Mama Irene Uwoya aangua kilio kikali kwa kufiwa na 'mkwe wake kipenzi' Ndikumana

Huyo Dogo janja ana pesa gan ndgu .....unatumia vibaya lugha
 
Oooh kumbe familia iko njema?

Ndo maana namuona Irene na vimradi mradi hapa Sinza?

Mara boutique, mara vipub pub, mara visafari visafari vya kizushi...kumbe mtaji from her momy/ daddy
Wakishua kichizi sema ndo vile don't care!
Ugali mboga saba!hana shida halafu wako wawili tu na mdogo wake
 
wanawake wanafanyiwa mAkubwa tu wanavumilia na nyie wanaume mjifunze kuvumilia.
 
Hii ni kweli inamuuma kwa namna mtoto wake alivyopotea kwa tutoto.
Mfano mie binti niliyetaka kumwoa alinifanyia vituko sn.Nilikata tamaa mama yake alilia sn alipojua kuwa nimejiweka pembeni.
Binti anapiga Simu kila siku, yamemshinda huko kabisa
 
Wakishua kichizi sema ndo vile don't care!
Ugali mboga saba!hana shida halafu wako wawili tu na mdogo wake
Ndo maana kiburi....jumapili iliyopita tulienda na shost zangu kwenye kipub chake hapo Sinza mori tukamkuta, tukapanga tumzingue but we were serious na order zetu, sasa wote kwa pamoja tukamwambia "we Irene lete Savannah kumi hapa mezani" wee alitupiga jicho halafu akatufyonza!

Tukacheka zetu mara hao tukasepa, tulimuacha anatuchamba mbaya mbaya!
 
Fact!
 
BAHATI MBAYA HAPA BONGO WAZAZI WA WASANII NAO MAISHA YAO NI YA KISANII SANA.BONGO MUVI MPAKA SEBULENI.TUWASAMEHE BURE
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] daah!hamkunywa?
 
Kwa hiyo huyo mama kabla ajaanza kulia ndio akaita waandishi wa habari?!
Ni wachache wataelewa huyo mama ni mnafiki, anacheza na kamera. Kwanza sikuzote alikuwa wapi kukemea hayo mambo anayofanya Irene kama kweli alikuwa anampenda sana Ndiku?
 
angekua mlala hoi angehuzunika tu kawaida ila kwa mshiko alo kua nao utu wake kwa mama mkwe ulizdii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…