Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Mi nachompenda diamond ni very smart.. watu wangejua mambo yote yanapangwa haya kuteka instagram na kuingiza pesa youtube..

Harusi ya esma na msizwa ni planned, haya maneno ya rikado momo nina uhakika ni planned... yaani wanapiga hela kiurahisi sana zama hizi za social network
Hayo maneno y uyo momo ni kwaajiri ya kuzima skendo aliyolopoka esma kwamb demu was momo kagongwa
 
Leo mama diamond almaarufu kama Mma dangote, amekiri kua Mzee Abdul anaejulikana kua ni baba mzazi wa Diamond, sio baba mzazi wa diamond na kukazia kua baba wa diamond alishakufa mda tokea akiwa na mimba ya diamond.

Akiendele na mazungumzo yake alidai kua Mzee abdul aliikataa mimba ya na kukataa kumlea diamond alipozaliwa.

NAYAONA HAYA:

*MZEE HUYU ABDUL ATAKATA TAMAA YA MAISHA KWANI TEGEMEO LAKE ILIKUA NI SIKU MOJA DIAMOND ARUDISHE MOYO NYUMA AMSAIDIE

*NAONA KABISA MZEE HUYU KUJIINGIZA KWENYE VILEVI KUPINDUKIA KWA SABABU YA STRESS

*YOYO KWA YOTE NAONA KABISA TUNAMPOTEZA HUYU MZEE, HIZI HABARI SIO NJEMA KWAKE.

TUSUBIRI TUONE



View attachment 1678070
Duh hatari.

Japo Hayatuhusu lakini mzee mondi angeenda kupima DNA na baba yake.

Au angemsaidia tu kama mume wa zamani wa mama yake.

Kama anasaidia maskini asiowajua basi nadhani ni jambo linawezekana akamsaidia anayemjua(ex wa mamake)
 
Mapenzi hayana mwenyewe zaidi ya sisi majoka makubwa.

Leo nilikuwa namsikia Mama Diamond akijibu maswali kwa njia ya simu kwenye Misago Tv. Amesema kuwa Diamond sio mtoto wa Mzee Abdul ambaye wengi tunafahamu kuwa yeye ndiye Baba mzazi wa Diamond. Mama Tiffa kaeleza kuwa Mzee Abdul ni Baba mlezi tuu.

Niliwahi kuandika humu kuwa unapooa single mother usifikirie papuchi kila usiku bali fikiria miaka ya mbele hasa ukiwa mzee. Nina mifano ya watu wengi waliotokomezwa na wake zao waliowakuta na watoto.

Rejea uzi wangu huu

Kama hujausoma

Pia rejea kisa ch Muna love na Casto Dickson

Nikiwaambia watu waoe wanawake bikra bado naonekana mjinga, mwanamke sio kiumbe wakuonewa huruma hasa akiwa hastahili huruma hiyo

Jokajeusi
 
Mapenzi hayana mwenyewe zaidi ya sisi majoka makubwa.

Leo nilikuwa namsikia Mama Diamond akijibu maswali kwa njia ya simu kwenye Misago Tv. Amesema kuwa Diamond sio mtoto wa Mzee Abdul ambaye wengi tunafahamu kuwa yeye ndiye Baba mzazi wa Diamond. Mama Tiffa kaeleza kuwa Mzee Abdul ni Baba mlezi tuu.

Niliwahi kuandika humu kuwa unapooa single mother usifikirie papuchi kila usiku bali fikiria miaka ya mbele hasa ukiwa mzee. Nina mifano ya watu wengi waliotokomezwa na wake zao waliowakuta na watoto.

Rejea uzi wangu huu

Kama hujausoma

Jokajeusi
Wee bwana masingke maza wanajua kugegedana...mie mpaka leo mwanamke ambaye niligegedana nae nikafurahi ni single maza....wanajitumansana kwanbed hawa.
 
Wee bwana masingke maza wanajua kugegedana...mie mpaka leo mwanamke ambaye niligegedana nae nikafurahi ni single maza....wanajitumansana kwanbed hawa.
Sema ukweli? 😂😂😂
 
Back
Top Bottom