Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
Si ndio hapo kwa sababu ukiwaoondoa hao Reginald Mengi (Mchagga)Ni wabantu wenzetu hawa?
Wachache ninaowajua ktk hii list Mo na rostam ni rangi za kigeni,sisi weusi sisi kwa sisi tunazo sifa za hawa?
Umeandika vitu vikubwa sana nitarudia tena. Ila viwanda pwani ndio inaongoza kuwa navyo vingi nchi nzima. Sijakupata hapo kwa watu wa pwani ni viwanda.Tutalaumu sana watanzania kutojituma.
Binafsi nimetembea mikoa yote ya Tanzania, nilichojifunza juu ya watu fulani eti wavivu watu fulani wachapa kazi NI UONGO MTUPU.
Tanzania kila mahala watu wanajituma sana ili kuishi maisha mazuri, kimsingi kila mtu hapendi dhiki na anahitaji kupata mkate WA kila siku.
TATIZO KUBWA LA TANZANIA NI MIFUMO NA UMASIKINI WA KURITHI WA JAMII NYINGI.
mfano mdogo ni Pwani ambako tunawaita wavivu, kiuhalisia sio wavivu Bali mfumo wa maisha waliorithi, mfumo wa nchi na umasikini wa vizazi vilivyotangulia.
Mfumo wa maisha ya watu wa Pwani NI ukarimu na kutojali Sana baadala yake wanafocus sana akhera na sio dunia.
Hali imewafanya kutojali kuuza ardhi, kutojali kupata kikubwa kwa njia ya dhuluma, kutofanya biashara ambazo dini inakataza.
Mfumo wa nchi pia umechangia miji mingi ya Pwani kudumaa maana hakuna setup ya viwanda wala shughuku kuu za uzarishaji mali kama migodi, nk.
Umasikini wakurithi, Familia ikiwa masikini kuna uwezekano mkubwa sana vizazi vinavyofuatia navyo kuwa masikini, watu wengi wa Pwani kutoka na utamaduni na historia vizazi huko nyuma vilikuwa masikini na havikuona sana umuhimu wa kuiishi dunia matokeo yake ni umasikini wakurithishana.
Umasikini wa fikra au kuchelewa kupata fikra kuliwafanya watu wa Pwani kutoona umuhimu wa Elimu dunia matokeo yake watu walijikita zaidi kwenye Elimu akhera bila kuzingatia Elimu dunia.
Wachaga sio wachapakazi maana hata miongoni mwao ziko familia masikini.
Wachaga kilichowabeba na kinachowabeba ni suala la kihistoria, uwepo wa wamissionary wengi ukanda wa Kilimanjaro kulipelekea wachaga wengi kwenda shule na kufanikiwa kuingia kwenye mifumo, uwepo kwenye mifumo kujisaidia kunyanyua Kaya zao na kufika hapo walipo, lingine Kwa wachaga ni ubinafsi na roho mbaya (hivi watu wa Pwani wakikosa wakagawa ardhi na kukalibisha wageni), ubinafsi wa kupeana deals na kazi wachaga wenyewe kwa wenyewe bila kuangalia watu wa makabila wengine kinawabeba sana.
Hapo mengi sana ya kuandika, tufungue bongo zetu, wavivu wapo kila jamii na wachapa kazi wapo kila jamii.
Leo tunasifiana na kukandiana huku Africa lakini Wazungu wanatusema WaAfrica wote na kutuita wavivu, JE TUKUBALI WAAFRICA WOOTE NI WAVIVU?
Ndagu waafrika wote mkuu.Wanapenda ndagu hicho ndio ninacho kijua.
Wapo waliofanikiwa ila ni asilimia ngapi kati ya Wanyantuzu wote?
Kwa nini sisi tunakuwa wavivu hatuprndi kuwa matajiri wakubwa kwazidi watu wa Asia.Si ndio hapo kwa sababu ukiwaoondoa hao Reginald Mengi (Mchagga)
ndio alikuwa anaongoza kama Mtanzania mweusi kwa Utajiri.
Naona kutokuwà mtanzania ni sifa kubwà sana.kuna kitabu flani nilisoma kinasema wachagga wametokea nigeria
sina uhakika nacho lakini
Kwanza hatujitumi vya kutosha na pili wa Asia wanatuzidi kwenye namna ya muendelezoKwa nini sisi tunakuwa wavivu hatuprndi kuwa matajiri wakubwa kwazidi watu wa Asia.
Umeandika vitu vikubwa sana nitarudia tena. Ila viwanda pwani ndio inaongoza kuwa navyo vingi nchi nzima. Sijakupata hapo kwa watu wa pwani ni viwanda.
Hapo sawa. Hawa kuendelea kupitia kwao na miradi yao labda uwe mwizi au uwe na ushawishi mkubwa kwao, lakini wale watu wa kawiada wa Pwani kazi ni ngumu.Mkuu huwezi kutegemea ustawi wa watu kupitia viwanda vya Mchina, mhindi na muarabu, hao watumishi kwao ni watumwa.
Hapo sawa. Hawa kuendelea kupitia kwao na miradi yao labda uwe mwizi au uwe na ushawishi mkubwa kwao, lakini wale watu wa kawiada wa Pwani kazi ni ngumu.
Tunapima matokeo, waha wanatumia nguvu nyingi matokeo hafifu. Kuna kitu wanapungukiwa ingawa wanakomaa sana aisee.😊Mnajifanya hamuwaoni waha wanavyojituma huku mabarabarani.
Uko sahihiTutalaumu sana watanzania kutojituma.
Binafsi nimetembea mikoa yote ya Tanzania, nilichojifunza juu ya watu fulani eti wavivu watu fulani wachapa kazi NI UONGO MTUPU.
Tanzania kila mahala watu wanajituma sana ili kuishi maisha mazuri, kimsingi kila mtu hapendi dhiki na anahitaji kupata mkate WA kila siku.
TATIZO KUBWA LA TANZANIA NI MIFUMO NA UMASIKINI WA KURITHI WA JAMII NYINGI.
mfano mdogo ni Pwani ambako tunawaita wavivu, kiuhalisia sio wavivu Bali mfumo wa maisha waliorithi, mfumo wa nchi na umasikini wa vizazi vilivyotangulia.
Mfumo wa maisha ya watu wa Pwani NI ukarimu na kutojali Sana baadala yake wanafocus sana akhera na sio dunia.
Hali imewafanya kutojali kuuza ardhi, kutojali kupata kikubwa kwa njia ya dhuluma, kutofanya biashara ambazo dini inakataza.
Mfumo wa nchi pia umechangia miji mingi ya Pwani kudumaa maana hakuna setup ya viwanda wala shughuku kuu za uzarishaji mali kama migodi, nk.
Umasikini wakurithi, Familia ikiwa masikini kuna uwezekano mkubwa sana vizazi vinavyofuatia navyo kuwa masikini, watu wengi wa Pwani kutoka na utamaduni na historia vizazi huko nyuma vilikuwa masikini na havikuona sana umuhimu wa kuiishi dunia matokeo yake ni umasikini wakurithishana.
Umasikini wa fikra au kuchelewa kupata fikra kuliwafanya watu wa Pwani kutoona umuhimu wa Elimu dunia matokeo yake watu walijikita zaidi kwenye Elimu akhera bila kuzingatia Elimu dunia.
Wachaga sio wachapakazi maana hata miongoni mwao ziko familia masikini.
Wachaga kilichowabeba na kinachowabeba ni suala la kihistoria, uwepo wa wamissionary wengi ukanda wa Kilimanjaro kulipelekea wachaga wengi kwenda shule na kufanikiwa kuingia kwenye mifumo, uwepo kwenye mifumo kujisaidia kunyanyua Kaya zao na kufika hapo walipo, lingine Kwa wachaga ni ubinafsi na roho mbaya (hivi watu wa Pwani wakikosa wakagawa ardhi na kukalibisha wageni), ubinafsi wa kupeana deals na kazi wachaga wenyewe kwa wenyewe bila kuangalia watu wa makabila wengine kinawabeba sana.
Hapo mengi sana ya kuandika, tufungue bongo zetu, wavivu wapo kila jamii na wachapa kazi wapo kila jamii.
Leo tunasifiana na kukandiana huku Africa lakini Wazungu wanatusema WaAfrica wote na kutuita wavivu, JE TUKUBALI WAAFRICA WOOTE NI WAVIVU?
Hapo nimeelewa sana.Ilishawahi kusemwa kwenye Baraza la Congress USA juu ya umasikini wa Africa na mfano ulitolewa Taifa la Tanzania.
moja ya concern ya Yule senator ni Makampuni makubwa yenye uwezo wa kulipa vizuri na yenye kufuata standard na kujali welfare za watu hawawezi kuwekeza Africa kutoka na urasimu, mifumo mibovu ya Kodi nk.
Mfano mzuri ni Makampuni yanayooperate mining kanda ya Ziwa, mishahara yake na standard zake huwezi kufananisha na uwekezaji wa Mchina au Mhindi, Makampuni ya oil and gas yaliyowekeza Mtwara awamu ya nne, Makampuni ya ujenzi wa Barabara kama Strabag, AASLEEF aka Bam, Songea Storm nk huwezi kufananisha na haya Makampuni ya China au kihindi kama Chico, Sino, nk.
Lugha ya umasikini ni pana Sana, Wasukuma ndio kabira linalosifika kwa kuchapa kazi lakini ukienda vijijini huko shinyanga, Geita nk kuna umasikini wa hatari sana, shida ya hawa watu sio uvivu bali ni ujinga wa kurirthi na mifumo mibovu inayotaka watu wawe masikini.
Haya ndio mawazo ya kimasikini yaliyowajaa watz wengi. Mtu akiwa na ukwasi au anafanya vizuri kibiashara utasikia 'ndagu'. Umasikini huwa unaambatana na roho mbaya, na roho mbaya ndio uchawi wenyewe.Wanapenda ndagu hicho ndio ninacho kijua.
Wapo waliofanikiwa ila ni asilimia ngapi kati ya Wanyantuzu wote?
Watu sio wajingaHaya ndio mawazo ya kimasikini yaliyowajaa watz wengi. Mtu akiwa na ukwasi au anafanya vizuri kibiashara utasikia 'ndagu'. Umasikini huwa unaambatana na roho mbaya, na roho mbaya ndio uchawi wenyewe.
Haiwezekani watu tuwe na juhudi. Kulima tunaamka saa tisa usiku hadi jioni alafu mzungu yeye anafanya hivyohivyo atajirike sisi tubaki masikini.Waafrika sio wavivu bwana waafrica ni wajinga na roho mbaya kama ngozinzao.
Mzungu halimi na jembe la mkono.Haiwezekani watu tuwe na juhudi. Kulima tunaamka saa tisa usiku hadi jioni alafu mzungu yeye anafanya hivyohivyo atajirike sisi tubaki masikini.
Bidii zetu kuna kitu zinamiss
Ni kwsli, Tanzania mpaka sasa imeshakuwa na Marais 6 na kati yao ni wanne wanatoka ukanda wa bahari (Zanzibar, Pwani na Mtwara)Pwani imetoa marais wanne.
Hii maana yake niniNi kwsli, Tanzania mpaka sasa imeshakuwa na Marais 6 na kati yao ni wanne wanatoka ukanda wa bahari (Zanzibar, Pwani na Mtwara)
1. Nyerere - Mara
2. Mwinyi - Zanzibar
3. Mkapa - Mtwara
4. Kikwete - Pwani
5. JPM - Geita
6. Samia - Zanzibar