CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Maneno machache tu.
Si kwa ubaya Mwenyezi Mungu kama ikimpendeza amchukue mja wake huyo Mzee Abdul ni imani yangu kivuli chake kitasalia na tutajionea mengi zaidi. Huwezi mdhalilisha mzee wa watu kiasi hiko kisa Mali za mtoto. Kwann usiseme mwanzoni huko kuwa yule sio baba mzazi wa Daimond? Inshallah mm niko upande wa mzee Abdul namuombea kwa M/mungu tabu zote alizopata kuilea mimba ya huyo Diamond pamoja na kumlea pindi alipozaliwa lkn leo anatukanwa licha ya changamoto za kulea kama tujuavyo wazazi wengi. Mwanaume kukubali kulea mimba isiyo yake hiyo ingetosha kabisa kumpatia haki zote za kuwa baba pamoja na msaada muhimu. YES MUNGU MUWEZA NA MUUMBA WA MBINGU NA ARDHI ATAONESHA MFANO KWA DHARAU ZA NAMNA HII AMIN.
Si kwa ubaya Mwenyezi Mungu kama ikimpendeza amchukue mja wake huyo Mzee Abdul ni imani yangu kivuli chake kitasalia na tutajionea mengi zaidi. Huwezi mdhalilisha mzee wa watu kiasi hiko kisa Mali za mtoto. Kwann usiseme mwanzoni huko kuwa yule sio baba mzazi wa Daimond? Inshallah mm niko upande wa mzee Abdul namuombea kwa M/mungu tabu zote alizopata kuilea mimba ya huyo Diamond pamoja na kumlea pindi alipozaliwa lkn leo anatukanwa licha ya changamoto za kulea kama tujuavyo wazazi wengi. Mwanaume kukubali kulea mimba isiyo yake hiyo ingetosha kabisa kumpatia haki zote za kuwa baba pamoja na msaada muhimu. YES MUNGU MUWEZA NA MUUMBA WA MBINGU NA ARDHI ATAONESHA MFANO KWA DHARAU ZA NAMNA HII AMIN.