Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Maneno machache tu.
Si kwa ubaya Mwenyezi Mungu kama ikimpendeza amchukue mja wake huyo Mzee Abdul ni imani yangu kivuli chake kitasalia na tutajionea mengi zaidi. Huwezi mdhalilisha mzee wa watu kiasi hiko kisa Mali za mtoto. Kwann usiseme mwanzoni huko kuwa yule sio baba mzazi wa Daimond? Inshallah mm niko upande wa mzee Abdul namuombea kwa M/mungu tabu zote alizopata kuilea mimba ya huyo Diamond pamoja na kumlea pindi alipozaliwa lkn leo anatukanwa licha ya changamoto za kulea kama tujuavyo wazazi wengi. Mwanaume kukubali kulea mimba isiyo yake hiyo ingetosha kabisa kumpatia haki zote za kuwa baba pamoja na msaada muhimu. YES MUNGU MUWEZA NA MUUMBA WA MBINGU NA ARDHI ATAONESHA MFANO KWA DHARAU ZA NAMNA HII AMIN.
Acha uchuro mkuu, mzee bado ana nguvu anatakiwa aenjoy maisha pamoja na changamoto zote hizi
 
We vipi?
Dawa gani ituingie?
Huo umalaya , kutapatapa, utapeli na wizi. Mi ningedai fidia ambayo wangelipa mama na hiyo haramu yake mpaka iwe historia kwa watu wa aina hii.

Wakipima DNA utakuta hata aliyetajwa sie?

Wamama wadangaji na kumbukumbu hawana. Aibu!!

Mimba za uwanja wa fisi...umelewa bwii ..matap tap
 
Huyo Mzee nilichoka pale aliposema walikua wanavaa condom nikajua hamna kitu. Niwazi mtoto sio wake. Jengine sioni sababu ya mtoto kumgombania sana wakati hakua ameoa. Kuna wakati nahisi km huyu Mzee alitumika na maadui wa Diamond kwa muda mrefu ukifuatilia Queendalin interview aliofanya na Lilyommy inapatikana youtube utaona huyu Mzee alikua na shida kiasi flani
Mie Naona Daimond kamfanyia heshima Sana huyu Mzee .Quine amewahi mchana na ndie mwanae. Wazee wenzie wakikana watoto, huwa wanakausha mtoto alifanikiwa labda mtoto aende mwenyewe lakini vitendo vya huyu Mzee kumsakama mtoto aliemkataa vilikuwa vinatia wasiwasi. Kumbe anataka kuvuna asipopanda.
 
We vipi?
Dawa gani ituingie?
Huo umalaya , kutapatapa, utapeli na wizi. Mi ningedai fidia ambayo wangelipa mama na hiyo haramu yake mpaka iwe historia kwa watu wa aina hii.

Wakipima DNA utakuta hata aliyetajwa sie?

Wamama wadangaji na kumbukumbu hawana. Aibu!!

Mimba za uwanja wa fisi...umelewa bwii ..matap tap

haaaaaaaaa kama dawa haijakuingia mbona ume over react kusema kwamba ungedai fidia???...kwa nini usisepe tuu? hujui ume confirm kuwa mama Dai kawagusa panapouma?
 
Hello JF,

Kama mnavyojua mwanamke akipata mimba ana uhakika mimba ni yake...

ila kwa wanaume mimba hakuna guarantee ya kujua ni yake/ingawa kuna DNA testing siku hizi...

Swala la partenity ni swala linalowanyima usingizi wanaume...

Jambo ambalo lilikuwepo tangu zamani,

Mpaka leo it is believed wanaume wengi kuchepuka ni katika harakati za kutaka maximizing their chances of being a father, sababu kuzaana ndio lengo kuu la kuwepo sisi duniani.

Anyway,

nilichotaka kusema leo,

ingawa wanawake tunapenda ubuyu but watakaoongea sana kwenye hii ishu ya Diamond ni wanaume! lol

Tutegemee nyuzi nyingi za wakaka humu kuhusu hili... 🤣 🤣 🤣

Mama Diamond kagusa pale panapouma...

A reminder of their worst nightmares!

Wanaume wa humu tulieni tu dawa iwaingie🤣🤣

************* Diamond, is either uwaache wote baba zako au uwe nao wote, ukijifanya kuchagua mmoja over the other,the public wont forgive you. Anyway its your life.

Leo nimejiskia tu kuandika chochote....lol
Bi Sandra ameonesha kuwa ni madhubuti. Haogopi kusema chochote. Hata hivyo sioni namna atafaidika na huu mzozo aliouchochea. Siri za kitandani na maungoni kuzileta hadharani ni Sawa na kujipiga risasi ya kichwa!

Jembe mkononi, baadae kapu kichwani.
 
Bi Sandra ameonesha kuwa ni madhubuti. Haogopi kusema chochote. Hata hivyo sioni namna atafaidika na huu mzozo aliouchochea. Siri za kitandani na maungoni kuzileta hadharani ni Sawa na kujipiga risasi ya kichwa!

Jembe mkononi, baadae kapu kichwani.

Ni kweli mkuu,lakini hali ilipofikia ilibidi aongee hakuwa na budi. Tatizo ni umaarufu,hizo ishu za watoto wa nje zipo kila siku huku kwetu..ila kwa sababu hao ni maarufu linaoekana ni kubwa au zito zaidi....ndio hasara ya kuwa maarufu, no privacy at all....
 
Hello JF,

Kama mnavyojua mwanamke akipata mimba ana uhakika mimba ni yake...

ila kwa wanaume mimba hakuna guarantee ya kujua ni yake/ingawa kuna DNA testing siku hizi...

Swala la partenity ni swala linalowanyima usingizi wanaume...

Jambo ambalo lilikuwepo tangu zamani,

Mpaka leo it is believed wanaume wengi kuchepuka ni katika harakati za kutaka maximizing their chances of being a father, sababu kuzaana ndio lengo kuu la kuwepo sisi duniani.

Anyway,

nilichotaka kusema leo,

ingawa wanawake tunapenda ubuyu but watakaoongea sana kwenye hii ishu ya Diamond ni wanaume! lol

Tutegemee nyuzi nyingi za wakaka humu kuhusu hili... [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]

Mama Diamond kagusa pale panapouma...

A reminder of their worst nightmares!

Wanaume wa humu tulieni tu dawa iwaingie[emoji1787][emoji1787]

************* Diamond, is either uwaache wote baba zako au uwe nao wote, ukijifanya kuchagua mmoja over the other,the public wont forgive you. Anyway its your life.

Leo nimejiskia tu kuandika chochote....lol
Mama Diamond anakufuru na ndiyo tabia ya wanawake kudanganya na kuchanganya kwao ni sawa. By the way naona kama anamuaibisha Diamond mwenyewe

Odhis *
 
Hello JF,

Kama mnavyojua mwanamke akipata mimba ana uhakika mimba ni yake...

ila kwa wanaume mimba hakuna guarantee ya kujua ni yake/ingawa kuna DNA testing siku hizi...

Swala la partenity ni swala linalowanyima usingizi wanaume...

Jambo ambalo lilikuwepo tangu zamani,

Mpaka leo it is believed wanaume wengi kuchepuka ni katika harakati za kutaka maximizing their chances of being a father, sababu kuzaana ndio lengo kuu la kuwepo sisi duniani.

Anyway,

nilichotaka kusema leo,

ingawa wanawake tunapenda ubuyu but watakaoongea sana kwenye hii ishu ya Diamond ni wanaume! lol

Tutegemee nyuzi nyingi za wakaka humu kuhusu hili... [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]

Mama Diamond kagusa pale panapouma...

A reminder of their worst nightmares!

Wanaume wa humu tulieni tu dawa iwaingie[emoji1787][emoji1787]

************* Diamond, is either uwaache wote baba zako au uwe nao wote, ukijifanya kuchagua mmoja over the other,the public wont forgive you. Anyway its your life.

Leo nimejiskia tu kuandika chochote....lol
Rebecca nakuja dm tuyapange...

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Hahahahaha dah tumekusikia[emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
 
Sheria ya Mtoto (The Law of the Child Act) inasema kila mtoto ana haki ya kuitwa kwa ubini wa baba ake. Kumnyima mtoto kuitwa kwa ubini wa baba ake ni kumnyima mtoto haki yake ya msingi. Mtoto hawezi kuitwa kwa majina ya mtu mwingine bila huyo mtu kumu-adopt kisheria mtoto huyo.

Na kwa utaratibu ukianza clinic ile kadi ya clinic inaandikwa jina la baba na hata kwenye tangazo la kuzaliwa. Sasa huyu bi maza yeye anaruka kama bisi haeleweki wakati interview za zamani walikua wanasema Dai alikua anaenda kudai hela za ada kwa mzee Abdul ananyimwa ndio chanzo cha yy kumchukia baba yake. Sasa hizo ada kwa nini asingekua anaenda kudai kwa mzee Nyange.
Baba kumnyima Ada mtoto ni kosa pia, sheria haioni hilo bali inaangalia jina tu?

Baba asipo wajibika basi mambo kama haya yakitokea akae kimya tu. Kuitwa baba sio kumwaga shahawa peke yake..ndio maana wamama wanawapa watoto majina ya wababa wengine ambao wamelea mtoto.
Haya mambo yapo complicated sana...kama ni kosa basi mzee Abdul akashtaki...atakayokakuta huko mahakamani yatamrudia mwenyewe kwa kutomtunza mtoto. Sheria hizi mara nyingi zinawa-favor wanawake Kama baba hakuwa mwajibikaji.
 
Baba kumnyima Ada mtoto ni kosa pia, sheria haioni hilo bali inaangalia jina tu?

Baba asipo wajibika basi mambo kama haya yakitokea akae kimya tu. Kuitwa baba sio kumwaga shahawa peke yake..ndio maana wamama wanawapa watoto majina ya wababa wengine ambao wamelea mtoto.
Haya mambo yapo complicated sana...kama ni kosa basi mzee Abdul akashtaki...atakayokakuta huko mahakamani yatamrudia mwenyewe kwa kutomtunza mtoto. Sheria hizi mara nyingi zinawa-favor wanawake Kama baba hakuwa mwajibikaji.
Single mama mliozalishwa na kutelekezwa kwa umalaya mna tabu sana pumbav
 
Wanawake wanautumia uwanawake wao vibya kwa vile jamii imejengeka kuwaonea huruma, wanautimia vibaya. Maadamu uliyasikia ya upande mmoja msikilize huyu Mzee utamjua huyo wa jinsia yako fika. Ingia You Tube itazame.
Screenshot_20210116-134714.png
 
Back
Top Bottom