Uchaguzi 2020 Mama Maria Nyerere: Nimelazimishwa kuja kuongea, niliwaambia nimekuja kuongeza wingi wa watu, Mkutano wa CCM Musoma

Uchaguzi 2020 Mama Maria Nyerere: Nimelazimishwa kuja kuongea, niliwaambia nimekuja kuongeza wingi wa watu, Mkutano wa CCM Musoma

CCM pumzi hamna... Huko Musoma leo ,maBus ya Zakaria, malori kibao kuanzia saa 10 za alfajir yalikua nakazi ya kusomba watu kuja kuongeza idadi na vichwa kama alivosema mama Maria.


Kwa ufupi..Mama maria hajapendezwa kuona Mwinyi na watoto wake wakiendelea kula bata... Alafu yeye na wanawe wakiendelea kusomeshwa namba.


Kama kuna familia ilotakiwa kutizamwa kwa jicho kubwa ni ya Familia ya Nyerere.
Wako hivi
IMG_20200905_131243.jpeg
 
Huyo mama wa watu waache kumtumia kisiasa..... Ameshakuwa mzee natakiwa kupumzika na wajukuu zake akila pension yake ya uzeeni.

Mbona hawamchukui mama anna mkapa....
 
Ujumbe mzito sn... Ccm wameifanya familia ya Nyerere ni kichaka chao huku watoto wake wakiwasahau hata kwenye teuzi au kazi ndogo ndogo..... Watoto wa dada wanaula vizuri kabisa....
Ccm ina laana
Juzi hapa wamejaribu kuomba angalau wapewe ubunge pale Butiama kamati imewakata!
 
Back
Top Bottom