Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Hahahaha hii ingekuwa ni kweli hii familia ingelisema toka mwanzo.
Ukimuangalia Mzee Nasibu alivyo fanana na Diamond na Tifa........ kuamini kuwa huyu mzee sio mzazi wa Diamond ni ngumu sana....
Mimi naona hapa shida ni matunzo ya huyu baba ndio yameleta maneno na njia pekee ya kumzima huyu mzee ni kumkana kabisa hahahaha.
Sitokuja kushangaa kuja kusikia kuwa Tiffa au Nilan sio mtoto wa Diamond kwakuwa karma ndio ilivyo.....
Aiseeee ni vituko tuuu maana huyu mzee asingelikuwa anadai matunzo asingelidhalilishwa kabisa......................
 
Huyu Mzee Aliikosea Nin Hii Familia[emoji849]
Kwanini anang'ang'aniza asipotakiwa??

Watu hawakutaki yeye anajikomba. Halafu ni mwanaume miaka 50+ nadhani. Mbona aliishi bila wao miaka yote hiyo kwann asipambane aendelee na maisha yake halafu Amuachie Mungu tu. Na tena uzuri wenyewe ana watoto wengine wanaomkubali kwanini anamfanya Abdul kuwa spesho?? Hicho kinachomfanya amuone spesho Abdul ndo hicho wanakitumia na wao kumrudi. Aachane nao tu
 
Shangaa hadi ule mbonyeo wa mashavu jamani..!!
Wametafuta njia ya kumtoa mzee kwenye familia wameipata. Ili wasiulizwe tena kuhusu mzee Abdul. Eti baba ake Diamond alikufa mama Diamond akiwa na mimba ya Diamond kwahiyo jiulize sasa mzee Abdul alikutana na huyu mama lini, je wakati huyo baba ake Ricardo momo anakufa alikua na mahusiano na mama Naseeb au walishaachana. Sema mama Naseeb aseme tu hajui kama mzee Abdul au mzee Nyange ndio baba halisi wa Diamond maana alikua anakitembeza mpaka kwa wahindi koko (baba yake Esma). Maana hata Esma hamjui baba yake amebaki kujiita Esma Dangote.
 
Wanasema.baba tafuta hel.tuu maan ukiondoka nyuma mam anabak anapandikiz roho mbay kwa mtot kuwa baba ako alininyanyas Sana na baada ya mtoto kukua anakua na kisilani na baba Koo kiukwel hao wanaongea wako sahihi kabisa mama yao ndoo chanzo nini kifanyike mama diamond avunje ukimya asem ninan mhusika
 
Picha ya uyo nyange please
 
Hii nakazia kabisa
 
Mnahamishwa tu na ile interview ya esma
Muanze kujadili hili sasa

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…