Ivi kinachogombaniwa ni mtoto ama mali za mtoto..
Kina mangi mpokeeni mangi mwenzenu kwa mikono miwili
Nyange pia ni maarufu kule Kigoma na Tabora.
Nyange for nyangema
Asijejikuta Baba yake ni Atupizie mwakondomuNa wewe fanya udadisi wa baba yako original
Verified kwa mere statement ya mama anayetaka kumkomoa mzazi mwenzake!! Waende kwa wakemia walete DNA kama Mondi na huyo Ricardo ni half brothers.
Nyange huyu ni watu wa Morogoro( Warugulu) ndio maana Kwenye account yake ya Instagram Mheshimiwa Babu tale amemkaribisha Morogoro.
Vibweka tu vya huyo mama jamaa afananii na akina mangi huyu ni mkigoma typically
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulishawahi kuona mapera yanagombaniwa!!?
Mbona mimi ni mchaga lakini ukoo wa Nyange sijawahi kuusikia huko uchagani?
Au ni ukoo tulioununua kipindi hiki cha karibuni?
Kigoma na tabora ni Nyangi
Diamond atagawanwa mpaka akome, πππ
Ndiyo maana wengi huwa hawahoji uhalali wa mtoto wenyewe kitanda hakizai haramu [emoji3][emoji3]Kwa hiyo mangii aliacha mke kijijimoshi akawa na kipoozeo mjini
Ila wacchagga hiyo tabia ya kuacha wake Kijijini Bora imeisha, mliwapa wake zenu wakati mgumu sana
Sasa Nyange aliyempa mimba mama Diamond ni Nyange wa Miamba-miamba huko Upareni na alikuwa mganga wa kienyeji anamtibu huyo mama huko milimani.Sio kweli hata walugulu morogoro wapo wengi kina nyange mfano huyo dayna(halima) nyange
Mkono mtupu haulambwi, akifariki fukara hali huwa shwari sasa tajiri weeeee anaweza pekuliwa hata maitiWakina Queen darlin wao awagombaniwi kwann?
Toto jinga lisilo na msimamo, yeye mwenyewe hovyo, anashindwaje kuamua jambo hilo mwenyewe tu??
Sasa Nyange aliyempa mimba mama Diamond ni Nyange wa Miamba-miamba huko Upareni na alikuwa mganga wa kienyeji anamtibu huyo mama huko milimani.