Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Yote haya yanini hivi,najaribu kuwaza kufikiria sipati jibu

sawa anayosema mama diamond,sawa anayosema mzee abdul

sawa yote yanayosemwa na kila mtu,swali langu lipo pale pale

yote haya ni yanini? ili iweje? nani ameyafukua? kwa faida ipi?

ok fine diamond sio mtoto wa mzee abdul So what eheee nini kifatacho?

ok sawa mama diamond alichanganya madesa,tushajua so what? inatusaidia nini?

kuna vitu vinafanyika unaangalia unatafuta mtu mzima ktk haya masakata unawakuta

wapo watu wazima kibao ila wote hawaoni kuwa wanachofanya ni ujuha,kila mtu anataka aonyeshe ubora wa kumbukumbu zake

sawa ila concept nzima ya huu uduvi sijaielewa na mwisho wa haya yote ni Aibu,yes ni aibu inakuja wala haipo mbali.
 
roma_zimbabwe_138821544_1072902613151581_1067729202384277426_n.jpg
 
Yote haya yanini hivi,najaribu kuwaza kufikiria sipati jibu

sawa anayosema mama diamond,sawa anayosema mzee abdul

sawa yote yanayosemwa na kila mtu,swali langu lipo pale pale

yote haya ni yanini? ili iweje? nani ameyafukua? kwa faida ipi?

ok fine diamond sio mtoto wa mzee abdul So what eheee nini kifatacho?

ok sawa mama diamond alichanganya madesa,tushajua so what? inatusaidia nini?

kuna vitu vinafanyika unaangalia unatafuta mtu mzima ktk haya masakata unawakuta

wapo watu wazima kibao ila wote hawaoni kuwa wanachofanya ni ujuha,kila mtu anataka aonyeshe ubora wa kumbukumbu zake

sawa ila concept nzima ya huu uduvi sijaielewa na mwisho wa haya yote ni Aibu,yes ni aibu inakuja wala haipo mbali.
Aibu kwa huyo mama ovyo kabisa ambae hajielewi
 
Huyu mzee alivyokuwa anafanyiwa intvw mara kwa mara alidai hasaidiwi,leo amehojiwa na Simulizi na Sauti anadai huwa akiwa na shida Diamond anamtumia hela laki 2,laki tatu siku nyingine mpaka milioni ,sasa najiuliza kwa nini alikuwa anaongea uongo kwenye vyombo vya habari?

Pili mama Dangote kamwita mzee Abdul baba mlezi,hapo hapo anasema Diamond si mtoto wa mzee Abdul ...............full contradictions yaani kama pipa na mfuniko still kuna kipande hapa hakija kamilika.

Huyu sasa hivi yeye atulie ajue atailea vipi familia yake na watoto wake wa uzeeni basi,aachane na hizi vyombo vya habari kwani vina mchoresha sana.
 
Fedheha sana kwa mzee Abdul. Ila kama wamemkana wakati ni baba kwrli basi ajue matokeo ya talaana hiyo itamtafuna Diamond hadi kizazi chake cha nne.
 
Mnahamishwa tu na ile interview ya esma
Muanze kujadili hili sasa

Ova

Tujuane sasa ; kwahiyo Daimond ni Mchaga wa wapi ? Tuanze kumfanyia matambiko ya kichaga. Nillan na Tifa Wote waje Uchagani wapatambue kwao na asili yako.

Hii move ni tamu kutumia Jina la baba mlezi mbona ni kawaida sana. Mtoto ni Mali ya Serikali, Mtoto ni wa Mama na Serikal tu Mwanaume ni mlezi na muangalizi tu.

Hata Yesu hana Baba, Joseph alikuwa ni mlezi na muangalizi tu .

Diamond arudi kwao Uchagani apajue na ajue ndugu zake.

Mdomo ukizidi ni shida ; Mzee Abdul alipewa heshima sana lakini hakuweza kukituliza.

Daimond ukisikiliza nyimbo yake na Flavor ya Nana utasikia akipataja kwao na kilevya chao cha Asili. Tatizo wabongo hamjui kusoma Alama. The guy was trying to expose his Masonic truth. Diamond haimbi kitu isipokuwa anatoa ujumbe.

Ukisikiliza Kwangaru, anapataja kwao upande wa Mama yake. Diamond knew this since day one [emoji3516], kuwa yeye ni wa KILIMANJARO!

Mzee Abdul imeisha hiyo ; Muha ni Muha tu . Shaka yangu huyu mzee asije kufa kwa stress. Na siku nyingine atambue waandishi wa Habari ni mashetani, hawakuachi mpaka wakuingize shimo.
 
Tujuane sasa ; kwahiyo Daimond ni Mchaga wa wapi ? Tuanze kumfanyia matambiko ya kichaga. Nillan na Tifa Wote waje Uchagani wapatambue kwao na asili yako.

Hii move ni tamu kutumia Jina la baba mlezi mbona ni kawaida sana. Mtoto ni Mali ya Serikali, Mtoto ni wa Mama na Serikal tu Mwanaume ni mlezi na muangalizi tu.

Hata Yesu hana Baba, Joseph alikuwa ni mlezi na muangalizi tu .

Diamond arudi kwao Uchagani apajue na ajue ndugu zake.

Mdomo ukizidi ni shida ; Mzee Abdul alipewa heshima sana lakini hakuweza kukituliza.

Daimond ukisikiliza nyimbo yake na Flavor ya Nana utasikia akipataja kwao na kilevya chao cha Asili. Tatizo wabongo hamjui kusoma Alama. The guy was trying to expose his Masonic truth. Diamond haimbi kitu isipokuwa anatoa ujumbe.

Ukisikiliza Kwangaru, anapataja kwao upande wa Mama yake. Diamond knew this since day one [emoji3516], kuwa yeye ni wa KILIMANJARO!

Mzee Abdul imeisha hiyo ; Muha ni Muha tu . Shaka yangu huyu mzee asije kufa kwa stress. Na siku nyingine atambue waandishi wa Habari ni mashetani, hawakuachi mpaka wakuingize shimo.
Wewe jamaa ni falaa kweli

Shida yako unataka kuprove kuwa mond ni wa Kilimanjaro
 
Back
Top Bottom