Mama Janeth Magufuli awasili Dodoma akiwa amevaa Barakoa...

Mama Janeth Magufuli awasili Dodoma akiwa amevaa Barakoa...

Kwa mara ya Kwanza kabisa baada tu ya Kutua Mkoani Dodoma ( Makao Makuu ya Nchi ) ameonekana akiwa amevalia Barakoa na pia akiwa hataki kabisa Kupeana ( Kushirikiana ) Mikono na Watu.


View attachment 1731150

View attachment 1731197
Maswali yangu ni kama yafuatayo..

1. Kwanini Mumewe ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) alipokuwa Hai alikuwa havai Barakoa?

2. Je, Kuvaa Kwake Barakoa Leo anajaribu kutuma Ujumbe gani uliofichika Kwetu Watanzania ambao pengine Kimoyomoyo anatuonea mno Huruma pamoja na Kufurika Kwetu Viwanjani na Barabarani pembezoni?

3. Je, kuna Uwezekano mkubwa kuwa labda Mumewe alipokuwa Hai alikuwa akimshauri avae Barakoa na akawa hapewi Ushirikiano nae na hata Yeye ( Mama Janet ) Kuamriwa kutovaa Barakoa?

4. Je, ni kwanini muda wote alipokuwa Dar es Salaam tena katika Msongamano mkubwa wa Watu ( Waombolezaji ) hakuvaa Barakoa ila amefika tu Dodoma Jioni hii amevalia?

5. Je, kwa Kitendo cha Yeye ( Mama Janet Magufuli ) Mke wa Marehemu Hayati Rais Dkt. Magufuli kuonekana kwa mara ya Kwanza Kavalia Barakoa Uwanja wa Ndege Dodoma ikihisiwa kuwa huenda Dodoma Maambukizi ya Corona ni makubwa sana ila tunafichwa tu tutakuwa tunakosea?

6. Je, kwa Muonekano wa Kimasikitiko ( japo tunajua ana Majonzi makubwa ) siyo kwamba Mama wa Watu pengine ana Maumivu makubwa ya Uzembe juu ya Kupuuzwa kwa Janga la Corona nchini Tanzania?

7. Je, kwa mfano ( nasisitiza tena mfano ) ikitokea labda Mumewe ( sasa Marehemu Rais Dkt. Magufuli ) angefufuka kwa bahati mbaya tu au nzuri Mkewe Mama Janet Magufuli hiyo Barakoa angeitupa kwa Uwoga kwakuwa Mumewe alipinga sana Uvaaji wa Barakoa na hakuwahi Kuvaa au angeificha katika Pochi au angempa Mtu amshikie au ajifanye ni yake?

Mwisho nasema tu tujikinge na Corona.

Imeisha hiyo!!!
Nadhani ni sababu ya kupanda ndege maana sheria za viwanja vya ndege ni lzm kuvaa barakoa.

Sent from my Pace 2 Lite using JamiiForums mobile app
 
Yaani Tanzania tumejaliwa ujinga wa kuhoji vitu visivyo na msingi kabisa sijui akili zetu zikoje mtu unaanzaje kukaa na kuandika upuuzi kama huu suala la kuvaa barakoa ni la mtu binafsi tu hakuna mtu atakuambia vaa au usivae
Upuuzi umeusoma wote sasa kati yangu na Wewe nani ni Mpuuzi Mwandamizi?
 
Hiyo namba 5, pengine ndio chanzo cha haya yanayojiri, kaamua ajiepushe.
 
Mkuu umeeleza sana na umeuliza maswali sana
Lakini kikubwa umezungumzia barakoa. Kama Unataka kuvaa barakoa wewe vaa katiba inaruhusu mkuu wewe vaa

Mbona mnazungumzia sana barakoa, Sanitizer hamzijui Mbona mnaziacaha nyuma ?

Mkuu umeeleza sana na umeuliza maswali sana
Lakini kikubwa umezungumzia barakoa. Kama Unataka kuvaa barakoa wewe vaa katiba inaruhusu mkuu wewe vaa

Mbona mnazungumzia sana barakoa, Sanitizer hamzijui Mbona mnaziacaha nyuma ?

Mnaweza vaa sana hayo mabarakoa yenu na kutumia sana masanitaiza yenu and still kihatarishi - Covid 19 kikapenya kwa mwili; na endapo kihatarishi kikikuta kinga ya mwili iko chini basi hayo mabarakoa na masanitaiza yatakuwa useless.

Kitu cha msingi sana ni kuimarisha kinga ya mwili wako
 
Hu
Kwa mara ya Kwanza kabisa baada tu ya Kutua Mkoani Dodoma ( Makao Makuu ya Nchi ) ameonekana akiwa amevalia Barakoa na pia akiwa hataki kabisa Kupeana ( Kushirikiana ) Mikono na Watu.


View attachment 1731150

View attachment 1731197
Maswali yangu ni kama yafuatayo..

1. Kwanini Mumewe ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) alipokuwa Hai alikuwa havai Barakoa?

2. Je, Kuvaa Kwake Barakoa Leo anajaribu kutuma Ujumbe gani uliofichika Kwetu Watanzania ambao pengine Kimoyomoyo anatuonea mno Huruma pamoja na Kufurika Kwetu Viwanjani na Barabarani pembezoni?

3. Je, kuna Uwezekano mkubwa kuwa labda Mumewe alipokuwa Hai alikuwa akimshauri avae Barakoa na akawa hapewi Ushirikiano nae na hata Yeye ( Mama Janet ) Kuamriwa kutovaa Barakoa?

4. Je, ni kwanini muda wote alipokuwa Dar es Salaam tena katika Msongamano mkubwa wa Watu ( Waombolezaji ) hakuvaa Barakoa ila amefika tu Dodoma Jioni hii amevalia?

5. Je, kwa Kitendo cha Yeye ( Mama Janet Magufuli ) Mke wa Marehemu Hayati Rais Dkt. Magufuli kuonekana kwa mara ya Kwanza Kavalia Barakoa Uwanja wa Ndege Dodoma ikihisiwa kuwa huenda Dodoma Maambukizi ya Corona ni makubwa sana ila tunafichwa tu tutakuwa tunakosea?

6. Je, kwa Muonekano wa Kimasikitiko ( japo tunajua ana Majonzi makubwa ) siyo kwamba Mama wa Watu pengine ana Maumivu makubwa ya Uzembe juu ya Kupuuzwa kwa Janga la Corona nchini Tanzania?

7. Je, kwa mfano ( nasisitiza tena mfano ) ikitokea labda Mumewe ( sasa Marehemu Rais Dkt. Magufuli ) angefufuka kwa bahati mbaya tu au nzuri Mkewe Mama Janet Magufuli hiyo Barakoa angeitupa kwa Uwoga kwakuwa Mumewe alipinga sana Uvaaji wa Barakoa na hakuwahi Kuvaa au angeificha katika Pochi au angempa Mtu amshikie au ajifanye ni yake?

Mwisho nasema tu tujikinge na Corona.

Imeisha hiyo!!!

Huku kwenye daladala tunabanana zero difference yaani kama korona ipo kwa ajili ya wasiovaa barakoa nadhani daladala zisingekuwa Zina fanya kazi

Covid ipo maalum kwa ajili ya kuwanyoosha watu maarufu na wenye uwezo kiuchumi ili maskini wainuliwe

Huu ni mpango wa Mungu
 
Kwa mara ya Kwanza kabisa baada tu ya Kutua Mkoani Dodoma ( Makao Makuu ya Nchi ) ameonekana akiwa amevalia Barakoa na pia akiwa hataki kabisa Kupeana ( Kushirikiana ) Mikono na Watu.


View attachment 1731150

View attachment 1731197
Maswali yangu ni kama yafuatayo..

1. Kwanini Mumewe ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) alipokuwa Hai alikuwa havai Barakoa?

2. Je, Kuvaa Kwake Barakoa Leo anajaribu kutuma Ujumbe gani uliofichika Kwetu Watanzania ambao pengine Kimoyomoyo anatuonea mno Huruma pamoja na Kufurika Kwetu Viwanjani na Barabarani pembezoni?

3. Je, kuna Uwezekano mkubwa kuwa labda Mumewe alipokuwa Hai alikuwa akimshauri avae Barakoa na akawa hapewi Ushirikiano nae na hata Yeye ( Mama Janet ) Kuamriwa kutovaa Barakoa?

4. Je, ni kwanini muda wote alipokuwa Dar es Salaam tena katika Msongamano mkubwa wa Watu ( Waombolezaji ) hakuvaa Barakoa ila amefika tu Dodoma Jioni hii amevalia?

5. Je, kwa Kitendo cha Yeye ( Mama Janet Magufuli ) Mke wa Marehemu Hayati Rais Dkt. Magufuli kuonekana kwa mara ya Kwanza Kavalia Barakoa Uwanja wa Ndege Dodoma ikihisiwa kuwa huenda Dodoma Maambukizi ya Corona ni makubwa sana ila tunafichwa tu tutakuwa tunakosea?

6. Je, kwa Muonekano wa Kimasikitiko ( japo tunajua ana Majonzi makubwa ) siyo kwamba Mama wa Watu pengine ana Maumivu makubwa ya Uzembe juu ya Kupuuzwa kwa Janga la Corona nchini Tanzania?

7. Je, kwa mfano ( nasisitiza tena mfano ) ikitokea labda Mumewe ( sasa Marehemu Rais Dkt. Magufuli ) angefufuka kwa bahati mbaya tu au nzuri Mkewe Mama Janet Magufuli hiyo Barakoa angeitupa kwa Uwoga kwakuwa Mumewe alipinga sana Uvaaji wa Barakoa na hakuwahi Kuvaa au angeificha katika Pochi au angempa Mtu amshikie au ajifanye ni yake?

Mwisho nasema tu tujikinge na Corona.

Imeisha hiyo!!!
Hakuna mtu aliyekufa kwa corona Tz, acha kutupoteza bhanaaa, tuache na Tanzania yetuuuuu,
 
Na sijui / sijajua kwanini Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan hajavaa na huwa hapendi Kuivaa. Tafadhali mwambieni kwani Watanzania wengine tumeshachoka na Misiba isiyo ya lazima na ya Kujitakia kutokana tu na Mtu Mbishi na anayeendekeza tu Ubabe usio wa maana.
Kwani kuna mtu aliyekufa kwa corona Tz? Acha kutupoteza. Hivi inawezekanaje siri zote za serikali zinavujavuja tu kwenye mitandao. Na lengo linakuwa ni nini.
 
Mungu wetu anatulinda tena atazidi kutulinda kwa vile halii imejitokeza tu ghafla kwa imani yangu tutakuwa salama barakoa siyo kitu imani inatosha asante baba
 
Back
Top Bottom