Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaz kweli kweliHii Familia ina matatizo makubwa,. Wanapenda sana kuongelewa mitandaoni,.
Kwanini anang'ang'aniza asipotakiwa??Huyu Mzee Aliikosea Nin Hii Familia[emoji849]
Wametafuta njia ya kumtoa mzee kwenye familia wameipata. Ili wasiulizwe tena kuhusu mzee Abdul. Eti baba ake Diamond alikufa mama Diamond akiwa na mimba ya Diamond kwahiyo jiulize sasa mzee Abdul alikutana na huyu mama lini, je wakati huyo baba ake Ricardo momo anakufa alikua na mahusiano na mama Naseeb au walishaachana. Sema mama Naseeb aseme tu hajui kama mzee Abdul au mzee Nyange ndio baba halisi wa Diamond maana alikua anakitembeza mpaka kwa wahindi koko (baba yake Esma). Maana hata Esma hamjui baba yake amebaki kujiita Esma Dangote.Shangaa hadi ule mbonyeo wa mashavu jamani..!!
Ukoo wa kambaleee....baba sharubu,mama sharubu....mtoto sharubuBasi inaonekana bi sandra "kakitembeza" sana enzi za ujana wake....hii familia bana mama malaya, baba malaya, watoto malaya
Hata kama ni Kiki ni upuuzi sasa Nasib Abdul mbona amechukua jina la MZee Abdul?
Mbona kama Diamond kanyoa
Dah hii move balaaPicha hiyo nimeipata kwenye group la WhatsApp,hapa kati kati kuna story ambayo Bi Sandra ndiye anayeweza kuikamilisha.
Picha ya uyo nyange pleaseHabar wanajf,
Aliyesema kuwa wanawake na mama zetu tusiwaamini hakukosea leo kwani huenda wazazi wetu wa kiume walio tulea sio baba zetu.
Leo Rikardo Momo amesema kuwa mzee Abdul sio baba yake Diamond na kusema kuwa yeye na Diamond wanachangia baba na baba yao anaitwa Mzee Salim Nyange.
Haya yote yanaweza kuwa sawa lakini kwanini Diamond anaitwa Naseeb Abdul na siyo Salim Naseeb Nyange? Hivi inawezekana baba mlezi kupewa hadhi ya ubin wa mtoto au ndio mama Diamond anataka amalize mchezo?
Na kama ni kweli Mzee Abdul sio baba yake Diamond huenda mama Diamond alikataliwa hii mimba na mzee Salim Nyange akaamua kumtupia zigo mzee Abdul na bila shaka mzee alikubali kiroho safi ila huenda alikuwa anaambiwa mengi na ndugu pamoja na rafiki.
Apa hii story sioni kama ina utofauti na story iliyopo kwenye mziki wa Stamina na Profesa Jay maana namuona Diamond anamlaumu Mzee Abdul kwa kutokumlea ilihali Mzee Abdul alijua Diamond siyo mwanae na bado akaendelea kuwa baba kwa uwezo wake.
Ila sijaamini kama Mzee Abdul sio baba yake mzazi Diamond sababu sio rahisi mtoto alelewe na baba wa kambo mpaka abadilishe jina la ubin wake pia na kuwapa mpaka watoto zake jina la babu yao feki walitumia kama babu yao.
Hizi ni faulo zinataka kuchezeka hapa Mama Diamond anataka kumaliza mechi.
Msizwa ni naniUy momo kasemea wapi
Maana Jan tu mdogo ake Mond esma kasema Mke wa momo kagongwa na msizwa
Family nyingin n za ovyo Sana,
Eti ndio uyo [emoji1787][emoji1787] watu Wana roho mbaya Yan wamemtafuta mpaka baba fake anae fanana na Mond picha io kwalit yake sio ya chin ya mwaka 2000Picha ya uyo nyange please
Hii nakazia kabisaSasa sisi walimwengu tunaona picha utoto za Diamond akiwa na Mzee Abdul.
Huyo Naseeb Nyange yeye picha ziko wapi ??
Unajua nchi hii sasa hivi maisha yamekuwa magumu sana na kumekuwa na tatizo kubwa sana la ajira. Hali hiyo imejenga hali ya Kuabudiana sana.
Mtu akiwa na pesa kidogo au madaraka anaabudiwa kama mungu. Mpaka umetokea msamiati mpya wa chawa.
Yaani mtu akiwa na visenti au madaraka HAKOSEI.
Ukimkosoa chawa wake wanakushambulia hatari.
This is too much.
Haya mambo ya familia sometimes hutakiwi kuyaingilia,picha nyingine hiyo.Dah hii move balaa