Mama Janeth Magufuli awasili Dodoma akiwa amevaa Barakoa...

Mama Janeth Magufuli awasili Dodoma akiwa amevaa Barakoa...

Kwa mara ya Kwanza kabisa baada tu ya Kutua Mkoani Dodoma ( Makao Makuu ya Nchi ) ameonekana akiwa amevalia Barakoa na pia akiwa hataki kabisa Kupeana ( Kushirikiana ) Mikono na Watu.


View attachment 1731150

View attachment 1731197
Maswali yangu ni kama yafuatayo..

1. Kwanini Mumewe ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) alipokuwa Hai alikuwa havai Barakoa?

2. Je, Kuvaa Kwake Barakoa Leo anajaribu kutuma Ujumbe gani uliofichika Kwetu Watanzania ambao pengine Kimoyomoyo anatuonea mno Huruma pamoja na Kufurika Kwetu Viwanjani na Barabarani pembezoni?

3. Je, kuna Uwezekano mkubwa kuwa labda Mumewe alipokuwa Hai alikuwa akimshauri avae Barakoa na akawa hapewi Ushirikiano nae na hata Yeye ( Mama Janet ) Kuamriwa kutovaa Barakoa?

4. Je, ni kwanini muda wote alipokuwa Dar es Salaam tena katika Msongamano mkubwa wa Watu ( Waombolezaji ) hakuvaa Barakoa ila amefika tu Dodoma Jioni hii amevalia?

5. Je, kwa Kitendo cha Yeye ( Mama Janet Magufuli ) Mke wa Marehemu Hayati Rais Dkt. Magufuli kuonekana kwa mara ya Kwanza Kavalia Barakoa Uwanja wa Ndege Dodoma ikihisiwa kuwa huenda Dodoma Maambukizi ya Corona ni makubwa sana ila tunafichwa tu tutakuwa tunakosea?

6. Je, kwa Muonekano wa Kimasikitiko ( japo tunajua ana Majonzi makubwa ) siyo kwamba Mama wa Watu pengine ana Maumivu makubwa ya Uzembe juu ya Kupuuzwa kwa Janga la Corona nchini Tanzania?

7. Je, kwa mfano ( nasisitiza tena mfano ) ikitokea labda Mumewe ( sasa Marehemu Rais Dkt. Magufuli ) angefufuka kwa bahati mbaya tu au nzuri Mkewe Mama Janet Magufuli hiyo Barakoa angeitupa kwa Uwoga kwakuwa Mumewe alipinga sana Uvaaji wa Barakoa na hakuwahi Kuvaa au angeificha katika Pochi au angempa Mtu amshikie au ajifanye ni yake?

Mwisho nasema tu tujikinge na Corona.

Imeisha hiyo!!!
Asante kwa Maswali yako mazuriz

Kiufupi ni kuwam meko kadanja kwa korona na mama najua

Pili,
Meko alikuwa anamdunda sana mother na ni lazima mama atafanya sherehe bada ya msiba.

Tatu huyu bibi samia kwa nini hataki kuvaa barakoa?

Ana miaka 61 na lijimwili lile sisi hatutaki msiba mwingine tushajichokea
Mwisho:
Dodoma ndio kitovu cha korona imeua sana na inaendelea kupiga.
Meko anajua na alikimbia
 
Pole Mama Janeth Magufuli unastahili pongezi kwa kuonyesha mfano Pandemic ya covid ipo na inaua
 
Mama anajua kila kitu ameshawapa majibu.

Taratibu ni zile zile hazijabadilika.
 
Yeye ji victim na yamkini kama mzee alikua na corona aweza kuwa nayo hivi ji mpongeze kwa kujali wengine.

Barakoa
1. 80 % ni kuwakinga wanao kuzunguka

2. 20% ni kujinga mwenyewe
Kwa mara ya Kwanza kabisa baada tu ya Kutua Mkoani Dodoma ( Makao Makuu ya Nchi ) ameonekana akiwa amevalia Barakoa na pia akiwa hataki kabisa Kupeana ( Kushirikiana ) Mikono na Watu.


View attachment 1731150

View attachment 1731197
Maswali yangu ni kama yafuatayo..

1. Kwanini Mumewe ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) alipokuwa Hai alikuwa havai Barakoa?

2. Je, Kuvaa Kwake Barakoa Leo anajaribu kutuma Ujumbe gani uliofichika Kwetu Watanzania ambao pengine Kimoyomoyo anatuonea mno Huruma pamoja na Kufurika Kwetu Viwanjani na Barabarani pembezoni?

3. Je, kuna Uwezekano mkubwa kuwa labda Mumewe alipokuwa Hai alikuwa akimshauri avae Barakoa na akawa hapewi Ushirikiano nae na hata Yeye ( Mama Janet ) Kuamriwa kutovaa Barakoa?

4. Je, ni kwanini muda wote alipokuwa Dar es Salaam tena katika Msongamano mkubwa wa Watu ( Waombolezaji ) hakuvaa Barakoa ila amefika tu Dodoma Jioni hii amevalia?

5. Je, kwa Kitendo cha Yeye ( Mama Janet Magufuli ) Mke wa Marehemu Hayati Rais Dkt. Magufuli kuonekana kwa mara ya Kwanza Kavalia Barakoa Uwanja wa Ndege Dodoma ikihisiwa kuwa huenda Dodoma Maambukizi ya Corona ni makubwa sana ila tunafichwa tu tutakuwa tunakosea?

6. Je, kwa Muonekano wa Kimasikitiko ( japo tunajua ana Majonzi makubwa ) siyo kwamba Mama wa Watu pengine ana Maumivu makubwa ya Uzembe juu ya Kupuuzwa kwa Janga la Corona nchini Tanzania?

7. Je, kwa mfano ( nasisitiza tena mfano ) ikitokea labda Mumewe ( sasa Marehemu Rais Dkt. Magufuli ) angefufuka kwa bahati mbaya tu au nzuri Mkewe Mama Janet Magufuli hiyo Barakoa angeitupa kwa Uwoga kwakuwa Mumewe alipinga sana Uvaaji wa Barakoa na hakuwahi Kuvaa au angeificha katika Pochi au angempa Mtu amshikie au ajifanye ni yake?

Mwisho nasema tu tujikinge na Corona.

Imeisha hiyo!!!
 
Mimi namshangaa sana Mama Samia bado anadunda tu kwenye umati wa watu bila barakoa.
Legend embu think beyond the upumbavu, huoni hapo anashuka kwenye ndege?

Hakuna ndege utapanda bila mask iwe inaenda Mkomazi au Bombay! Labda mwenzetu una muda sana hujapanda
 
Hebu acha UPUMBAVU ni wapi wataalamu wa huu ugonjwa waliposema ukiwa unashuka kwenye ndege hutakiwi kuvaa barakoa!? 😩😩 Huyu alikuwa anashuka toka kwenye Baskeli.

Legend embu think beyond the upumbavu, huoni hapo anashuka kwenye ndege?


Hakuna ndege utapanda bila mask iwe inaenda Mkomazi au Bombay! Labda mwenzetu una muda sana hujapanda
 
Hebu acha UPUMBAVU ni wapi wataalamu wa huu ugonjwa waliposema ukiwa unashuka kwenye ndege hutakiwi kuvaa barakoa!? 😩😩 Huyu alikuwa anashuka toka kwenye Baskeli.

Naona umeshakuwa zuzu tena zuzu haswa haya endelea kutaabika na upunguani wako ukisindikizwa na ndoto zako za alfajiri.

😏
 
Kama kweli corona ipo Basi week ijayo kutakua hakusemeki.

Thou nadhani amefata recommendation ya msafiri wa ndege lazima uvae barakoa.
Ni kwako ndio itakuwa hivyo. Ulishaona mwehu anayekula jalalani anaugua corona?. Acha watanzania wainjoy maisha yao waliyozoea. Barakoa vaa wewe uliyozoea kuiba Mali za umma hadi kisukari kikakushika ,ww ndio uko kwenye risk kubwa ya kupata corona
 
Kwa mara ya Kwanza kabisa baada tu ya Kutua Mkoani Dodoma ( Makao Makuu ya Nchi ) ameonekana akiwa amevalia Barakoa na pia akiwa hataki kabisa Kupeana ( Kushirikiana ) Mikono na Watu.


View attachment 1731150

View attachment 1731197
Maswali yangu ni kama yafuatayo..

1. Kwanini Mumewe ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) alipokuwa Hai alikuwa havai Barakoa?

2. Je, Kuvaa Kwake Barakoa Leo anajaribu kutuma Ujumbe gani uliofichika Kwetu Watanzania ambao pengine Kimoyomoyo anatuonea mno Huruma pamoja na Kufurika Kwetu Viwanjani na Barabarani pembezoni?

3. Je, kuna Uwezekano mkubwa kuwa labda Mumewe alipokuwa Hai alikuwa akimshauri avae Barakoa na akawa hapewi Ushirikiano nae na hata Yeye ( Mama Janet ) Kuamriwa kutovaa Barakoa?

4. Je, ni kwanini muda wote alipokuwa Dar es Salaam tena katika Msongamano mkubwa wa Watu ( Waombolezaji ) hakuvaa Barakoa ila amefika tu Dodoma Jioni hii amevalia?

5. Je, kwa Kitendo cha Yeye ( Mama Janet Magufuli ) Mke wa Marehemu Hayati Rais Dkt. Magufuli kuonekana kwa mara ya Kwanza Kavalia Barakoa Uwanja wa Ndege Dodoma ikihisiwa kuwa huenda Dodoma Maambukizi ya Corona ni makubwa sana ila tunafichwa tu tutakuwa tunakosea?

6. Je, kwa Muonekano wa Kimasikitiko ( japo tunajua ana Majonzi makubwa ) siyo kwamba Mama wa Watu pengine ana Maumivu makubwa ya Uzembe juu ya Kupuuzwa kwa Janga la Corona nchini Tanzania?

7. Je, kwa mfano ( nasisitiza tena mfano ) ikitokea labda Mumewe ( sasa Marehemu Rais Dkt. Magufuli ) angefufuka kwa bahati mbaya tu au nzuri Mkewe Mama Janet Magufuli hiyo Barakoa angeitupa kwa Uwoga kwakuwa Mumewe alipinga sana Uvaaji wa Barakoa na hakuwahi Kuvaa au angeificha katika Pochi au angempa Mtu amshikie au ajifanye ni yake?

Mwisho nasema tu tujikinge na Corona.

Imeisha hiyo!!!
akifanya mchezo anaondoka, this is sciene, hakuna mungu wa mtume.
 
Very SIMPLE.... Protocals... Wanakuja Marais kuzika.....so its like this

You either comply to the global health rules regarding the pandemic or we never come at all..



Overr
 
Kwa mara ya Kwanza kabisa baada tu ya Kutua Mkoani Dodoma ( Makao Makuu ya Nchi ) ameonekana akiwa amevalia Barakoa na pia akiwa hataki kabisa Kupeana ( Kushirikiana ) Mikono na Watu.


View attachment 1731150

View attachment 1731197
Maswali yangu ni kama yafuatayo..

1. Kwanini Mumewe ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) alipokuwa Hai alikuwa havai Barakoa?

2. Je, Kuvaa Kwake Barakoa Leo anajaribu kutuma Ujumbe gani uliofichika Kwetu Watanzania ambao pengine Kimoyomoyo anatuonea mno Huruma pamoja na Kufurika Kwetu Viwanjani na Barabarani pembezoni?

3. Je, kuna Uwezekano mkubwa kuwa labda Mumewe alipokuwa Hai alikuwa akimshauri avae Barakoa na akawa hapewi Ushirikiano nae na hata Yeye ( Mama Janet ) Kuamriwa kutovaa Barakoa?

4. Je, ni kwanini muda wote alipokuwa Dar es Salaam tena katika Msongamano mkubwa wa Watu ( Waombolezaji ) hakuvaa Barakoa ila amefika tu Dodoma Jioni hii amevalia?

5. Je, kwa Kitendo cha Yeye ( Mama Janet Magufuli ) Mke wa Marehemu Hayati Rais Dkt. Magufuli kuonekana kwa mara ya Kwanza Kavalia Barakoa Uwanja wa Ndege Dodoma ikihisiwa kuwa huenda Dodoma Maambukizi ya Corona ni makubwa sana ila tunafichwa tu tutakuwa tunakosea?

6. Je, kwa Muonekano wa Kimasikitiko ( japo tunajua ana Majonzi makubwa ) siyo kwamba Mama wa Watu pengine ana Maumivu makubwa ya Uzembe juu ya Kupuuzwa kwa Janga la Corona nchini Tanzania?

7. Je, kwa mfano ( nasisitiza tena mfano ) ikitokea labda Mumewe ( sasa Marehemu Rais Dkt. Magufuli ) angefufuka kwa bahati mbaya tu au nzuri Mkewe Mama Janet Magufuli hiyo Barakoa angeitupa kwa Uwoga kwakuwa Mumewe alipinga sana Uvaaji wa Barakoa na hakuwahi Kuvaa au angeificha katika Pochi au angempa Mtu amshikie au ajifanye ni yake?

Mwisho nasema tu tujikinge na Corona.

Imeisha hiyo!!!
Maswali yako yote ni multiple choices. Majibu yake ni "NDIYO".
 
Back
Top Bottom