio yameleta maneno na njia pekee ya kumzima huyu mzee ni kumkana kabisa hahahaha.
Sitokuja kushangaa kuja kusikia kuwa Tiffa au Nilan sio mtoto wa Diamond kwakuwa karma ndio ilivyo.....
Aiseeee ni vituko tuuu maana huyu mzee asingelikuwa anadai matunzo asingelidhalilishwa kabisa......................
Kumbe jezi ingetupotezea msanii maarufu kutoka Tanzania . Lakini mzee aliongea kwa hisia sana.Yes Clip imewekwa hapo juu katamka live.....Anasema Mama shamte alipata mimba mwanzo walipokutana kwakuwa walikuwa hawajapanga wakaichomoa na wakaamua sasa wawe wanavaa "JEZI" sasa katika purukushani "JEZI" ikapasuka ndio mimba ya dayamondi ikapatikana na walikuja kujua mimba ina miezi miwili.