Halafu bado watu wanamuita January Makamba ni kiongozi kijana, mtu ambae yupo over 50yrs🤣🤣🤣January Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki. Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka 70. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka 50 na Mzee Makamba ambaye ni MuislamView attachment 3130792
Mzee msanii 🤣Mzee Makamba huwa anatukoga kwa vifungu vya biblia kumbe darasa lote kapewa na mama.Safi sana.🙏
Ila inaswihi anapoongea nasi vijana wake.😂😂Mzee msanii 🤣
Mzee Makamba kama dalali wa vyumba wa Buza tu. Anakuambia unachotaka kusikia as long as anakunja pesa ya mwezi mmoja ya udalali.Mzee msanii 🤣
Kwasababu ni mkristo ndo maana.Sura ya Mama bado ina nuru kama ana 50 hivi
SayngayKwa ulichotufanyia kwenye suala la umeme hufai kabisa we kipara
Leo siku yangu ya mapumziko nilikuwa nishinde home naangalia movie lakini toka saa 6½ mpaka muda huu umeme hamna.Kwa ulichotufanyia kwenye suala la umeme hufai kabisa we kipara
Kikwete nasikia alikuwa anaitwa Samweli Luhanga wakati anasoma shule za misheni.Makamba sawa na JK wamesoma shule za mission .....bahati waliyopata kufika walipofikia.....
Lazima dogo achukue hana cha kupotezaJMakamba atachukua fomu 2025?
Pamoja na mleta mada kutolea ufafanuzi ila wapi.Hii nchi ngumu sana kwa hesabu za makamba jr kuingia ikulu kama zinakataa, amesha kuwa mkristo mara hii
Wenye pesa hawezeeki mkuu, huyu mama bado ana nuru kuzidi mabinti kibao tu wa town 😃Sura ya Mama bado ina nuru kama ana 50 hivi
Amejificha wapi leo maana ni kawaida yake kuwepo kwenye matukio ya namna hiyo kunukuu vifunguIbada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka 70. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka 50 na Mzee Makamba ambaye ni Muislam
Yani lijanuary ni lizuriii, hiyo height...Yani linafaa kuwa Rais kabisa. Tupate Rais mrefu wakati wake ukifika..January Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki.
Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka 70. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka 50 na Mzee Makamba ambaye ni Muislam
Naomba na kutumai wewe ni ke, maana kama ni dume basi inaogepesha na kufikirisha.Yani lijanuary ni lizuriii, hiyo height...Yani linafaa kuwa Rais kabisa. Tupate Rais mrefu wakati wake ukifika..