Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa! Mungu anaendelea kuwarejesha wana wake wa Israel/Wachaga waliotawanyika sehemu mbalimbali duniani [emoji4][emoji4]
Nyange Kaburu wa Mapaka SC?Wakuu wa Nchi waingiliaje?
Wamchape Nyange bakora au?
Bi Sandra enzi zake alikuwa maharage ya Mbeya, Maji kisoda mkaa ukurasa wa gazetiSauti na muonekano wa Diamond vinafanana kabisa na mzee Abdul.
Ningekuwa mimi ndo Diamond ningeenda kujipima DNA nijue ukweli nasimamia wapi, nisingemsikiliza bi Sandra maana anaobekana alikuwa kicheche
It's sad kweli. Ila na yeye kiazi tu kazidi kua mamas boy ndio maana mama yake anampelekesha jinsi anayotaka. If he was smart angetoa tamko tu "Namjua baba yangu ni Mzee Abdul tu hao wengine siwafahamu" simple as that na angekua hero of this saga.Ninamuonea huruma Diamond, hii issue itakua inamsumbuawkisaikolojia. Fikiria Star mkubwa kama yule tunaambiwa alipatikana baada ya mpira kupasuka. Fikiria watu wa level yake duniani watakua wameipokea vipi hii taarifa.
Sky Eclat huyu mzee Abdul ni wa hovyo sana. Angekua baba mwenye upendo kwa damu yake asingeongea haya maujinga yake.Ninamuonea huruma Diamond, hii issue itakua inamsumbuawkisaikolojia. Fikiria Star mkubwa kama yule tunaambiwa alipatikana baada ya mpira kupasuka. Fikiria watu wa level yake duniani watakua wameipokea vipi hii taarifa.
Wakuu wa nchi wana majukumu makubwa kitaifa.Kwa kweli imenisikitisha msanii ambae amekuwa mstari wa mbele katika kukuza wasanii na kulitangaza jina, leo hii amefunikwa na kadhia chafu sana, inayomuweka katika kundi la watoto chokoraa, na zaidi kama wanatafuta kiki basi mpira umepasuka.
Kwanini wakuu wa nchi hawaingilii kati na kulizima? Sasa ni aibu ilioje mitandaoni ni aibu kwa Watanzania na siasa zetu za mwendo kasi, utamaduni gani huu?
Sky Eclat huyu mzee Abdul ni wa hovyo sana. Angekua baba mwenye upendo kwa damu yake asingeongea haya maujinga yake....
Kwanini😥😥😥😥😥We mama leo umekula maharagwe ya wapi?