Mama J, shabiki wa Yanga

yaani ungekua manzi ningekutumia PM, ila kwa kua ni Me struggle kwanza maana imeandikwa tutakula kwa jasho, huwez kua mzembe kiasi hicho[emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Naaikia ametenganisha mwili na roho kwa rope ni kweli au uzushi huu
 
bakwata nafika
Nyuma kidooogo ila mkono wa kushoto kama unatoka geti la Bakharesa, huwezi kupotea, Kwenye hilo jingo basement kuna kibao cha mawakili,mbele utaona ngazi ,duka hilohilo linatazama barabara
 
Bila bila adi sasa....Tomaso sijaona chochote....

Mwenye nayo ani pm
 
Aise ngoja isije ikawa media tena

Ova
Hata mm naona photoshop ndio maana nikakuuliza ww nikijua upo jikoni mtoto wa Jiji
huyo mlevi aliyezisambaza picha na clip angeshtakiwa kwanza ili Bibie apate nafuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…