Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Tena amechelewa sana kuchukua hizo hatua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda nae Ikulu imeshamchosha na anataka kwenda Kaburini huko Kwao Unguja Kisiwani Zanzibar Ndugu. We muache tu afanye Masihara na Corona wakati mfano ulio dhahiri ameshauona.
Kwani Kudadisi Jambo ni Kosa? Hopeless.Mwacheni huyu mama! Udadisi wa kipuuzi sana!
Ndugu nimecheka sana hii post yako hapa.Dodoma na Moshi ni yard ya toyota corona
Ndege unapanda na barakoa. Namuonea huruma sana Mama Janeth. Lets hope hatasahaulika. Maana msiba huu umekuwa mzito sana kwakeKwa mara ya Kwanza kabisa baada tu ya Kutua Mkoani Dodoma ( Makao Makuu ya Nchi ) ameonekana akiwa amevalia Barakoa na pia akiwa hataki kabisa Kupeana ( Kushirikiana ) Mikono na Watu.
View attachment 1731150
View attachment 1731197
Maswali yangu ni kama yafuatayo..
1. Kwanini Mumewe ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) alipokuwa Hai alikuwa havai Barakoa?
2. Je, Kuvaa Kwake Barakoa Leo anajaribu kutuma Ujumbe gani uliofichika Kwetu Watanzania ambao pengine Kimoyomoyo anatuonea mno Huruma pamoja na Kufurika Kwetu Viwanjani na Barabarani pembezoni?
3. Je, kuna Uwezekano mkubwa kuwa labda Mumewe alipokuwa Hai alikuwa akimshauri avae Barakoa na akawa hapewi Ushirikiano nae na hata Yeye ( Mama Janet ) Kuamriwa kutovaa Barakoa?
4. Je, ni kwanini muda wote alipokuwa Dar es Salaam tena katika Msongamano mkubwa wa Watu ( Waombolezaji ) hakuvaa Barakoa ila amefika tu Dodoma Jioni hii amevalia?
5. Je, kwa Kitendo cha Yeye ( Mama Janet Magufuli ) Mke wa Marehemu Hayati Rais Dkt. Magufuli kuonekana kwa mara ya Kwanza Kavalia Barakoa Uwanja wa Ndege Dodoma ikihisiwa kuwa huenda Dodoma Maambukizi ya Corona ni makubwa sana ila tunafichwa tu tutakuwa tunakosea?
6. Je, kwa Muonekano wa Kimasikitiko ( japo tunajua ana Majonzi makubwa ) siyo kwamba Mama wa Watu pengine ana Maumivu makubwa ya Uzembe juu ya Kupuuzwa kwa Janga la Corona nchini Tanzania?
7. Je, kwa mfano ( nasisitiza tena mfano ) ikitokea labda Mumewe ( sasa Marehemu Rais Dkt. Magufuli ) angefufuka kwa bahati mbaya tu au nzuri Mkewe Mama Janet Magufuli hiyo Barakoa angeitupa kwa Uwoga kwakuwa Mumewe alipinga sana Uvaaji wa Barakoa na hakuwahi Kuvaa au angeificha katika Pochi au angempa Mtu amshikie au ajifanye ni yake?
Mwisho nasema tu tujikinge na Corona.
Imeisha hiyo!!!
Kwa msongamano huu tutarajie yasiyotarajiwa baada ya muda kidogo
Acha upumbavu nini kimekushangaza yeye kuvaa barakos???!.Kwa mara ya Kwanza kabisa baada tu ya Kutua Mkoani Dodoma ( Makao Makuu ya Nchi ) ameonekana akiwa amevalia Barakoa na pia akiwa hataki kabisa Kupeana ( Kushirikiana ) Mikono na Watu.
View attachment 1731150
View attachment 1731197
Maswali yangu ni kama yafuatayo..
1. Kwanini Mumewe ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) alipokuwa Hai alikuwa havai Barakoa?
2. Je, Kuvaa Kwake Barakoa Leo anajaribu kutuma Ujumbe gani uliofichika Kwetu Watanzania ambao pengine Kimoyomoyo anatuonea mno Huruma pamoja na Kufurika Kwetu Viwanjani na Barabarani pembezoni?
3. Je, kuna Uwezekano mkubwa kuwa labda Mumewe alipokuwa Hai alikuwa akimshauri avae Barakoa na akawa hapewi Ushirikiano nae na hata Yeye ( Mama Janet ) Kuamriwa kutovaa Barakoa?
4. Je, ni kwanini muda wote alipokuwa Dar es Salaam tena katika Msongamano mkubwa wa Watu ( Waombolezaji ) hakuvaa Barakoa ila amefika tu Dodoma Jioni hii amevalia?
5. Je, kwa Kitendo cha Yeye ( Mama Janet Magufuli ) Mke wa Marehemu Hayati Rais Dkt. Magufuli kuonekana kwa mara ya Kwanza Kavalia Barakoa Uwanja wa Ndege Dodoma ikihisiwa kuwa huenda Dodoma Maambukizi ya Corona ni makubwa sana ila tunafichwa tu tutakuwa tunakosea?
6. Je, kwa Muonekano wa Kimasikitiko ( japo tunajua ana Majonzi makubwa ) siyo kwamba Mama wa Watu pengine ana Maumivu makubwa ya Uzembe juu ya Kupuuzwa kwa Janga la Corona nchini Tanzania?
7. Je, kwa mfano ( nasisitiza tena mfano ) ikitokea labda Mumewe ( sasa Marehemu Rais Dkt. Magufuli ) angefufuka kwa bahati mbaya tu au nzuri Mkewe Mama Janet Magufuli hiyo Barakoa angeitupa kwa Uwoga kwakuwa Mumewe alipinga sana Uvaaji wa Barakoa na hakuwahi Kuvaa au angeificha katika Pochi au angempa Mtu amshikie au ajifanye ni yake?
Mwisho nasema tu tujikinge na Corona.
Imeisha hiyo!!!
Kujikinga mwenyewe haitoshi rejea hapa 👇Ukijikinga mwenyewe inatosha, mbona swala la kujikinga mnalazimishaga sana,
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali tusipangiane cha Kuandika JF.Ushabiki wa kijinga katika siasa ni ushamba na kujibebesha chuki ambazo zitakusabsbishia usione uzuri wa jambo hata kama jema. Mkuu achana na kuweka ukakasi kila jambo kutia watu ubaya huko mbinguni mtaenda kuulizwa mlitumia vipi akili zenu?
Kuna wakati moshi palichafuka, bado hapasomeki ila si kama January kuelekea FebruaryDodoma na Moshi ni yard ya toyota corona
Jitahidi sana upunguze Upumbavu unaokusumbua.Kwani kuna watu wamekatazwa kuvaa barakoa katika hii nchi? Suala la kujikinga wewe kwanini ulazimishe na wengine? Hilo ni gubu,
Unaacha kuwaza ya kukupa ugali unawaza kwanini Mama Janeth kavaa barakoa!
Kinachonishangaza tu ni Wewe Kudanga sana lakini bado Maisha yamekupiga na Kutaabika mno.Acha upumbavu nini kimekushangaza yeye kuvaa barakos???!.
Na Mimi nikikuuliza kwanini huwa unapenda Kuchokonolewa utanijibu?Kwanini chokochoko?
Kuna nyepe nyepe ( tetesi ) zinasema karibia 85% ya Staff wa Majumba Meupe ya Magogoni na Chamwino Wameikaribisha Corona kwa Mikono yao yote Miwili na kwamba kila Mmoja itamlaza kwa muda wake au vile itakavyopenda yenyewe.Tena amechelewa sana kuchukua hizo hatua
Tutashuhudia MaRais wakiapishwa Hadi tuchoke. Jiwe aliekuwa ngangari anapiga kazi mpaka saa 8 usiku kazimika kama mshumaa,acha walete utani na corona.Mimi namshangaa sana Mama Samia bado anadunda tu kwenye umati wa watu bila barakoa.
Sio Siri Dodoma hakufai inawezekana KMK na JPM waliikumba huko.Ndugu nimecheka sana hii post yako hapa.
Natamani sana Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan aisome hii post yako Ndugu huko ( pale ) Chamwino aliko sasa kabla Walinzi wake hawajamruhusu kwenda Chumbani Kuyajenga zaidi na Mumewe First Gentleman Mr. Ameir.Tutashuhudia MaRais wakiapishwa Hadi tuchoke. Jiwe aliekuwa ngangari anapiga kazi mpaka saa 8 usiku kazimika kama mshumaa,acha walete utani na corona.