miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Haya "YES:Nimegeuza upande mwengine na shilingi,sikuchoshi nimekuuliza Mondi kama angekuwa muuza mitumba kazi yake ya zamani angemg'ang'ania.
Uhustler ni uchapakazi wa mtu husika, hauusiani na ukabila. Kuna wakaskazini wajinga wajinga tu wamejaa huku Tanganyika na kule visiwani. Achilia mbali vibaka kule Arusha.Nyange sio MCHAGA wala MPARE bali
MGWENO!
Wagweno ni intermidiate ya wapare na Wachaga yani ni mchanganyiko wa Wapare na Wachaga likazaliwa kabila liitwalo Ugweno linalopatikana Milima ya Ugweno wilaya ya Mwanga mkoa wa Kilimanjaro!
Tabia za Wagweno zinafanana na Wachaga zaidi kuliko Wapare.
Mila za Kigweno ni mchanganyiko wa Za kipare na za Kichaga kama vile
1, Kuweka vichwa vya wakuu ktk misitu ya familia
2, Kucheza ngoma kama za kipare Mjungu nk
3, Kilimo cha migomba na ufugaji wa ndani
Lugha ya kigweno kwa 90% inafanana na Kimachame na 10% kipare.
Wagweno ni Huslers kama walivyo wachaga na wameenea nchi nzima.
Diamond ni hustler sana hii ni picha tosha yakuwa anatoka kaskazini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwa nini hakumng'ang'ania kipindi hiko anambeza mitumba mpaka kufikia kuuza siso manake huko kote alipitia na mama yake,why now..........?Haya "YES:
Kuna lingine? Kwani wauza mitumba hawana hela? Watu wamejenga na kujiendeleza kwa mitumba hiyohiyo. Ama unaichukulia poa? Nikutakie usiku mwema
Watu wana moyo mgumu mm siweziNa mie nashangaa Mondi yuko kimya tyuuh, wala hatoi tamko lolote kuhusiana na hili suala. Maskini mzee Abdul sijui anajisikiaje yaan.
Huyu anayeimba matusi matusi hadharani? hatumtaki hata kwa bure!!Kina mangi mpokeeni mangi mwenzenu kwa mikono miwili
Nimejifunza kwenye hili kwenye kupata kipato unatakiwa uwe msiri Sana, Kuna mzee kakataa mtoto asioe Ili amununulie usafiri wa kutembelea.Wakina Queen darlin wao awagombaniwi kwann?
Ndio maana nimeandika hapo inapokuwa kinyume chake ni changamoto, hakuna atakayehangaika na apeche alolo.Vip Diamond angekuwa muuza mitumba huyu mzee angemtafuta na kumng'ang'ania kama afanyavyo sasa.
👍Ndio maana nimeandika hapo inapokuwa kinyume chake ni changamoto, hakuna atakayehangaika na apeche alolo.
Noted Mkuu,Noo mkuuu... sasa hapa wataka nijisikie vibaya sasa. Usiwe hv banaaa. Kutaka nikubaliane nawe is not an option maana ndo mtazamo ulikua nao. Nami nikatataka ujue uhalisia. Mfanyabiashara yeyote hatopenda kabisa masikhara kwenye biashara zake. Na mpaka wao kufika walipofika ni kwakua waliamua kusimamia misingi na kanuni zao walizojiwekea. Ukiwa laini katika biashara hutoboi.
Ushauri umezingatiwaUsioe isiyo na bikra utakuja kunishukuru
Sasa mbona pm yako haifunguki[emoji23][emoji23]Noted Mkuu,
"Uhalisia ni kutokuwa laini katika biashara ili utoboe."
Ahsante kwa ushauri.
Check In again Mkuu.Sasa mbona pm yako haifunguki[emoji23][emoji23]
Namtombe baabaaWakuu kumekucha.
Mama Diamond amepindua meza kibabe na rasmi sasa Diamond ni Mchaga au Mpare kutokana na jina la ukoo wake.
Nyange (jina hili lipo zaidi kwa Wachagga lakini linatumika hata kwa Wapare. Kwa Wachagga ni ukoo ambapo kwa Wapare ni jina tu la kawaida),
Haya sasa wachagga na wapare mkuje huku
Jokajeusi
Nyange sio MCHAGA wala MPARE bali
MGWENO!
Wagweno ni intermidiate ya wapare na Wachaga yani ni mchanganyiko wa Wapare na Wachaga likazaliwa kabila liitwalo Ugweno linalopatikana Milima ya Ugweno wilaya ya Mwanga mkoa wa Kilimanjaro!
Tabia za Wagweno zinafanana na Wachaga zaidi kuliko Wapare.
Mila za Kigweno ni mchanganyiko wa Za kipare na za Kichaga kama vile
1, Kuweka vichwa vya wakuu ktk misitu ya familia
2, Kucheza ngoma kama za kipare Mjungu nk
3, Kilimo cha migomba na ufugaji wa ndani
Lugha ya kigweno kwa 90% inafanana na Kimachame na 10% kipare.
Wagweno ni Huslers kama walivyo wachaga na wameenea nchi nzima.
Diamond ni hustler sana hii ni picha tosha yakuwa anatoka kaskazini.
Sent using Jamii Forums mobile
Mzazi halali wa Daimond ni Abdul. Kinachofanyika ni Visasi. Na kama wanadhani game imeisha, wanajidanganya, game ndio mbichi kabisa.
Hata Daimond anajua wazi mzazi wake ni nani. Mzee salimu Nyange ambaye sio mchaga wala mpare wala hana kinasaba chochote cha kaskazini ni masikini mmoja ambae asili yake ni Mpogolo aliyechanganya na walugulu. Maskini huyu alikufa mwaka 2004.
Muulize Momo kama anandugu yoyote huko upareni au moshi. Au kama alishawahi hata kufika Moshi Hata siku moja. Ni mpogolo safi wa Mbagala na wala hana undugu wowote na Daimond. Kwani Momo si nae ananjaa tu , unadhani Dai angekuwa muuza mitumba huyo MoMo wala usingemjua.
Kwa hadhi ya Dai sasa kila mtu atakuwa ndugu. Na ukoo wa Dai ni masikini sana ndio maana hizi fujo zote. Huyo Bi Sandra anatiana na kina Ommy Dimpose , na kwa taarifa tu watu wataachia picha zake za ngono zaidi ya ile ya Gwajima. Mama alishalaaniwa way back. Ila watoto wa mjini wanadai Mama mnato, Mtamu hatari , yaani ukikaa nae ndani lazima upige , wanasema anazeeka sura tu, huko chini ni very young . Hakika hii dunia sote tutaenda motoni lol [emoji38]
Mnasema Momo anafanana sauti na dai, ndio nini sasa, hata Konde Boy anafanana sauti na dai snaa tu. Study zenu ni za kipumbavu na Stipulation zisizo na kichwa wala miguu.
Yaani mnajiuliza wenyewe kisha mnajijibu wenyewe ... Halafu mnaweka hapa kama ndio FACTS. Sawa na yule Mtu anafanya madhambi kisha anaamka usiku kujiongelesha mwenyewe kwa maneno ya kuomba msamaha, Halafu Asubuhi anatuambia mungu kamsamehe .
Ujiongeleshe mwenyewe then useme mungu kakusamehe ... Ni Uchizi kwa kuwa umejijibu mwenyewe. Hakuna mahali Mungu atakujibu kuwa you are forgiven, never.
So acheni Fantasy na mlichukulie hili kama ni visasi vyao na upuuzi wao.
Always Abdul atabaki kuwa Baba halali wa Dai hata wakimkataa, hiyo imeshaandikwa and Daimond can not change that truth hata kama akitaka kubadili ukweli, HAWATOWEZA.
Diamond will always remain and known as Naseeb Abdul Juma! No Matter What!
Na huyu ndio Baba Halali wa Daimond alietia mbegu Kwenye uke wa Sandra!
Ugomvi wa Abdul na Sandra, haumuhusu Daimond kama ilivyo ugomvi wa Zari na Daimond haumuhusu Nillan.
Kwa Daimond Sandra ni mama , kwa Abdul Sandra ni Mke au dem , so maugomvi ya mahusiano hayaepukiki, hasa mtoto mmoja anapopewa neema.
Wazazi watagombana, ndugu watagombana.
Dai akifa leo Momo atajifanya anamjua Dai, Zari anatasema huyu ni mume wangu , Sandra atasema huyu ni my son, Abdul atasema this is my son.
So guys take a break
Malaya tu yuleYule bibi kimeo
Huyu Mama Shamte inabidi awe anafunga BAKULI lake,utumbo anaoongea hauna tija kabisa zaidi ya kuharibu mambo,Mzee Abdul kashasema abadili jina asitumie jina lake.Bila shaka kwenye mikataba pia ametumia jina hilo. Mzee kama akikomaa alifute kisheria sijui athari yake itakuwa ya namna gani!
Acha maneno mkuu, huyu baba mdogo wa diamond ni mluguru.... mondi angekua mchaga tungejua tuHakuna ushahidi wa kihistoria mkuu unaoonyesha kuwa Ukoo wa Nyange upo upogoroni au kabila lingine isipokuwa kwa Wachagga na kidogo kwa wapare, tena wapare ni kutokana na kuwa kuna Nyange mmoja alikimbizwa uchagani akatokea maeneo ya Mamba huko upareni.
Hiyo ni historia unaweza ingia hata mtandaoni kutafuta.
Majina ya kipare yanayoanzia na Herufi N, ukoo wa Nyange nimeukoleza kwa wino mzito
Nachai, Ndago, Ngasu, Ngomoi (Same), Ngomuo (Ugweno), Nguve, Ngwijo, Niarira, Nisaghurwe, Nkima, Ntarishwa, Ntekaniwa, Nyange (Jina hili lipo zaidi kwa Wachagga lakini linatumika hata kwa wapare. Kwa Wachagga ni ukoo ambapo kwa Wapare ni jina tu la kawaida), Nzao, Nziajose, Nziamwe,