Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

sasa unataka nitoe link gani wakati kinanyange wapo, waluguru wa mgeta,
 
Mimi nachojua ni kuwa Diamond alizaliwa baada ya condom kupasuka.
 
Week hii tumemaliza KWA dramas kibao kutoka KWA dangotes fmly [emoji3][emoji851]. Mama Dangote amesema mzee Abduly sio baba halisi wa mtoto Nyange. Huku na huku nikifatilia kupitia zamarad tv, mzee Abduly alikiri kwamba alikuwa anaishi nyumbani kwao kina mama Dangote, na aliolewa familia nzima ya mtoto Nyange, kuanzia bibi yake, mama zake wakubwa binamu zake, loool kumbe bi Samura tunamshangaa bure alivyo na uncle Shamte pale madale, tabia hii hajaanza leo[emoji857][emoji857][emoji857]

NB: kwa wanaomfahamu KWA ukaribu mzee Abduly hebu wamfundishe hiki kilichotokea kinaweza kugeuka kuwa mapato makubwa sana kwake, KILA combo Cha habari kikimfata aaliowe kwanza, ajue KWA Sasa yeye ni 'hot cake'
 
Hizi habari zina wenyewe mm ntaishia kuumiza mishipa ya kichwa bure.
 
Damu ya kichaga haipotei bure atarudi tu kufuata kitovu cha mzaa baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…