Quavohucho
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 798
- 2,028
Hayo maneno y uyo momo ni kwaajiri ya kuzima skendo aliyolopoka esma kwamb demu was momo kagongwaMi nachompenda diamond ni very smart.. watu wangejua mambo yote yanapangwa haya kuteka instagram na kuingiza pesa youtube..
Harusi ya esma na msizwa ni planned, haya maneno ya rikado momo nina uhakika ni planned... yaani wanapiga hela kiurahisi sana zama hizi za social network
Duh hatari.Leo mama diamond almaarufu kama Mma dangote, amekiri kua Mzee Abdul anaejulikana kua ni baba mzazi wa Diamond, sio baba mzazi wa diamond na kukazia kua baba wa diamond alishakufa mda tokea akiwa na mimba ya diamond.
Akiendele na mazungumzo yake alidai kua Mzee abdul aliikataa mimba ya na kukataa kumlea diamond alipozaliwa.
NAYAONA HAYA:
*MZEE HUYU ABDUL ATAKATA TAMAA YA MAISHA KWANI TEGEMEO LAKE ILIKUA NI SIKU MOJA DIAMOND ARUDISHE MOYO NYUMA AMSAIDIE
*NAONA KABISA MZEE HUYU KUJIINGIZA KWENYE VILEVI KUPINDUKIA KWA SABABU YA STRESS
*YOYO KWA YOTE NAONA KABISA TUNAMPOTEZA HUYU MZEE, HIZI HABARI SIO NJEMA KWAKE.
TUSUBIRI TUONE
View attachment 1678070
Astaghfilulah..Basi inaonekana bi sandra "kakitembeza" sana enzi za ujana wake....hii familia bana mama malaya, baba malaya, watoto malaya
Wee bwana masingke maza wanajua kugegedana...mie mpaka leo mwanamke ambaye niligegedana nae nikafurahi ni single maza....wanajitumansana kwanbed hawa.Mapenzi hayana mwenyewe zaidi ya sisi majoka makubwa.
Leo nilikuwa namsikia Mama Diamond akijibu maswali kwa njia ya simu kwenye Misago Tv. Amesema kuwa Diamond sio mtoto wa Mzee Abdul ambaye wengi tunafahamu kuwa yeye ndiye Baba mzazi wa Diamond. Mama Tiffa kaeleza kuwa Mzee Abdul ni Baba mlezi tuu.
Niliwahi kuandika humu kuwa unapooa single mother usifikirie papuchi kila usiku bali fikiria miaka ya mbele hasa ukiwa mzee. Nina mifano ya watu wengi waliotokomezwa na wake zao waliowakuta na watoto.
Rejea uzi wangu huu
Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra...
Bikra ni alama ya uaminifu na baraka kwa kizazi chako Habarini Wakuu. Naweza kuwa tofauti na wengi, Naweza nisiungwe mkono na wengi hasa wale waliooa na walioolewa. Lakini ninachojaribu kueleza hapa ni suala lenye manufaa kwa familia, jamii, taifa na dunia kwa ujumla. ni suala litakalo iweka...www.jamiiforums.com
Kama hujausoma
Jokajeusi
Wanatengeneza drama wapate airtime kwenye radio yao...alisikikaa shabiki mmoja akisema
Ulichokisema ni kweli
Sema ukweli? πππWee bwana masingke maza wanajua kugegedana...mie mpaka leo mwanamke ambaye niligegedana nae nikafurahi ni single maza....wanajitumansana kwanbed hawa.
Wee bwana masingke maza wanajua kugegedana...mie mpaka leo mwanamke ambaye niligegedana nae nikafurahi ni single maza....wanajitumansana kwanbed hawa.
ππππInaitwa Kick mzee Baba
Nimesikia, yaani mpaka sasa bado sijaelewa kwamba mzee abduli alimkuta na mimba au yule mama alimsingizia mimba au sababu za kutokumtunza ndio zimesababisha asiwe baba?
Mzee hii january ....Nimesikia, yaani mpaka sasa bado sijaelewa kwamba mzee abduli alimkuta na mimba au yule mama alimsingizia mimba au sababu za kutokumtunza ndio zimesababisha asiwe baba?
Hata kama ni Kiki ni upuuzi sasa Nasib Abdul mbona amechukua jina la MZee Abdul?
kile kisa nacho kilikua hatari, hawa wanawake ndio wanatufanya tufe mapema sanaNikiwaambia muoe wanawake bikra mnaniona hamnazo, embu angalie kile kisa cha Muna Love yaani pale Daah!